Ni ubabaifu mwanaume kulilia mali za mwanamke katika talaka. Kesi ya talaka ya Fatma Karume ina masomo muhimu sana

Ni ubabaifu mwanaume kulilia mali za mwanamke katika talaka. Kesi ya talaka ya Fatma Karume ina masomo muhimu sana

Kuna funzo hapa.

Wanandoa tarajali kusainiana Mikataba ya Kusajili Mali zao (Pre-nuptial Contract) ni muhimu sana katika maisha ya Sasa.
Pre-nuptial Contract will help to avoid the problem of the Marriage Conemanship in case of divorce like this.

Ukichunguza kwa umakini Sana utagundua kwamba kiuhalisia Wanaume wenyewe huwa wanakuwa chanzo cha matatizo yote haya ya wao kutapeliwa au kudhulumiwa mali zao kwenye masuala haya ya talaka.

Kwa kawaida mgawanyo wa mali kwenye talaka huwa unagusa mali zile tu ambazo ni 'Chumo la Ndoa,'(Matrimonial Property). Kama Mwanandoa wa kike naye alichangia kwenye suala la upatikanaji wa mali husika, sioni tatizo lolote lile na yeye akipewa Haki yake katika mchakato mzima wa mgawanyo wa mali wakati wa talaka.
Kwa TZ pre-nup hazitambuliki kisheria...they are unenforceable...
 
Kwa TZ pre-nup hazitambuliki kisheria...they are unenforceable...

Wananchi wanapaswa wailazimishe Serikali ihalalishe jambo hili kwa kuliingiza kwenye Sheria za nchi.

Kwa sasa hivi, kutokana na Sheria za nchi hii jinsi zilivyo ni vigumu Sana kwa Mwanandoa (hususani Mwanaume) kuweza kuithibitishia Mahakama kwamba mali fulani fulani ni zake peke yake na amezichuma yeye mwenyewe peke yake binafsi bila ya kumhusisha mwenza wake. Wanaume wengi sana wamekuwa wakidhulumiwa mali zao na Watalaka wao wa kike kwa kupitia njia hii.
 
Tena ukute kasoma huyo mwanamke angeitumia elimu yake kufanya kazi walau wazazi wapate chochote kitu ..si ajabu kahairisha kufanya kazi mbali mbali na familia analea baba na watoto still anachukuliwa poa poa tu ..Mungu awashushie wanaume neema ya kutambua mchango wa mwanamke hasa hawa wanaume wa kiafrika Mungu awe upande wao kwa kweli
Hakuna wanawake wa namna hii unaowazungumzia hapa mkuu, leo hii hawapo.
 
Ila kuna watu wana roho ngumu. Yaani kabisa unaenda kuoa Fatuma Karume? Kama anabishana na serikali na vyama, wewe itapona?

hahahahaha, dah nimecheka sana.
Hao wanatype zao huwa wanatulia kabisa na kuwa wajinga kabisa.

Binafsi, nikiweka ndani huyo anatulia kabisa na hata kunipikia msosi na kuvaa dela bila kitu akiwa pembeni yangu, hao huwa wana namna zao za kibabe zakwenda nao.
 
wasenge tu, mwanamke hata akiwa anapika ugali na kuangalia tamthilia tu nyumbani mkiachana mahakama inataka apewe 50% ya mali zote.
Hapana kaka, wanaangalia mchango wa mwanamke husika. Wadada wengi mjini pia wamelizwa kwa hayo matarajio. Haiwezekani mume ndio anasimamia show kila kitu afu upewe pasu kwa pasu. Haipo hivyo, unless wote walikuwa wakichangia kwa usawa.
 
Uyo nae limbukeni, ngoja aje rais kichaa kama wa marekani watubadilishie hizi sheria uchwara.
Sio rahisi kubadirisha huo mfumo huku kwetu hadi sisi wenyewe Wanaume tuoneshe hatuutaki.

Kama ndiyo kwanza tunaona sawa hayo mambo ya 50/50 basi hata kwenye mgawanyo wa Mali Mahakamani itakuwa 50/50 hata kama mke alikuwa Mama wa nyumbani tu
 
Unaongelea wa mama wa kizazi gani wewe??Hiki ambacho ukioa tu kesho mnaleta house girl - ndo abayefanya hizo kazi zote kuamka saa 11 asubuhi kulala saa tano. Kama mnawatoto, yeye ndo ana-amka kuwaandaa na kila kitu???
Ukimchokonoa KE juandae kuandikiwa gazeti. Wanahisia mno mpk wanatoka nje ya key. Issue ni mgawanyo wa mali; na kwa hili usitegemee KE waseme ni 50/50
 
Kuna funzo hapa.

Wanandoa tarajali kusainiana Mikataba ya Kusajili Mali zao (Pre-nuptial Contract) ni muhimu sana katika maisha ya Sasa.
Pre-nuptial Contract will help to avoid the problem of the Marriage Conemanship in case of divorce like this.

Ukichunguza kwa umakini Sana utagundua kwamba kiuhalisia Wanaume wenyewe huwa wanakuwa chanzo cha matatizo yote haya ya wao kutapeliwa au kudhulumiwa mali zao kwenye masuala haya ya talaka.

Kwa kawaida mgawanyo wa mali kwenye talaka huwa unagusa mali zile tu ambazo ni 'Chumo la Ndoa,'(Matrimonial Property). Kama Mwanandoa wa kike naye alichangia kwenye suala la upatikanaji wa mali husika, sioni tatizo lolote lile na yeye akipewa Haki yake katika mchakato mzima wa mgawanyo wa mali wakati wa talaka.
Kuna haja gani ya kuolewa kama una matarajio ya kuachika baadae?
 
Back
Top Bottom