Juu kulikuwa kutupu?Umakamu ulishaaanza kuviziwa ikabid lisu akabie juuu
kupitia chadema hawezi tena kua kiongozi lakini pia kua mgombea urasi wa chadema, kwasabb wajumbe watakao mchagua mwenyekiti wa chama chao Taifa, ndiyo hao hao watakao muidhinisha mgombea urasi wa chama hicho 2025...Ni kweli Tlatalaa huyu hawezi kupata tena nafasi ya kugombea Urais wa TZ kupitia CHADEMA ameshajionyesha ni mtu wa namna gani.Hafai , nitashangaa sana iwapo siku za huko mbeleni kama CHADEMA watampitisha kugombea nafasi hio.Hana sifa huyu ya kuwepo CHADEMA kwa sasa ni liability kwa chama.
Na kwa tabia alizoonyesha huyu sijui chama gani watamchukua labda aende akaropokeropoke awasaidie wapate vi kura kidogo baas ! Au akaanzishe chama chake labda atafanikiwa kuwa kiongozi wa chama lakini kwa ninavyomuona hiko chama hakitadumu aslaani ! !
Ccm kuingilia mambo ya CDM kwa nia ovuTatizo liko wapia haswa na lilianzia wapi pale chadema?
au nani amemuona mwingine ni tatizo pale chadema kwenye harakati za mageuzi?
na kwa mtazamo wako kama mdau wa siasa,
kwa viongozi wa aina hii wasioweza kuwaunganisha wananchama wa chama chao kimoja, tena kidogo tu cha siasa, badala yake wana nawagawanya wanachama hao wachache.
Je, kwa zile kazi zingine nzito zaidi mathalani, kuongoza nchi na kuwaunganisha waTanzania, hawa wangwana wanaweza kuifanya kweli? au hizi ndizo dalili wazi za kuivuruga na kupasua nchi, na waTanzania wanapaswa kuwapima nazo?π
Mungu Ibariki Tanzanai
Nimewaza kama wewe...kama ka familia kadogo tu ka Chadema kamewashinda kuongoza wataweza kuliongoza taifa kweli??? Na mbowe anaonekana ni mroho na mlafi wa madaraka inaonekana wazi hata akipewa nchi anaweza geuka Museveni au KagameTatizo liko wapia haswa na lilianzia wapi pale chadema?
au nani amemuona mwingine ni tatizo pale chadema kwenye harakati za mageuzi?
na kwa mtazamo wako kama mdau wa siasa,
kwa viongozi wa aina hii wasioweza kuwaunganisha wananchama wa chama chao kimoja, tena kidogo tu cha siasa, badala yake wana nawagawanya wanachama hao wachache.
Je, kwa zile kazi zingine nzito zaidi mathalani, kuongoza nchi na kuwaunganisha waTanzania, hawa wangwana wanaweza kuifanya kweli? au hizi ndizo dalili wazi za kuivuruga na kupasua nchi, na waTanzania wanapaswa kuwapima nazo?π
Mungu Ibariki Tanzanai
umejieleza vizuri sana na kwa ufupi mno gentleman tena kwa mantiki kweli..Nimewaza kama wewe...kama ka familia kadogo tu ka Chadema kamewashinda kuongoza wataweza kuliongoza taifa kweli??? Na mbowe anaonekana ni mroho na mlafi wa madaraka inaonekana wazi hata akipewa nchi anaweza geuka Museveni au Kagame
Kuliko wale wa kuandaa fomu mojaCDM wameonesha demokrasia ya hali ya juu.
Gentleman,Ccm kuingilia mambo ya CDM kwa nia ovu
Mimi sioni tatizo kwa sababu wote wawili wamekuwa mara kadhaa wakituaminisha kwamba hawana mgogoro kati yao, na hakuna mpasuko ndani ya chama chao, ila wakakiri kwamba wanatofautiana tu misimamo, ambalo ni jambo la kawaida sana katika siasa. Ila naona kuna makundi mawili ndani ya chama chao - moja liko upande wa Mbowe, lingine upande wa Lissu. Kama wao wawili wako pamoja haya makundi watayaunganisha; kama wao wawili hawako pamoja haya makundi mawili yataongeza mgawanyiko wao, maana yamechanganya pia na uchochezi wa hisia na kuchukua neno moja out of context na kuonyesha as if lilitumika dhidi ya kiongozi mwingine. Kwa mfano, Mbowe alipoulizwa kuhusu kutumia pesa za chama kwa mambo yake binafsi, yeye alijibu kwamba ni mfanyabiashara wa ndani na nje, na wala "si mbangaizaji". Wanaomuunga mkono Tundu Lissu huko mtandao wa X naona wanavyolitumia neno "mbangaizaji" ni as if Mbowe alimwita kiongozi mwenzake "mbangaizaji" wakati si kweli. Kwa vile si kila mtu anayeweza kusoma kila post inawezekana kiongozi mwenzake akisoma hizo posts za namna hiyo inawezekana kabisa akafikiri kiongozi mwenzake kamwita "mbangaizaji". Kuna vijembe pia vinarushwa kutoka upande wa Mbowe kwenda kwa Lissu. Ushabiki au ufuasi wa viongozi wa aina hii ni bure kabisa! Yaani kugombea tu nafasi ya uongozi mtu mwingine kunifanye mimi nianze kurukwa na akili, na kuwa mchonganishi hivyo! Sijui watu wengine wakoje!Tatizo liko wapia haswa na lilianzia wapi pale chadema?
au nani amemuona mwingine ni tatizo pale chadema kwenye harakati za mageuzi?
na kwa mtazamo wako kama mdau wa siasa,
kwa viongozi wa aina hii wasioweza kuwaunganisha wananchama wa chama chao kimoja, tena kidogo tu cha siasa, badala yake wana nawagawanya wanachama hao wachache.
Je, kwa zile kazi zingine nzito zaidi mathalani, kuongoza nchi na kuwaunganisha waTanzania, hawa wangwana wanaweza kuifanya kweli? au hizi ndizo dalili wazi za kuivuruga na kupasua nchi, na waTanzania wanapaswa kuwapima nazo?π
Mungu Ibariki Tanzanai
Na niwakumbushe tu wasio na kumbukumbu ya kuwa , bila Mwamba saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa !
Msiojua nini maana ya shimo la Tewa ruksa ku google !
Halafu anakuja mpuuzi mmoja eti Mbowe ng''ong''ong''o
Na mbowe kama mbowe, yeye anajionaje kuwa monopoly kwa cheo hicho miaka na miaka. Issue ni ndogo tu kama Mbowe anataka kuendelea, basi hata mishale ya ccm kwamba imekaa madarakani muda mrefu haina maana tena, au kwamba katiba mpya ni ya zamani hilo litakuwa ni la uongo. Ndio maana watu wanasema, ya nini kuwatupia lawama kwamba chama cha ccm kimekaa madarakani muda mrefu ili hali hata mwenyekiti wenu ni hivyo hivyo.Hapo ni dhahiri Lissu anataka kufanya mapinduzi ! Hamtaki Mbowe awe mwenyekiti lakini katiba ya chama inaruhusu.
Inaonekana au ina maanisha Lissu hataki awe chini ya mtu anataka awe boss!
Sasa hilo ni tatizo tayari.
Huyu bwana ana tamaa ya madaraka na anajua akiyapata hakuna wa kumsimamisha kwa lolote analotaka.
Sasa hivi amefungwa spidi gavana.
Tofautisha Katiba ya nchi inasema nini kuhusu uongozi wa nchi, na katiba ya Chadema inasema nini kuhusu uongozi wa chama. Malengo ya nchi na malengo ya chama ni vitu viwili tofauti. Tundu Lissu alisema katiba ya Chadema ilikuwa na ukomo wa uongozi wa juu wa chama hadi 2006 ilivyofanyiwa marekebisho, na kuandika katiba ya sasa ya chama, ambayo haina ukomo wa uongozi wa juu. Alisema msingi wa kuibadilisha katiba yao ulikuwa kwamba chama kilikuwa bado kichanga, na haikuwezekana kuwa na kubadilishana uongozi katika mazingira ya wakati huo, ambapo hata kupata tu wanachama ilikuwa kazi. Alisema pia kwamba, kwa sasa chama nimekua na kuna haja ya kubadilisha katiba yao ili iendane na mazingira ya sasa. Kumbuka kwamba haya Lissu kayasema tu mwezi huu, na hivi karibuni baada ya kutia nia ya kugombea, na alisema anapendekeza hivyo, na hata kwa wabunge wa viti maalumu ndani ya chama. Kwa kufuata katiba yao ya sasa Mbowe ana haki ya kugombea. Nje ya katiba yao, kuwa na hiyo 'consideration' ya kuwaachia wengine ni jambo jema, na linabaki kuwa uamuzi wake, lakini hapaswi kulaumiwa kwa kugombea to the extend kwamba Lissu apite bila kupingwa. Hivi ndivyo ninavyoweza kuchangia kwa hili.Na mbowe kama mbowe, yeye anajionaje kuwa monopoly kwa cheo hicho miaka na miaka. Issue ni ndogo tu kama Mbowe anataka kuendelea, basi hata mishale ya ccm kwamba imekaa madarakani muda mrefu haina maana tena, au kwamba katiba mpya ni ya zamani hilo litakuwa ni la uongo. Ndio maana watu wanasema, ya nini kuwatupia lawama kwamba chama cha ccm kimekaa madarakani muda mrefu ili hali hata mwenyekiti wenu ni hivyo hivyo.
Nkurunzinza full masinonda. Hilo ndilo ninaloliona kwamba watu hawataki mtu mmoja tu ndio awe kiongozi miaka zaidi ya 20 na wengine walale tu fofofo, hii ya kukaa tu kusubiria hadi 68 ina ukakasi sana kwa kweli. Hata dingi wa familia huwa anaanchia madaraka ya nyumba kijana wake akifikia miaka 18 tu, yeye hubaki kutoa muongozo na ushauri kidogo dogo akiona kwamba kijana wake anayumba. Ndio hivyo hivyo kwa mbowe pia.