Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Trump akamatie hapo hapoNdio mambo ambayo Trump hayataki hayo,eti mwanamke anaolewa leo halafu baada ya miezi kadhaa mbele anaomba talaka halafu na Mahakama inampa umiliki nusu ya mali za mume ambazo zingine alizipata hata kabla hajamuoa huyo mwanamke