Ni ujinga kujenga urafiki na mwanamke unayetaka kumtongoza

Ni ujinga kujenga urafiki na mwanamke unayetaka kumtongoza

Kwenye urafiki wa jinsia tofauti hasa kwa vijana kadri mnavyozidi kuwa na ukaribu na kuzoeana kuna mmoja huanza kujenga hisia za kimapenzi na akifunguka ndio mwanzo wa urafiki kuyumba.

Hii ilinikuta, nilitokea kuanza kumpenda yule dada nikawaza itakuaje na anajua maujinga yangu mengi sana, nikawaza nikimwaga sera ntaharibu kila kitu nikabinu mbinu kumteka na zikafanikiwa.

Wanawake huwa mnajiskiaje mkikumbatiwa kwa style hii ya pichani?
View attachment 3069472
Koh koh koh!!
 
Kutengeneza urafiki kwanza huku ukiwa unampenda mwanamke kimapenzi ni ishara ya udhaifu na uoga wa REJECTION.


Tongoza mapema kabla hamjazoeana sana ili hata akikataa kusiwe na yale maumivu ya kumzoea, lakini pia Mwanamke akiwa rafiki yako ni lazima atajua vitu vingi sana kuhusu wewe na maisha yako, who knows? Pengine kwenye characters zako au baadhi ya mambo yako yanaweza kumfanya asikuwazie kama mtu unayeweza kuwa mwanaume wake, tofauti na ambapo atayajua mkiwa kwenye mapenzi tayari (anaweza kukuvumilia ubadilike taratibu).

Ingawa kuna marafiki zetu wa kike wanatakiwa kubaki kama marafiki tu, sio kila mwanamke anayekuwa karibu na wewe basi aliwe.
 
Kutengeneza urafiki kwanza huku ukiwa unampenda mwanamke kimapenzi ni ishara ya udhaifu na uoga wa REJECTION.


Tongoza mapema kabla hamjazoeana sana ili hata akikataa kusiwe na yale maumivu ya kumzoea, lakini pia Mwanamke akiwa rafiki yako ni lazima atajua vitu vingi sana kuhusu wewe na maisha yako, who knows? Pengine kwenye characters zako au baadhi ya mambo yako yanaweza kumfanya asikuwazie kama mtu unayeweza kuwa mwanaume wake, tofauti na ambapo atayajua mkiwa kwenye mapenzi tayari (anaweza kukuvumilia ubadilike taratibu).

Ingawa kuna marafiki zetu wa kike wanatakiwa kubaki kama marafiki tu, sio kila mwanamke anayekuwa karibu na wewe basi aliwe.
Kweli kabisa mkuu
 
Kutengeneza urafiki kwanza huku ukiwa unampenda mwanamke kimapenzi ni ishara ya udhaifu na uoga wa REJECTION.


Tongoza mapema kabla hamjazoeana sana ili hata akikataa kusiwe na yale maumivu ya kumzoea, lakini pia Mwanamke akiwa rafiki yako ni lazima atajua vitu vingi sana kuhusu wewe na maisha yako, who knows? Pengine kwenye characters zako au baadhi ya mambo yako yanaweza kumfanya asikuwazie kama mtu unayeweza kuwa mwanaume wake, tofauti na ambapo atayajua mkiwa kwenye mapenzi tayari (anaweza kukuvumilia ubadilike taratibu).

Ingawa kuna marafiki zetu wa kike wanatakiwa kubaki kama marafiki tu, sio kila mwanamke anayekuwa karibu na wewe basi aliwe.
Point tupu ogop friend zone
 
Friend zone ni hasara kubwa kwa mwanaume na ni neema kubwa kwa Mwanamke, depending on "nani kampenda mwenzake".
Umeona unaingia garama ukijipa matumaini utapiga mzigo mwishoni jioni kabisa unapigwa zauso mzigo unanyimwa na urafiki unakufa na garama kibao bora mwanzo kabisa kieleweke mapema kabda ujaingia garama ujue mapema ili upite kushoto
 
Back
Top Bottom