Gentleman,Umakamu ulishaaanza kuviziwa ikabid lisu akabie juuu
Gentleman,Hapo ni dhahiri Lissu anataka kufanya mapinduzi ! Hamtaki Mbowe awe mwenyekiti lakini katiba ya chama inaruhusu .
Inaonekana au ina maanisha Lissu hataki awe chini ya mtu anataka awe boss ! Sasa hilo ni tatizo tayari.
Huyu bwana ana tamaa ya madaraka na anajua akiyapata hakuna wa kumsimamisha kwa lolote analotaka.Sasa hivi amefungwa spidi gavana.
CDM wameonesha demokrasia ya hali ya juu.Tatizo liko wapia haswa na lilianzia wapi pale chadema?
au nani amemuona mwingine ni tatizo pale chadema kwenye harakati za mageuzi?
na kwa mtazamo wako kama mdau wa siasa,
kwa viongozi wa aina hii wasioweza kuwaunganisha wananchama wa chama chao kimoja, tena kidogo tu cha siasa, badala yake wana nawagawanya wanachama hao wachache.
Je,
kwa zile kazi zingine nzito zaidi mathalani, kuongoza nchi na kuwaunganisha waTanzania, hawa wangwana wanaweza kuifanya kweli? au hizi ndizo dalili wazi za kuivuruga na kupasua nchi, na waTanzania wanapaswa kuwapima nazo?π
Mungu Ibariki Tanzanai
Gentleman,Ndio tumeshalishtukia hilo tawi la chama tawala , pole yenu jipangeni tena kivingine , na huu ni ushindi mkubwa kwa sauti ya watanzania.
amejifungia hadi fursa na kipaumbele cha kua mgombea urais kupitia chadema 2025,Hapo ni dhahiri Lissu anataka kufanya mapinduzi ! Hamtaki Mbowe awe mwenyekiti lakini katiba ya chama inaruhusu .
Inaonekana au ina maanisha Lissu hataki awe chini ya mtu anataka awe boss ! Sasa hilo ni tatizo tayari.
Huyu bwana ana tamaa ya madaraka na anajua akiyapata hakuna wa kumsimamisha kwa lolote analotaka.Sasa hivi amefungwa spidi gavana.
Sijawahi kuona siku una hoja, zaidi ya majungu na taarabu nyingi Mr πGentleman,
jikite tu kwenye hoja mahususi mezani, itakusaiadia sana kuongeza uelewa na ufahamu wako juu ya mambo hayo,
relax na kua muungwana kujifunza π
kwakweli uroho wa madaraka na mdomo wa uropokaji vimesababisha akose nafasi ya umakamu mwenyekiti taifa lakini pia vitamfanya akose fursa ya kugombea urasi uchaguzi mkuu 2025 ambao pia angeshindwa kwa fedheha sana na Dr Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania wote..Mwamba Mbowe hana tatizo kabisa na ndiye Mwenye uchungu na CHADEMA.Tufauti na Lissu ambaye hana uchungu na CHADEMA zaidi ya uroho ,uchu na tamaa ya madaraka ambapo yupo tayari hata kuiua CHADEMA kwa mdomo wake wa Uropokaji
Gentleman,Sijawahi kuona siku una hoja, zaidi ya majungu na taarabu nyingi Mr π
ni mbinafsi mno,Ni kweli kabisa Lucas umeandika ukweli.Huyu amekuwa akipitapita huku na huko anaongea ongea hovyo mambo ambayo alitakiwa ayafikishe katika vikao yeye anayaongelea mitaani.Kifupi alikuwa haheshimu uongozi wa CHADEMA sasa kama haheshimu wakati akiwa makamu ataweza vipi akiwa mwenyeikti ?? manaake atakuwa dictator hafuati maamuzi ya vikao.
Sawa ngoja tuone Mr πGentleman,
kuna majungu gani mathalani kwenye hoja hiyo mahususi mezani gentleman?
uamuzi wa nani haswa miongoni mwa viongozi waandamizi na mafahali hao wawili ndani ya chadema, ndiyo hasa umeifikisha chadema hapa ilipo?
elezea wadau majungu yamejificha upande upi haswa kwenye hoja mahususi kama hii, au ni wewe tu umefikia kiwango chako cha mwisho cha mawazo mapya na fikra mbadala?
usichoke tafadhali mambo bado sana π