Ni uduni na ufinyu wa mawazo kuvibeza vyuo vikuu vingine kwa misingi ya ubora usio wa kimantiki!

Ni uduni na ufinyu wa mawazo kuvibeza vyuo vikuu vingine kwa misingi ya ubora usio wa kimantiki!

Asiyejua impact ya UDSM hapa Africa mashariki na Africa kwa ujumla ndio mvivu
 
Vijana tusiwe na ugonjwa wa fikra duni, ni jambo la kipumbavu wewe kama kijana unayejiita msomi na unae tegemewa na jamii yako, kuanza kuvibagua vyuo vingine kwamba si vyuo bali ni taasisi za kuelimishia vilaza, mfano mtu kabisa anasimama na kusema "Tanzania Chuo kikuu pekee ni UDSM", au "Tumaini nacho chuo" "SAUT ndio nini?" au "UDOM ni chuo cha kata" huo kimsingi ni mtindio wa kufikilia unaochagizwa na ujuha wa mawazo na kimsingi elimu yako haijakusaidia, ni jambo la kipuuzi kuvibeza na kuvibagua vyuo kwa reasoning isiyo na mantiki, Tungeonekana wasomi sana na wazalendo kama tungevishindanisha vyuo vyetu katika maswala ya utafiti na uvumbuzi katika tasnia mbalimbali kama Chemical Engineering, Nuclear Physics, Social Science....nk nisiwachoshe na maneno mengi kimsingi, watu makini hupima Ubora wa Mhitimu kwa kuzingatia Uwezo alio nao na si Chuo alichosomea!

yap!! U r right jamaa!! That z how we supporsed 2b in this forum!! Co majungu na kuumbuana!! Ni hayo tu.
 
mtoa uzi huu inaonekana ulikuwa unaiota UDSM ila baada ya kuchaguliwa teku,unajuta sana,piga kitabu ww dogo
 
MKUU MFUMO WA TCU UNACHUKUA ONE MPAKA THREE KWA VYUO VYOTE , HALAFU SUALA HAO JAMAA WALIOKUWA NA DIVISIONFOUR FORMFour ni kweli ,na formsix walikuwa na iii.13, kama huamini hata tcu wameonyesha udsm cuttof ni 5.5 ikimaanisha D D E NA S YA GS, KUHUSU SUALA LA HISTORIA YA MWANAFUNZI MIMI NILIONGOZA WILAYA DARASA LA SABA NIKAENDA Mzumbe secondary(o-level), advance nimesoma TABORABOYS div one (Specialschool na kichwa cha tanzania),
na sisomi udsm , wakati hao wenye historia mbovu vilaza tangu primary wapo udsm ,

safi sana mwambie kama ananisha tuweke vitu hapa pitia web ya udsm wameweka namba ya form 4 ya waliochaguliwa then chek performance yao uje utuambie ndo vichwa. Elimu ya chuo haina wa kwanza wala wa mwsho ni kujitambua tuu else utadisco kama kawa ma sap kibao. Acha kushusha vyuo vingine elimu bila practical hata uwe na point 3. Hutambuliki. Jifunze kwa vitendo uoneshe ulichosoma na siyo kubeza vyuo vingine
 
Unaweza ukawa prof ukashindwa kudeliver material kwa wanafunzi. Pia hao maprof 25 mnaojidaia na kuwazungumzia ud c ndo haohao wanaozunguka na ku part time vyuo vingine sasa tofauti iko wapi? Hapo tofauti yake labda jina

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Si vyema kubaguana kwa kuzngatia vyuo,hata hvyo ni ukweli usiopingika kuwa UDSM,SUA,MZUMBE na UDOM ni vyuo bora nchini sio kama Saint something.Na huu ndyo ukweli.
 
Si vyema kubaguana kwa kuzngatia vyuo,hata hvyo ni ukweli usiopingika kuwa UDSM,SUA,MZUMBE na UDOM ni vyuo bora nchini sio kama Saint something.Na huu ndyo ukweli.
:A S-key::A S-key::A S-key::A S-key:
mmefungwa akil watoto wadog hamjui maisha yanasemaje huku,
 
Tena na huku umekuja kubisha????!!!!

Hebu weka alternative sasa maana wewe ni muumini wa "UDOM ni chuo cha kata"

Kaka na ww unamiini hivyo?
Mi najua chuo ulichosoma hakikusaidii chochote when it comes to performance
Bidii yako inahitajika sn
 
Back
Top Bottom