Ni upi umri sahihi wa kuacha kumuadhibu mtoto?

Ni upi umri sahihi wa kuacha kumuadhibu mtoto?

lwambof07

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2016
Posts
4,643
Reaction score
5,335
Hello hello,

Kulea ni jambo zito sana sio jepesi hata kidogo, katika kulea wazazi hukutana na changamoto nyingi sana ambapo kuna wakat hadi wanajiuliza kwa nini nilimzaa huyu mtoto hasa pale mtoto anapokuwa haambiliki hasikii, hapo kiboko hutumika sana kujaribu kumuweka sawa.

Hivi ni wakati gani hasa sahihi wa kuacha kumpiga mtoto wako pale anapokuwa amefanya kosa au amefanya tofauti na vile ulivyomuagiza?

download (1).jpg
images (4).jpg
View attachment 2080336
 
Pale unapoona mtoto akitamani kukuadhibu wewe kwa kulipiza kisasi ... Inakubidi ubadili mbinu, kupiga haiwezi kuwa suruhisho tena!!... Jenga urafiki nae na uruhusu majadiliano kufikia muafaka!

Kama ukiona kama mtu mzima huna sababu ya kujadiliana na mwanao kwa udogo wake, basi achana kabisa na mambo ya kuzaa, kwani kuzaa au kuzalisha ni rahisi, kazi ni kulea.
 
Hakuna umri sahihi wa kuacha kumuadhibu mtoto. Kama atafuata taratibu na maelekezo ninayompa ataacha kuadhibiwa mapema lakini Kama atakua mkaidi ataendelea kupata kichapo hadi akili imkae sawa.
 
Usimwadhibu kabisa, tangu mdogo (anapoanza kuelewa) uwe unaongea nae, unamweleza kwanini asifanye hivyo madhara yake. Usimwadhibu.
So no kiboko[emoji848][emoji848]
 
Pale unapoona mtoto akitamani kukuadhibu wewe kwa kulipiza kisasi ... Inakubidi ubadili mbinu, kupiga haiwezi kuwa suruhisho tena!!... Jenga urafiki nae na uruhusu majadiliano kufikia muafaka!

Kama ukiona kama mtu mzima huna sababu ya kujadiliana na mwanao kwa udogo wake, basi achana kabisa na mambo ya kuzaa, kwani kuzaa au kuzalisha ni rahisi, kazi ni kulea.
Kabisa kulea ni mtihani kwa kweli
 
Hakuna umri sahihi wa kuacha kumuadhibu mtoto.Kama atafuata taratibu na maelekezo ninayompa ataacha kuadhibiwa mapema,lakini Kama atakua mkaidi ataendelea kupata kichapo hadi akili imkae sawa.
Duh
 
Kipigo hakiepukiki kwa mtoto, chapa kwelikweli.

Ila kubwa zaidi mfanye mwanao/ mtoto akuamini tangu akiwa mdogo. Yani awe na ile imani kua baba/mama akinambia hivi basi ni kweli, akikataza hiki basi kweli kina madhara nk nk.

Ila hii njia ifanye kama wewe mzazi huna makandokando mengi kwasababu watoto wengi saivi wanapenda kureason na hawana aibu kama wa zamani. Haoni ajabu kukuumbua "baba mbona we unafanyaa"" . Jibehave unapokua na watoto, wape maarifa mapya ambayo unaona haya hawayajui na hawana wa kuwaambia, yawe ya shule, nyumbani, maisha , story na tafiti za kisayansi ili tu akuone we ni mtu mbadi.
 
Kipigo hakiepukikia kwa mtoto, chapa kwelikweli.

Ila kubwa zaidi mfanye mwanao/ mtoto akuamini tangu akiwa mdogo. Yani awe na ile imani kua baba/mama akinambia hivi basi ni kweli, akikataza hiki basi kweli kina madhara nk nk.

Ila hii njia ifanye kama wewe mzazi huna makandokando mengi kwasababu watoto wengi saivi wanapenda kureason na hawana aibu kama wa zamani. Haoni ajabu kukuumbua "baba mbona we unafanyaa"" . Jibehave unapokua na watoto, wape maarifa mapya ambayo unaona haya hawayajui na hawana wa kuwaambia, yawe ya shule, nyumbani, maisha , story na tafiti za kisayansi ili tu akuone we ni mtu mbadi.
Ahsante kwa mchango wako Vishu Mtata
 
Pale unapoona mtoto akitamani kukuadhibu wewe kwa kulipiza kisasi ... Inakubidi ubadili mbinu, kupiga haiwezi kuwa suluhisho tena!!... Jenga urafiki nae na uruhusu majadiliano kufikia muafaka!

Kama ukiona kama mtu mzima huna sababu ya kujadiliana na mwanao kwa udogo wake, basi achana kabisa na mambo ya kuzaa, kwani kuzaa au kuzalisha ni rahisi, kazi ni kulea.
Well said.......
 
Hello hello,

Kulea ni jambo zito sana sio jepesi hata kidogo, katika kulea wazazi hukutana na changamoto nyingi sana ambapo kuna wakat hadi wanajiuliza kwa nini nilimzaa huyu mtoto hasa pale mtoto anapokuwa haambiliki hasikii, hapo kiboko hutumika sana kujaribu kumuweka sawa.

Hivi ni wakati gani hasa sahihi wa kuacha kumpiga mtoto wako pale anapokuwa amefanya kosa au amefanya tofauti na vile ulivyomuagiza?

View attachment 2080328 View attachment 2080330
View attachment 2080336
Mie mtoto akishafika miaka Saba huwa naanza kumkemea na kuongea nae tu maana ameshajua nini hapaswi kufanya na ana majukumu gani pale nyumbani.

I have two boys na Sasa wamekua mmoja 15mwingine 11 naona imesaidia. Huyu teenager ndio amekuwa kama afisa utumishi akiona mdogo wake hata suruali imeshuka lazima amkemee and he is doing well kwenye maomo na Michezo especially swimming.

So wanasema samaki mkunje angalia mbichi akikauka utamvunja tu same to watoto akikua utakuwa unapigia mbuzi gitaa.

Have some quality time with your children wawapo wadogo wafunze sana ule ni umri ambao hawapo exposed kwenye mambo mengi na ndio umri ambao wanajifunza na kushika kichwani kwa haraka zaidi, ule umri kabla ya miaka Saba , name mpaka Tisa ni umri ambao mtoto anapokea vitu na kuweka kichwani, jitahidi ukae nae halafu acha kumkemea kama mbuzi mkataze na meanie kwa nini unamkataza Tena kwa upole ili asiogope bali aelewe.

Utakuja kupiga mtoto wa miaka 17 anakupiga ngumi unaanza kulalamika anavuta bangi ,😃😃😃 utaumbuka mbele ya mkeo na akishakupiga ujue nyumba anaicontrol yeye hakuna kitu mtamfanya.
 
Mie mtoto akishafika miaka Saba huwa naanza kumkemea na kuongea nae tu maana ameshajua nini hapaswi kufanya na ana majukumu gani pale nyumbani.

I have two boys na Sasa wamekua mmoja 15mwingine 11 naona imesaidia. Huyu teenager ndio amekuwa kama afisa utumishi akiona mdogo wake hata suruali imeshuka lazima amkemee and he is doing well kwenye maomo na Michezo especially swimming.

So wanasema samaki mkunje angalia mbichi akikauka utamvunja tu same to watoto akikua utakuwa unapigia mbuzi gitaa.

Have some quality time with your children wawapo wadogo wafunze sana ule ni umri ambao hawapo exposed kwenye mambo mengi na ndio umri ambao wanajifunza na kushika kichwani kwa haraka zaidi, ule umri kabla ya miaka Saba , name mpaka Tisa ni umri ambao mtoto anapokea vitu na kuweka kichwani, jitahidi ukae nae halafu acha kumkemea kama mbuzi mkataze na meanie kwa nini unamkataza Tena kwa upole ili asiogope bali aelewe.

Utakuja kupiga mtoto wa miaka 17 anakupiga ngumi unaanza kulalamika anavuta bangi ,[emoji2][emoji2][emoji2] utaumbuka mbele ya mkeo na akishakupiga ujue nyumba anaicontrol yeye hakuna kitu mtamfanya.
nimekupata vizuri
hapo kwenye ngumi weee hapana atahama kwa mda
 
Back
Top Bottom