Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya Wapalestina kwa kudhani wanaouliwa ni Waislam

Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya Wapalestina kwa kudhani wanaouliwa ni Waislam

THE BIG SHOW

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2012
Posts
16,950
Reaction score
13,527
Friends and Enemies,

Al Ahl Baptist church ni hospital ya kanisa ambayo imeanza operation Gaza tokea mwaka 1882,Hospital hiyo imeanzishwa na Church Mission Society Of England kipindi Hiko inatawala Gaza ,baada ya ukoloni 1954 hadi 1982 na kuendelea hospital hiyo imekuwa inaendeshwa na Episcopal church in Jerusalem ikitoa huduma za tiba Kwa wapelestine wakristo,waislam na wengine wengi waishio maeneo Hayo.

Hakuna justification ya aina yoyote katika kuua watu wasio na hatia bila kujali kuwa watu hao ni either WAPALESTINA au WAISRAEL au RACE ya aina yoyote ile,it's just plain and Crystal Clear that it's wrong.

Recently tumeona IDF wakishambulia hospital hiyo huko Gaza na muda mfupi baadae kukana kutohusika na shambulio Hilo ili Hali kila ushahidi unaonekana kuwa ni wao na Sasa wanajutia.

I will never understand this society,soma comments mitandaoni humu,even hapa JF na kwingine watu wanashangilia na kusema Israel ni Taifa la Mungu,hao wapelestine wameanzisha ugomvi wasiouweza so wauwawe tuh hao waislam.

Ndiyo kusema kwamba watu wanadhani kuwa wapelestine ni waislam? thinking that hakuna wakristo na watu wengine ambao wanauawa katika mgogoro huo?

HAMAS imechagua military strategy kama vile ambavyo IDF imechagua Military strategy katika occupation of Land,tukichagua kukemea umwagaji wa damu katika mgogoro huo basi tukemee Hilo on both sides,na kama wazo la two states solution ndiyo litaonekana kuwa ndiyo muaraboini basi jumuiya ya kimataifa Ingepaswa kuweka mkazo katika Hilo.

Damu ya kila mwanadamu Ina thamani haijalishi Imani yake, rangi yake wala asili yake.
 
Huo sio mgogoro wa kidini bali ni;
1. Mgogoro wa raslimali kama ardhi, gesi, mafuta nk.
2. Uzalendo utaifa na kupenda sana nchi yako
3. Wakubwa wana maslahi hapo ndo maana huwa hauishagi

Kipi kifanyike? Acha israel na palestina ziungane iwe nchi moja
 
Mlimpiga Risasi tundu lissu mkasema amejipiga mwenyewe na wenzako wengine walisema mbowe na chadema ndiyo wamempiga lissu na Israel nao wametumia mfano huu wa kupiga hospital alafu baadae wanasingizia HAMAS ndiyo wamehusika na mauaji......ule uchungu upo nao moyoni mwako dhidi ya Palestine ndiyo uchungu uliopo moiyoni mwa wapinzani dhidi ya CCM.

Kwakifupi CCM yako haina tofauti na Israel dhidi ya wapalestina
 
Friends and Enemies,

Al Ahl Baptist church ni hospital ya kanisa ambayo imeanza operation Gaza tokea mwaka 1882,Hospital hiyo imeanzishwa na Church Mission Society Of England kipindi Hiko inatawala Gaza ,baada ya ukoloni 1954 hadi 1982 na kuendelea hospital hiyo imekuwa inaendeshwa na Episcopal church in Jerusalem ikitoa huduma za tiba Kwa wapelestine wakristo,waislam na wengine wengi waishio maeneo Hayo.

Hakuna justification ya aina yoyote katika kuua watu wasio na hatia bila kujali kuwa watu hao ni either WAPALESTINA au WAISRAEL au RACE ya aina yoyote ile,it's just plain and Crystal Clear that it's wrong.

Recently tumeona IDF wakishambulia hospital hiyo huko Gaza na muda mfupi baadae kukana kutohusika na shambulio Hilo ili Hali kila ushahidi unaonekana kuwa ni wao na Sasa wanajutia.

I will never understand this society,soma comments mitandaoni humu,even hapa JF na kwingine watu wanashangilia na kusema Israel ni Taifa la Mungu,hao wapelestine wameanzisha ugomvi wasiouweza so wauwawe tuh hao waislam.

Ndiyo kusema kwamba watu wanadhani kuwa wapelestine ni waislam? thinking that hakuna wakristo na watu wengine ambao wanauawa katika mgogoro huo?

HAMAS imechagua military strategy kama vile ambavyo IDF imechagua Military strategy katika occupation of Land,tukichagua kukemea umwagaji wa damu katika mgogoro huo basi tukemee Hilo on both sides,na kama wazo la two states solution ndiyo litaonekana kuwa ndiyo muaraboini basi jumuiya ya kimataifa Ingepaswa kuweka mkazo katika Hilo.

Damu ya kila mwanadamu Ina thamani haijalishi Imani yake, rangi yake wala asili yake.

Wakristo hawata kuelewa mana ukimbariki israel utabarikiwa na ukimlaani utalaaniwa,sambamba na hilo tuendelee kulaani mauaji ya kigaidi yaliyofanywa na yanayoendelea kufanywa na hamasi.
 
Friends and Enemies,

Al Ahl Baptist church ni hospital ya kanisa ambayo imeanza operation Gaza tokea mwaka 1882,Hospital hiyo imeanzishwa na Church Mission Society Of England kipindi Hiko inatawala Gaza ,baada ya ukoloni 1954 hadi 1982 na kuendelea hospital hiyo imekuwa inaendeshwa na Episcopal church in Jerusalem ikitoa huduma za tiba Kwa wapelestine wakristo,waislam na wengine wengi waishio maeneo Hayo.

Hakuna justification ya aina yoyote katika kuua watu wasio na hatia bila kujali kuwa watu hao ni either WAPALESTINA au WAISRAEL au RACE ya aina yoyote ile,it's just plain and Crystal Clear that it's wrong.

Recently tumeona IDF wakishambulia hospital hiyo huko Gaza na muda mfupi baadae kukana kutohusika na shambulio Hilo ili Hali kila ushahidi unaonekana kuwa ni wao na Sasa wanajutia.

I will never understand this society,soma comments mitandaoni humu,even hapa JF na kwingine watu wanashangilia na kusema Israel ni Taifa la Mungu,hao wapelestine wameanzisha ugomvi wasiouweza so wauwawe tuh hao waislam.

Ndiyo kusema kwamba watu wanadhani kuwa wapelestine ni waislam? thinking that hakuna wakristo na watu wengine ambao wanauawa katika mgogoro huo?

HAMAS imechagua military strategy kama vile ambavyo IDF imechagua Military strategy katika occupation of Land,tukichagua kukemea umwagaji wa damu katika mgogoro huo basi tukemee Hilo on both sides,na kama wazo la two states solution ndiyo litaonekana kuwa ndiyo muaraboini basi jumuiya ya kimataifa Ingepaswa kuweka mkazo katika Hilo.

Damu ya kila mwanadamu Ina thamani haijalishi Imani yake, rangi yake wala asili yake.
Allah Akbar
 
Mlimpiga Risasi tundu lissu mkasema amejipiga mwenyewe na wenzako wengine walisema mbowe na chadema ndiyo wamempiga lissu na Israel nao wametumia mfano huu wa kupiga hospital alafu baadae wanasingizia HAMAS ndiyo wamehusika na mauaji......ule uchungu upo nao moyoni mwako dhidi ya Palestine ndiyo uchungu uliopo moiyoni mwa wapinzani dhidi ya CCM.

Kwakifupi CCM yako haina tofauti na Israel dhidi ya wapalestina

Mfano wako ni mzuri sana.

Even though Mimi siyo CCM.
 
Friends and Enemies,

Al Ahl Baptist church ni hospital ya kanisa ambayo imeanza operation Gaza tokea mwaka 1882,Hospital hiyo imeanzishwa na Church Mission Society Of England kipindi Hiko inatawala Gaza ,baada ya ukoloni 1954 hadi 1982 na kuendelea hospital hiyo imekuwa inaendeshwa na Episcopal church in Jerusalem ikitoa huduma za tiba Kwa wapelestine wakristo,waislam na wengine wengi waishio maeneo Hayo.

Hakuna justification ya aina yoyote katika kuua watu wasio na hatia bila kujali kuwa watu hao ni either WAPALESTINA au WAISRAEL au RACE ya aina yoyote ile,it's just plain and Crystal Clear that it's wrong.

Recently tumeona IDF wakishambulia hospital hiyo huko Gaza na muda mfupi baadae kukana kutohusika na shambulio Hilo ili Hali kila ushahidi unaonekana kuwa ni wao na Sasa wanajutia.

I will never understand this society,soma comments mitandaoni humu,even hapa JF na kwingine watu wanashangilia na kusema Israel ni Taifa la Mungu,hao wapelestine wameanzisha ugomvi wasiouweza so wauwawe tuh hao waislam.

Ndiyo kusema kwamba watu wanadhani kuwa wapelestine ni waislam? thinking that hakuna wakristo na watu wengine ambao wanauawa katika mgogoro huo?

HAMAS imechagua military strategy kama vile ambavyo IDF imechagua Military strategy katika occupation of Land,tukichagua kukemea umwagaji wa damu katika mgogoro huo basi tukemee Hilo on both sides,na kama wazo la two states solution ndiyo litaonekana kuwa ndiyo muaraboini basi jumuiya ya kimataifa Ingepaswa kuweka mkazo katika Hilo.

Damu ya kila mwanadamu Ina thamani haijalishi Imani yake, rangi yake wala asili yake.
Mungu anapambana na kimungu vita vya rohoni hivi
 
ni sadism tu, suffering is suffering, mimi siyo fun wa Uislamu kwa sababu zangu binafsi lkn niko na wapelestina kwa sababu ni binadamu kama binadamu wengine na israeli anachofanya ni crime against mankind, hakuna binadamu aliyesafa na kuumizwa kama mwafrika hivyo tunapaswa kukemea kinachoendelea dhidi ya defenceless people Palestina.

Down with Israel!
 
Friends and Enemies,

Al Ahl Baptist church ni hospital ya kanisa ambayo imeanza operation Gaza tokea mwaka 1882,Hospital hiyo imeanzishwa na Church Mission Society Of England kipindi Hiko inatawala Gaza ,baada ya ukoloni 1954 hadi 1982 na kuendelea hospital hiyo imekuwa inaendeshwa na Episcopal church in Jerusalem ikitoa huduma za tiba Kwa wapelestine wakristo,waislam na wengine wengi waishio maeneo Hayo.

Hakuna justification ya aina yoyote katika kuua watu wasio na hatia bila kujali kuwa watu hao ni either WAPALESTINA au WAISRAEL au RACE ya aina yoyote ile,it's just plain and Crystal Clear that it's wrong.

Recently tumeona IDF wakishambulia hospital hiyo huko Gaza na muda mfupi baadae kukana kutohusika na shambulio Hilo ili Hali kila ushahidi unaonekana kuwa ni wao na Sasa wanajutia.

I will never understand this society,soma comments mitandaoni humu,even hapa JF na kwingine watu wanashangilia na kusema Israel ni Taifa la Mungu,hao wapelestine wameanzisha ugomvi wasiouweza so wauwawe tuh hao waislam.

Ndiyo kusema kwamba watu wanadhani kuwa wapelestine ni waislam? thinking that hakuna wakristo na watu wengine ambao wanauawa katika mgogoro huo?

HAMAS imechagua military strategy kama vile ambavyo IDF imechagua Military strategy katika occupation of Land,tukichagua kukemea umwagaji wa damu katika mgogoro huo basi tukemee Hilo on both sides,na kama wazo la two states solution ndiyo litaonekana kuwa ndiyo muaraboini basi jumuiya ya kimataifa Ingepaswa kuweka mkazo katika Hilo.

Damu ya kila mwanadamu Ina thamani haijalishi Imani yake, rangi yake wala asili yake.
Ni ujinga mlivyofurahia mauaji ya wayahudi waliouliwa kwenye sherehe 260 pia hammas waliua watoto wadogo kwa kuwachinja na kuwateka wayahudi

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Ni ujinga mlivyofurahia mauaji ya wayahudi waliouliwa kwenye sherehe 260 pia hammas waliua watoto wadogo kwa kuwachinja na kuwateka wayahudi

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app

Ushahidi uko wapi kuwa Hamas imeua watoto wadogo Kwa kuwachinja?

Na nani kakueleza tunashangilia Hamas kumwaga damu?pia unazungumzia Hamas kumwaga damu,vip unaacha IDF inayomwaga Damu kila siku ya innocent Palestinian people?
 
Wakristo hawata kuelewa mana ukimbariki israel utabarikiwa na ukimlaani utalaaniwa,sambamba na hilo tuendelee kulaani mauaji ya kigaidi yaliyofanywa na yanayoendelea kufanywa na hamasi.

Wapi hiyo imeandikwa?

Israel haitambui ukristo Wala uislam Zionist wao kipaombele Chao ni Judaism,

Na Wala HUWEZI shangaa alivyolipua baptist church hospital hapo Gaza.

Sasa niambie,unambariki vip MTU anaemwaga damu YAKO?
 
Wakristo hawata kuelewa mana ukimbariki israel utabarikiwa na ukimlaani utalaaniwa,sambamba na hilo tuendelee kulaani mauaji ya kigaidi yaliyofanywa na yanayoendelea kufanywa na hamasi.
Hao ni Wakristo wasiojitambua, wanashindwa kuelewa utume wa Yesu Kristo ulimwenguni. Kwamba Yesu alikuja kwa ajili ya ukombozi wa wanadamu wote wakiwemo hao wayahudi na wapalestina. Ni ujinga kudhani Mungu yupo kwa ajili ya Waisrael tu.

Kumbuka ni hao hao wayahudi waliomuua Yesu na laana hiyo ya kumkataa Masihi ndo ilipelekea Yerusalem kuharibiwa mwaka 70A.D na jemedari Tito wa dola ya Rumi iliyokuwa inaitawala Israel Kama koloni lake.
 
Ni ujinga mlivyofurahia mauaji ya wayahudi waliouliwa kwenye sherehe 260 pia hammas waliua watoto wadogo kwa kuwachinja na kuwateka wayahudi

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app

Walishabikia sana humu na kuchekelea, kibao kilipogeuzwa leo wanaanzisha kila aina ya nyuzi za kutafuta huruma.
Israel sio taifa la kuchezea, wenyewe hula kiapo kinachoitwa Samson option, ni kiapo cha hatari sana ambacho inapaswa kufahamishwa, siku hawa na mikanzu yao wataifikisha Israel ukingoni tutaaumia sote ikiwemo Wakristo, Wabudha na madhehebu yote.
 
Ila ni akili kufurahia na kuunga mkono mauaji ya Jumamosi ya tarehe 7? Familia za Israel xilipovamiwa na Hamas na kuuawa na kutekwa?

Je ni sahihi kufurahia mauji ya watu waluokuwa wanaendesha magari yao wasio kuwa na Silaha kuuawa na Hamas?

Je ni sahihi kufurahia mauaji ya watoto wa ki Israel na kuwekwa kwenye Cage kama kuku? Huku wakirekodiwa na kudhihaki.

Je ni Sawa kubaliki kauli zinazotolewa na mataifa ya uarabu kuifuta Israel katika uso wa Dunia?

Vuta picha kama Israel isingekuwa na Irone Dome je leo Israel ingekuwepo? kwa kuzingatia idadi ya makombora yaliyorushwa na Hamas?

Je? Makombora yaliyokuwa yanarushwa kwenda Israel yakazuiliwa na Irone Dome yalikuwa yanalenga military object?

Hakuna anayekubali mauaji ya binadamu, lakini mlitaka Israel akae kimya apigwe tu?

Africa wanakufa watu wangapi kwaajili ya vita? Tumewahi andika nyuzi za kuumia na kulaani kwa kiwango hiki yanayotokea Congo, Somalia, msumbiji, sudan na Nigeria? Au kwasababu ni wa Africa tunaona ni Sawa wao kufa na kuuawa, vifo vya mataifa ya Africa vina tofauti gani na Israel na Palestinians?

Ukweli ni mchungu kuwa kuna dini zinafundisha chuki na ndio chanzo cha ugaidi,

To all that above what are the military target anticipated by Hamas?

It is true kwamba even war has rules, but in battle field things are vice versa.

Wacha OPERATION IRON SWORD IFANYE KAZI KWANI WASIPOJITETEA WATAFUTWA KATIKA USO WA DUNIA.

GOT IT?
 
Walishabikia sana humu na kuchekelea, kibao kilipogeuzwa leo wanaanzisha kila aina ya nyuzi za kutafuta huruma.
Israel sio taifa la kuchezea, wenyewe hula kiapo kinachoitwa Samson option, ni kiapo cha hatari sana ambacho inapaswa kufahamishwa, siku hawa na mikanzu yao wataifikisha Israel ukingoni tutaaumia sote ikiwemo Wakristo, Wabudha na madhehebu yote.

Israel Siyo Taifa la kuchezea hiyo ni kutokana na fikra zako.

Unapozungumza vitu tumia basi japo ubongo ili ueleweke, before 1948 na tukio la holocaust, Hitler alivyopanga kuangamiza Hiko kizazi choote dunia ilikua pamoja na Jews kama wanadamu wenzao kutokana na attrocities zile walizofanyiwa..

Unaposema eti siyo Taifa la kuchezea,Sasa taifa lipi Lina Haki ya kuchezewa?

Linapokuja suala la uhai binadamu wote ni sawa tuh
 
Back
Top Bottom