Koh koh koh!!Kwenye urafiki wa jinsia tofauti hasa kwa vijana kadri mnavyozidi kuwa na ukaribu na kuzoeana kuna mmoja huanza kujenga hisia za kimapenzi na akifunguka ndio mwanzo wa urafiki kuyumba.
Hii ilinikuta, nilitokea kuanza kumpenda yule dada nikawaza itakuaje na anajua maujinga yangu mengi sana, nikawaza nikimwaga sera ntaharibu kila kitu nikabinu mbinu kumteka na zikafanikiwa.
Wanawake huwa mnajiskiaje mkikumbatiwa kwa style hii ya pichani?
View attachment 3069472
Kweli kabisa mkuuKutengeneza urafiki kwanza huku ukiwa unampenda mwanamke kimapenzi ni ishara ya udhaifu na uoga wa REJECTION.
Tongoza mapema kabla hamjazoeana sana ili hata akikataa kusiwe na yale maumivu ya kumzoea, lakini pia Mwanamke akiwa rafiki yako ni lazima atajua vitu vingi sana kuhusu wewe na maisha yako, who knows? Pengine kwenye characters zako au baadhi ya mambo yako yanaweza kumfanya asikuwazie kama mtu unayeweza kuwa mwanaume wake, tofauti na ambapo atayajua mkiwa kwenye mapenzi tayari (anaweza kukuvumilia ubadilike taratibu).
Ingawa kuna marafiki zetu wa kike wanatakiwa kubaki kama marafiki tu, sio kila mwanamke anayekuwa karibu na wewe basi aliwe.
Point tupu ogop friend zoneKutengeneza urafiki kwanza huku ukiwa unampenda mwanamke kimapenzi ni ishara ya udhaifu na uoga wa REJECTION.
Tongoza mapema kabla hamjazoeana sana ili hata akikataa kusiwe na yale maumivu ya kumzoea, lakini pia Mwanamke akiwa rafiki yako ni lazima atajua vitu vingi sana kuhusu wewe na maisha yako, who knows? Pengine kwenye characters zako au baadhi ya mambo yako yanaweza kumfanya asikuwazie kama mtu unayeweza kuwa mwanaume wake, tofauti na ambapo atayajua mkiwa kwenye mapenzi tayari (anaweza kukuvumilia ubadilike taratibu).
Ingawa kuna marafiki zetu wa kike wanatakiwa kubaki kama marafiki tu, sio kila mwanamke anayekuwa karibu na wewe basi aliwe.
Friend zone ni hasara kubwa kwa mwanaume na ni neema kubwa kwa Mwanamke, depending on "nani kampenda mwenzake".Point tupu ogop friend zone
Umeona unaingia garama ukijipa matumaini utapiga mzigo mwishoni jioni kabisa unapigwa zauso mzigo unanyimwa na urafiki unakufa na garama kibao bora mwanzo kabisa kieleweke mapema kabda ujaingia garama ujue mapema ili upite kushotoFriend zone ni hasara kubwa kwa mwanaume na ni neema kubwa kwa Mwanamke, depending on "nani kampenda mwenzake".
Depoo huyo anani-friendzoneKumbe ndo sababu unaitwa totoo...πππ
mudi ushafeli hapo,Unaumwa kifua?π
Sasa umesoma yaniniπ
Macho hayana na pazia ππUnaumwa kifua?π
Sasa umesoma yaniniπ
Mbona kama kuna ukwelii apaa hiviKwema,
Naona kama una demu umemuelewa achana na mambo ya kuanza kujenga urafiki nae maana atakusumbua baadae kwenye kumtongoza ataanza kukuzungusha na pia itakuw ngumu kumpotezea.
Yako yawe nayo πMacho hayana na pazia ππ
π mudi gani tena mkuu?mudi ushafeli hapo,
uko friendzone.
Nilipaliwa bahati mbaya wakati nasoma comment yako πYako yawe nayo [emoji23]
Alafu mbona hujajibu swali?
Siandiki tena humu πNilipaliwa bahati mbaya wakati nasoma comment yako π
Kutongoza alaf huna pesa ni uzwazwa au sioπInapendwa pesa tu hata uwe na mitongozo mizuri vipi kama huna pesa pita kule.