Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya Wapalestina kwa kudhani wanaouliwa ni Waislam

Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya Wapalestina kwa kudhani wanaouliwa ni Waislam

Jiulize Irani jina lake kamili ni?
Jamhuri ya Kiislam ya Iran. Sasa utamlaumuje Kiongozi wa nchi inayojiita ya Kiislamu kuongea na Waislamu wengine
Ni sawa na kumlaumu Papa ambaye ni mtawala wa Vatican kutoa wito kwa Wakiristu duniani kuside na Wanyonge wanaokandamizwa!
kuwaelimisha kaz ipo , so jamii za kikristu zisiwasaidie? ndio maana urusi hajisumbui
 
kwann utaje dini , kwan ni mgogoro wa kidini huo?
Kwani Kuna kosa waislam wakiwaunga mkono wapelestine?

Hata HIVYO wapelestine Kuna waislam na wakristo,Kuna kosa wakiwaunga mkono
 
It seems ana upeo finyu sana,Bora kumuacha na fikra zake aishi nazo.
umeshindwa jibu hoja zako , dini yenu inawafunga akili , anachokuambia jamaa ni sahihi sema mshafundishwa ubishi huez elewa
 
kuwaelimisha kaz ipo , so jamii za kikristu zisiwasaidie? ndio maana urusi hajisumbui

Urusi Iko kule na ishapeleka misaada Palestine,haufuatilii kinachoendelea?

Unaishi dunia Gani kwani.
 
Kwani Kuna kosa waislam wakiwaunga mkono wapelestine?

Hata HIVYO wapelestine Kuna waislam na wakristo,Kuna kosa wakiwaunga mkono
ukisema dunia unakuwa hujawahusisha waislam? dini umeletewa lkn umekuwa mjing kuliko mweny dini [emoji23][emoji23][emoji23]
 
mtapigwa popote pale mtakapojificha , mm mkristu ila naunga mkono piga makanisa kama hamas anatumiwa kama kinga
Wewe mkiristo unafurahia waislamu kuuliwa. Lkn jua vita hivi mwisho ushindi upo kwa waislamu
 
umeshindwa jibu hoja zako , dini yenu inawafunga akili , anachokuambia jamaa ni sahihi sema mshafundishwa ubishi huez elewa
Nikujibu nini Sasa,naww kwako Israel ni Taifa Teule la Mungu.
 
Wewe mkiristo unafurahia waislamu kuuliwa. Lkn jua vita hivi mwisho ushindi upo kwa waislamu
ww mpuuz trh 7 oct nliona unashangilia humu , ww hata huyo mudi atakuhukum kwa huu unafiki wako labda ni kichaa , maana uliambiwa humu kuwa majibu yatakuwa mazito , ukaendelea kukenua leo ndo akili zimekukaa ?
 
THE BIG SHOW

Ikiwa mtu kisha-kufuru kwa kuamini myahudi ndiyo mungu wake, sasa huyo utamwambia nini akuelewe?

Qur'an 2:6. Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.6
 
Nikujibu nini Sasa,naww kwako Israel ni Taifa Teule la Mungu.
kamsikilize Mosab Yosef uelew mlivyofungwa akili , hapa nmetoka kuangalia documentary ya Imad wa kiKurd alitekwa na IS , ukipatq muda kafuatilie uone uovu wa hivyo vikundi mnavishabikia kisa waislam wenzenu , huko mashariki ya kati wanapitia mateso kisa hivyo vikundi
 
msaada umepitia wap ?

Hilo pia unataka nikuambie Mimi, seems huelewi chochote na nashangaa Sasa unajadili kitu Gani na hujui kinachoendelea,teh teh teh...

Nchi hii Ina kazi SANA.
 
THE BIG SHOW

Ikiwa mtu kisha-kufuru kwa kuamini myahudi ndiyo mungu wake, sasa huyo utamwambia nini akuelewe?

Qur'an 2:6. Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.6
mnajuwa kutunga maneno , sijawai ona sehem wanasema myaudi ni mungu , ndio maana mlidanganywa eti Mwamposa aliuza mchanga kwa tsh 1000 kwa siku moja tu mpk akapata 900M akajenga hoteli [emoji23][emoji23][emoji23] dini yenu na ujinga ni pete na kidole
 
THE BIG SHOW

Ikiwa mtu kisha-kufuru kwa kuamini myahudi ndiyo mungu wake, sasa huyo utamwambia nini akuelewe?

Qur'an 2:6. Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.6
Hakika Faiza, hakika Allah hakosei...

Mioyo Yao ishapigwa muhuri kabisa,hawaoni hawaskii Bora kuwaachia waamini wanachokiamini.

Hakika Mitume wa Allah walikuwa na kazi kubwa kweli kweli....
 
Hilo pia unataka nikuambie Mimi, seems huelewi chochote na nashangaa Sasa unajadili kitu Gani na hujui kinachoendelea,teh teh teh...

Nchi hii Ina kazi SANA.
[emoji23][emoji23][emoji23] ww ni kilaza mpk ss ndo wamekubaliana misaada kuingia msaada gan wa urus umeingia gaza ? unahisi wote wavaa vipedo?
 
mnajuwa kutunga maneno , sijawai ona sehem wanasema myaudi ni mungu , ndio maana mlidanganywa eti Mwamposa aliuza mchanga kwa tsh 1000 kwa siku moja tu mpk akapata 900M akajenga hoteli [emoji23][emoji23][emoji23] dini yenu na ujinga ni pete na kidole

Teh teh teh,kumbe we ni mfuasi wa mwamposa??

Aah basi kwaheri Mkuu,ningekesha hapa,Sasa kama MTU unamuamin kabisa mwamposa ni Mtume wa Mungu utaweza vipi nielewa Mimi??

Mafuta unayo hapo?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ww ni kilaza mpk ss ndo wamekubaliana misaada kuingia msaada gan wa urus umeingia gaza ? unahisi wote wavaa vipedo?

Msalimie mwamposa Mkuu,Mimi nikivaa vipedo ww unaumia nini??

Ww mbona unakanyaga mafuta na kuuziwa mchanga wa upako Mimi sijasema kitu?ni Imani yako hiyo lazima niipe heshima yake,unafanya mchezo na kukanyaga mafuta ww.
 
Back
Top Bottom