Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya Wapalestina kwa kudhani wanaouliwa ni Waislam

Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya Wapalestina kwa kudhani wanaouliwa ni Waislam

kamsikilize Mosab Yosef uelew mlivyofungwa akili , hapa nmetoka kuangalia documentary ya Imad wa kiKurd alitekwa na IS , ukipatq muda kafuatilie uone uovu wa hivyo vikundi mnavishabikia kisa waislam wenzenu , huko mashariki ya kati wanapitia mateso kisa hivyo vikundi
Islam takes no responsibility Kwa yeyote anaeutumia Kwa maslahi yake what so ever,Kwa sababu uislam ni dini iiliyokamilika yenye Sheria na taratibu zake,utakuwa chizi eti MTU aje kwako afanye matukio ya uovu kisha aseme uislam ndiyo umemtuma naww uamini Hiko pasi na kufuatilia kuwa uislam wenyewe unasema nini katika Hilo,Sasa huo utakuwa upuuzi uislam uje kuwa answerable Kwa kila matendo maovu ya watu,Tena zama hizo za kuchafuliwa uislam ulishapita nashangaa ww Bado unaishi kwenye fikra HIZO.
 
Ushahidi uko wapi kuwa Hamas imeua watoto wadogo Kwa kuwachinja?

Na nani kakueleza tunashangilia Hamas kumwaga damu?pia unazungumzia Hamas kumwaga damu,vip unaacha IDF inayomwaga Damu kila siku ya innocent Palestinian people?
Kama huwezi kuilaani Hamas basi huna sababu za kujiliza dhidi IDF na Israel kwa ujumla wake.

Hii vurugu, hapa karibuni ilikuwa imetulia kidogo na kila upande walikuwa na hamsini zao. Sasa mtu unaamka asubuhi moja unakuta umeshambuliwa na zaidi ya makombora 5,000+ na vijana kwa mamia waliokuwa kwenye consett yao, wamevamiwa na kuchinjwa. Je Wafilisti waletegemea reaction gani toka Israel ?!. Kwamba waende kwenye ma Synagogue yao kuabudu na kushukuru ?!. Maana ya kuwa na jeshi lao ni nini ?!.

Tuuache unafiki. Hamas wasutwe mpaka waelewe hatari ya wanachokifanya mara kwa mara. Lakini kama tunawakumbatia wataendelea kuwaletea Wafilisti shida. Kwani vita havina macho.

Kuhusu shambulio ndani ya hospital ba kuua raia wasio na hatia wakiwemo majeruhi. Uchunguzi ufanyike ili kubaini wahusika. Yeyote kati ya hao anaweza kufanya ujinga huo. Kwa sababu, kwa Israel ni kuwa maadui zao hujichanganya na raia kama ngao kuwapoteza maadui. Lakini kwa Wafilisti, walio wengi itikadi zao zinajulikana dhidi ya miradi inayoeneshwa hasa na kanisa .
 
Hata hao waparestina waliporusha roketi 6000+ kwenda Israel kwani israel kuna wayahudi watupu?
Au waliokufa Israel ni wayahudi watupu? Hakuna waislamu wamekufa Israel kwa makombora ya Hamas?
 
fuatilia usiwe zezeta wa propaganda za hawa waislam , Kamsikilize Moasab Yosef aliyekuwa mtoto wa kiongoz wa hamas , hv walichofanya hamas uliona ni kitendo cha kukichekea ? ni nchi gan ingekaa kimya kwa kile kitendo ? kama Kenya aliivamia Somalia kisa watalii wasiozid 20 je jiulize vifo vya watu 260 na mateka juu na bado wanaendeleza mashambuliz , je ulitaka israeñ wafanyaje?

Nkurudishe kwenye historia , kuanzia miaka 1861 waisrael walianza kurudi hapo na hawakuchangamana na wapalestina bali walienda maeneo ya chini kabisa na kununua maeneo kisha wakawa wanalima na baadae kujenga viwanda kufikia mwaka 1948 mkoloni wa hilo eneo alipotangaza uhuru basi waisrael wakajitangazia uhuru kwa maeneo waliyokwepo na sio maeneo ya wapalestina na hayo maeneo yapo maandiko/vitabu vingi vya wafasiri waliowai pita hapo wanasema hawakukuta mtu yalikuwa mapori yenye magofu tu na makaburi ya kale ya waisrael , hivyo baada ya waisrael kujitangazia uhuru kwenye kiardhi kidogo sana ukilinganisha na lile la wapalestina , waisrael wakaanza pata wageni ktk yale maeneo ambao walikuwa wanadai pale ni kwao na waisrael hawaba haki ya kuwepo pale , wkt huu wapalestina walikuwa na eneo krb robo tatu ya ardhi yote iliyoachiwa huru na uingereza na israel alikuwa na karobo tu ambacho kalikuwa mabonden , basi wapalestina wakasahau kuapambaba kujenga nchi na wakaja na agenda ya kuwatoa waisrael hapo ili wabakie wao kwenye eneo lote ( UBINAFSI HUU , Mbona South Africa hakutaka wameza Lesotho na Swaziland ? Mbona sisi waafrika hatukutaka kuwafukuza waarabu wa afrika kaskazini sababu waliua mababu zetu na kukamata yale maeneo ya kaskazin ).

Mwaka 1948 Waarabu na wapalestina wakaivamia Israel ila kibaya wakapigwa na ili Israel awepo salama ilimbidi apore maeneo ya majiran walioshiriki kumvamia maana israel ilikuwa mabonden so ilikuwa nyepes wao kupigwa au kupoteza vita incase wakivamiwa ghafla , Hali hii waarabu wamekuwa wanaifanya kwa waisrael mara kwa mara na badala ya kuleta matumaini kwa wapalestina , ndo wapalestina wamekuwa wanapoteza maeneo zaid , Je hapa wakulaumiwa nan ?

Shida kuu ya Israel ni amani nchi zote za kiarabu na kwa wapelestina walishapewa option 2 , moja ni kuunda taifa moja ila wapalestina walikataa , na la pili ni kila mtu awe na taifa lake lkn Wapalestina waitambue Israel kama taifa huru na hii pia wapelestina walikataa.

Malengo makuu ya wapalestina ni kuwaondoa waisrael hapo na sio kuish nao kwa amani , mtu wa karne ya 21 unapata ujasiri wap wa kusapoti watu wa namna hii ? hawa ni wabaguzi , tukianza kuwa na akili hz basi watu wengi itabidi waondolew katika maeneo mengi sana dunian .

Kibaya zaidi waaabu au wapalestina au washirika wengine ndo wamekuwa wanaanza ivamia israel , hivyo mara zote Israel amekuwa analazimishwa kuingia vitan akiwa hajajipanga na ili kumtisha mvamizi lzm apige mapigo mazito ili iwe hofu kwa mvamiz na tulivyo na akili za kulala tunahukumu tu anaejibu ila hatuoni huyu ambaye yupo duniani na ajui nini anatakiwa afanye , miaka 75 sasa wapalestina hawana hata fikra za kuunda nchi yao badala yake wamekuwa watumwa wa waarab na waajemi kwenye vita dhidi ya israel , je kama ni wewe ungewafanyaj majiran wa hv ?

unaongea kama Kaburu wa Afrika Kusini, unajua kwamba hiyo argument yako Wazungu AK wanasema hivyo hivyo kwamba walipokuja walikuta mapori na hawakukuta mtu wakafyeka mapori na kujenga mji ndiyo waafrika wakaibuka ktk porini na kusema ni nchi yao hiyo argument ilijustify apartheid system ambapo mtu mweusi kama wewe ulikuwa daraja la tatu hata waarabu unaowatukana humu walikuwa daraja la pili AK waliwekwa juu yako btw unajua nani alisapoti apartheid AK ? Ni Wayahudi, akina Cecil Rhodes walioanzisha Rhodesia ni Wayahudi na walitumia argument kama yako kukandamiz waafrika mpaka Mandela anatoka jela alikuwa kwenye terrorist list ya all western nations USA $ Co.

Isitoshe unajua kwamba mkoa wote wa Kilimajaro, Arusha mpaka Nairobi ni masai land? Sasa je unafikiri ni sawa leo hii wamasai kuwafukuza wachaga Kilimanjaro na kudai ardhi yao? Ni sawa wamasai kuitaka nairobi yote kwamba ni yao?
 
Ushangilie usishangilie ww inakusaidia nn ugomvi wa israel na palestina ni ugomvi wao na ata ukiumia haisaidii na ata ukilia haisaidii sana sana pambana na maisha yako na familia yako

Africa kla sku watu wanakufa kwa vita na majanga kibao ushawai muona palestina au israel wakilia na ww ebu wacha unafiki
Somaria na Sudan waafrica wenzako wanakufa ebu jadili ilo ebu onesha sapport yako kwa Sudan Somalia kongo
 
Watakufa raia wachache ili wengi wapone,kama alivyofanya Mrusi kuwamaliza magaidi wa ISIS na ISIL kwa kuuwa raia wachache wasio na hatia.
Bila hivyo nzige wangefika Ulaya.
Magaidi upenda kujifichia kwa raia ili kusaka huruma ya dunia.
IDF hawana ugomvi na wapalestina bali Hamas waliojificha kwa raia popote walipo iwe kanisani msikitini watalipuliwa huko huko.
 
Kama huwezi kuilaani Hamas basi huna sababu za kujiliza dhidi IDF na Israel kwa ujumla wake.

Hii vurugu, hapa karibuni ilikuwa imetulia kidogo na kila upande walikuwa na hamsini zao. Sasa mtu unaamka asubuhi moja unakuta umeshambuliwa na zaidi ya makombora 5,000+ na vijana kwa mamia waliokuwa kwenye consett yao, wamevamiwa na kuchinjwa. Je Wafilisti waletegemea reaction gani toka Israel ?!. Kwamba waende kwenye ma Synagogue yao kuabudu na kushukuru ?!. Maana ya kuwa na jeshi lao ni nini ?!.

Tuuache unafiki. Hamas wasutwe mpaka waelewe hatari ya wanachokifanya mara kwa mara. Lakini kama tunawakumbatia wataendelea kuwaletea Wafilisti shida. Kwani vita havina macho.

Kuhusu shambulio ndani ya hospital ba kuua raia wasio na hatia wakiwemo majeruhi. Uchunguzi ufanyike ili kubaini wahusika. Yeyote kati ya hao anaweza kufanya ujinga huo. Kwa sababu, kwa Israel ni kuwa maadui zao hujichanganya na raia kama ngao kuwapoteza maadui. Lakini kwa Wafilisti, walio wengi itikadi zao zinajulikana dhidi ya miradi inayoeneshwa hasa na kanisa .

Kuongea HIVYO ni makosa makubwa sana,Hilo vugu vugu kutulia haikuwa na maana kwamba Hamas waliweka Silaha chini la hasha,kumbuka IDF imekuwa inaendelea na shughuli za illegal occupation kila mara Kwa kustukiza na taarifa zilikuwa zinaripotiwa mara Kwa mara sema mmeamua kuchagua upande wa kushabikia.

Unashangaza kulaani Hamas na kuwaita magaidi huku IDF mkiwaacha na kusema walinda amani wa Israel ni makosa makubwa sana.

Hamas siyo magaidi Kwa kuwa ni taasisi kamili ambayo Ina uwakilishi ndani ya serikali na Ina wabunge wake na utawala wake,unaowaita wewe magaidi ni freedom fighters Kwa wenzako tambua hilo
 
Hata hao waparestina waliporusha roketi 6000+ kwenda Israel kwani israel kuna wayahudi watupu?
Au waliokufa Israel ni wayahudi watupu? Hakuna waislamu wamekufa Israel kwa makombora ya Hamas?
Zaidi ya raia milioni 1 wa Israel ni waislamu
Na makombora ya hamas yalikuwa hayachagui yaangukie wapi wala yamuuwe nani
Kamwe hauwezi kuwasikia wakiilaumu hamas kwa mauaji.
 
Hizo ni history za wajinga tu, uislam na ushoga wapi na wapi hongereni taifa lamungu wenu ndio mnaongoza ushoga na ushonga ni damu damu na ukristo hebu fatilia uone makanisa mangapi wanaowana wanaume kwa wanaume 😂
Aibu aibu mwanamme mzima anapaka wanja na hina na kumlamba mdomo na kumnyonya ulimi mwanamme mwenzake al Hussein msikitini akiwa uchi.

Pathetic and disgusting.

Kinyaa uchafu
 
Mleta mada ulikuwa unafurahia sana siku Hamas walipovizia na kuitandika Israel na kuua mamia ya watu na kuteka watu?
Sasa kibao kimegeuka na wapalestina kuuawa imekuwa maumivu kwako.

Vita sio nzuri, regardless wanaua au kuawawa unawapenda au kuwachukia.
 
Sasa unabishana na Mimi au na facts za dunia,huo ukweli mbona uko wazi??

Mapenzi yenu Kwa Israel Kwa kweli hayana kifani,hadi mnashangilia hata wakiua wakristo wenzenu??teh teh teh,mnasema sawa ua tuh ww Israel ni Taifa Teule la Mungu..!!
Wivu tu.
 
kwan nan alianza kumvamia mwenzie? mbona ujinga wa hali ya juu
Chanzo cha mzozo huu sio uvamizi wa Hamas tu, ila ule uvamizi ni mwendelezo tuu wa huu mzozo wa miaka mingi.
 
Kiuhalisia kuna uonevu unaoonekana kwa Wapalestina.
Ukiangalia ramani ya zamani Palestina ilikuwa kubwa Israel ndogo
Saivi ukiangalia ramani Israel in 89% Palestina 11% kitu ambacho sio haki
 
Several historical documents published lately have revealed that the former Israeli Prime Minister, Shimon Peres, had filed a request in the past to obtain Palestinian citizenship. According to Radio "24", the documents tell that Peres was a farmer when he arrived in Palestine coming from Belarus in 1937. Peres' signature appears clearly in the citizenship application which includes a statement saying, "I swear to be faithful and loyal to the government of Palestine."

Read more at https://english.palinfo.com/31009
copyright The Palestinian Information Center
 

Attachments

  • IMG_5184.jpeg
    IMG_5184.jpeg
    56.3 KB · Views: 1
Kwani hawayaoni yanayo endelea kwa wapalestina! Watoto, wazee, watu wazima wanauawa huku wanashangilia!!
👇

وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ

Al-Baqarah 120

Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا سَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنْذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنْذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
2:6 Al-Baqarah
Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.

خَتَمَ اللَّهُ عَلَىٰ قُلُوبِهِمْ وَعَلَىٰ سَمْعِهِمْ ۖ وَعَلَىٰ أَبْصَارِهِمْ غِشَاوَةٌ ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ عَظِيمٌ
2:7 Al-Baqarah
Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa.
 
Mlimpiga Risasi tundu lissu mkasema amejipiga mwenyewe na wenzako wengine walisema mbowe na chadema ndiyo wamempiga lissu na Israel nao wametumia mfano huu wa kupiga hospital alafu baadae wanasingizia HAMAS ndiyo wamehusika na mauaji......ule uchungu upo nao moyoni mwako dhidi ya Palestine ndiyo uchungu uliopo moiyoni mwa wapinzani dhidi ya CCM.

Kwakifupi CCM yako haina tofauti na Israel dhidi ya wapalestina

Jamani hii kichaa kinaitwaje???…. watu wako middle East we uko na ccm na chadema kweli matatizo ya akili bado makubwa
 
Back
Top Bottom