Kuna funzo hapa.Wakili Fatma Karume ameamua kuweka wazi kesi yake ya talaka mahakamani ambapo katika ugawaji mali mahakama imempa 75% dhidi ya 25% kwa upande wa mtalaka aliyekuwa mume wake.
Kinachonishangaza ni mwanaume kutaka Fatma Karume asizingatiwe kwa haki sawa wakati yeye ndiye aliyechangia zaidi katika kutafuta mali!
Hii kesi inaonyesha pia kwa nini wanaume wengi wanaogopa kuoa wanawake wanaharakati, wasomi na walio smart.
View attachment 3248257
View attachment 3248258
huyo anachekelea kumkomoa x wakeUyo nae limbukeni, ngoja aje rais kichaa kama wa marekani watubadilishie hizi sheria uchwara.
Mimi nlichoona ni fedha ya pango tu mengine sijaonaIla kuna watu wana roho ngumu. Yaani kabisa unaenda kuoa Fatuma Karume?
Hata nyumba ukimuagiza tu amtumie fundi pesa utasikia tulijenga wote tena mimi ndiyo nilikuwa namtumia fundi utafikiri za kwake.wasenge tu, mwanamke hata akiwa anapika ugali na kuangalia tamthilia tu nyumbani mkiachana mahakama inataka apewe 50% ya mali zote.
Ahaaaa jamaniIla kuna watu wana roho ngumu. Yaani kabisa unaenda kuoa Fatuma Karume?
wasenge kweli hawa watu, wanabebwa sana na mfumoHata nyumba ukimuagiza tu amtumie fundi pesa utasikia tulijenga wote tena mimi ndiyo nilikuwa namtumia fundi utafikiri za kwake.
Kusonga ugali kwani sio kazi?wasenge tu, mwanamke hata akiwa anapika ugali na kuangalia tamthilia tu nyumbani mkiachana mahakama inataka apewe 50% ya mali zote.
unga na jiko umenunua wewe?Kusonga ugali kwani sio kazi?
Mbona mnalipa hela kwa mama ntilie
NitarudKATAA NDOA LINDA MAISHA YAKO
KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO
KATAA MKATABA WA KITAPELI
Duh! Kwani yupoje Bro...?Ila kuna watu wana roho ngumu. Yaani kabisa unaenda kuoa Fatuma Karume?
FeministDuh! Kwani yupoje Bro...?