Ni ubabaifu mwanaume kulilia mali za mwanamke katika talaka. Kesi ya talaka ya Fatma Karume ina masomo muhimu sana

Ndio wanawake tujitambie kwa kutafuta kipato na si kutegemea mwanaume πŸ’―. Utakula kuona.
 
Hapo naunga mkono hoja.Na ikitokea Mwanaume amechangia zaidi nae apewe hiyo hiyo 75% badala ya 50/50 inayotumika Sasa.

Mwisho yaani Kuna mtu alioa huyo Fatma? πŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺ
Sidhani kama sheria inasema mnagawana 50/50. Kila mmoja anapata kutokana na mchango wake. Hayo ya 50/50 sujui mnayatoa wapi.
 
Ndio wanawake tujitambie kwa kutafuta kipato na si kutegemea mwanaume πŸ’―. Utakula kuona.
Mwingine hata hicho kipato kukitafuta hataki ndugu..kuna wanawake wanapitia magumu ndani ya ndoa hadi huruma..mwisho wa siku ndo kama hivo maoni ya wadau unayaona kwamba huna ulichochangia
 
Jamaa alioa Fatma akijua anaoa familia ya kitajiri, asijue anaoa dume tu pale.
Dr kwanza alifurahi kuachana naye.....wala alikuwa hana nia ya kuwa naye.huyu fatwa ni much know sana tila tila nyingi

Ova
 
Mwingine hata hicho kipato kukitafuta hataki ndugu..kuna wanawake wanapitia magumu ndani ya ndoa hadi huruma..mwisho wa siku ndo kama hivo maoni ya wadau unayaona kwamba huna ulichochangia
Maisha yamebadilika sana ,inabidi wanawake nao waende na mabadiliko. Kuwa mama wa nyumbani bila kipato ni kubweteka, na ukiendekeza mwanaume utakuja kuumia baadae. Nina ndugu zangu wa 2 walikuwa mama wa nyumbani, wanatia huruma sana baada za waume zao kufa. Hawajui waanzie wapi , ada za watoto, chakula na kodi ya pango. Waulme zao walikuwa wana kipato kizuri wakabweteka ,sasa hivi wanateseka.
 
Kuna wanaume hawataki wake zao wafanye biashara au waajiriwe mimi hao ndo nawapa nondo zao
 
Jamaa alioa Fatma akijua anaoa familia ya kitajiri, asijue anaoa dume tu pale.
Yeah hata mimi nimegundua hilo alijua akioa mtoto wa Rais atakuwa na Bima ya maisha kumbe ndio kazidi kuyakanyaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…