Ni upi umri sahihi wa kuacha kumuadhibu mtoto?

Ni upi umri sahihi wa kuacha kumuadhibu mtoto?

binafsi niliacha kupigwa nikiwa 14.

ni pale mzazi/mlezi unapoona mtoto hakosei bila sababu za msingi.basi unagundua kashakua ni wa kuelekezwa tu sasa.
 
Binafsi mzee wangu alinifanya kuwa rafiki yake Sana, Basi aliniadhibu Mara moja tu katika maisha yangu yote ya kulelewa nyumbani na nilikuwa ni miongoni mwa watoto watundu mtaa mzima ila Wala sikuwahi kupigwa zaidi ya Mara moja ktk maisha yangu ya kulelewa na wazazi nikajikuta tayari nishabadili tabia kwani mzee alinifanya kuwa rafiki yake, baada ya kile kipigo Cha mwanzo na Cha mwisho,nikagundua kumbe mzazi akicheza karata zake vizuri anaweza kubadilisha hatima ya mtoto wake..mzee alikuwa ni mtu aliye na misimamo Sana lakini aliniweka karibu Sana na yeye,kiasi ambacho ni kawa Kama yeye tu kitabia ukiacha na tabia za vinasaba...ni vizuri wazazi hasa wa kiume ambao wanajikuta wapo busy Sana,kutenga muda zaidi kuwa karibu na watoto wao toka wakiwa wadogo tu, ili kuwapa misingi mizuri na kumuelewesha ulimwengu ulivyo.
 
Akifika miaka 7 acha kupiga bali anza kuongea nae tu.
Au endelea then akifika miaka 17 hutoweza kumfanya chochote na hapo ndipo ataanza kutumia uhuru wake vibaya.
 
Hakuna umri sahihi wa kuacha kumuadhibu mtoto. Kama atafuata taratibu na maelekezo ninayompa ataacha kuadhibiwa mapema lakini Kama atakua mkaidi ataendelea kupata kichapo hadi akili imkae sawa.
Umri wa kuacha kumuadhibu ni 7 kama ni muelewa kama ni mtukutu basi 12 baada ya hapo ni wa kuongea nae zaidi.
Hapo itategemea kama mzazi sio mtukutu au hakuwa mtukutu sababu watoto hurithi.

Zaidi ya hapo akifika 17 kama ni wa kiume basi jiandae kupigwa na wewe, niamini huwezi piga mtoto wa kiume miaka 17 labda awe mfupi asiye na afya.
 
Juzi Dec nimpiga Bint yangu kipigo Cha Mbwa mwizi baada ya kujilidhisha kua amebadili alama za matokeo kwenye karatasi aloleta home. Nimepiga kiasi hata sahau kamwe. Yuko kidato Cha kwanza. Ndo kesho anaenda kitado Cha pili. Hakika nimepiga akaridia basi
 
binafsi niliacha kupigwa nikiwa 14.

ni pale mzazi/mlezi unapoona mtoto hakosei bila sababu za msingi.basi unagundua kashakua ni wa kuelekezwa tu sasa.
na ukaelekea ulivyoacha kudundwa
 
Binafsi mzee wangu alinifanya kuwa rafiki yake Sana, Basi aliniadhibu Mara moja tu katika maisha yangu yote ya kulelewa nyumbani na nilikuwa ni miongoni mwa watoto watundu mtaa mzima ila Wala sikuwahi kupigwa zaidi ya Mara moja ktk maisha yangu ya kulelewa na wazazi nikajikuta tayari nishabadili tabia kwani mzee alinifanya kuwa rafiki yake, baada ya kile kipigo Cha mwanzo na Cha mwisho,nikagundua kumbe mzazi akicheza karata zake vizuri anaweza kubadilisha hatima ya mtoto wake..mzee alikuwa ni mtu aliye na misimamo Sana lakini aliniweka karibu Sana na yeye,kiasi ambacho ni kawa Kama yeye tu kitabia ukiacha na tabia za vinasaba...ni vizuri wazazi hasa wa kiume ambao wanajikuta wapo busy Sana,kutenga muda zaidi kuwa karibu na watoto wao toka wakiwa wadogo tu, ili kuwapa misingi mizuri na kumuelewesha ulimwengu ulivyo.
point taken kuwa na msimamo ukisema umesema hakuna kurud nyuma
 
Akifika miaka 7 acha kupiga bali anza kuongea nae tu.
Au endelea then akifika miaka 17 hutoweza kumfanya chochote na hapo ndipo ataanza kutumia uhuru wake vibaya.
Ok Miaka 7 hapo yupo la 3 au 4 hv
 
Juzi Dec nimpiga Bint yangu kipigo Cha Mbwa mwizi baada ya kujilidhisha kua amebadili alama za matokeo kwenye karatasi aloleta home. Nimepiga kiasi hata sahau kamwe. Yuko kidato Cha kwanza. Ndo kesho anaenda kitado Cha pili. Hakika nimepiga akaridia basi
eeh bwuana eeh utakuja kuua hapo alipo anakuogopa kama nini sasa hivi
mtoto akikuogopa atakuficha mambo yake hata ukimuuliza hatokuambia kama akikuambia atakudanganya ila akiwa rafiki yako hatokuficha kitu
 
eeh bwuana eeh utakuja kuua hapo alipo anakuogopa kama nini sasa hivi
mtoto akikuogopa atakuficha mambo yake hata ukimuuliza hatokuambia kama akikuambia atakudanganya ila akiwa rafiki yako hatokuficha kitu
Mtoto wako awe rafiki yako sio?

Wakina baba Junior mko wengi hakika.
 
eeh bwuana eeh utakuja kuua hapo alipo anakuogopa kama nini sasa hivi
mtoto akikuogopa atakuficha mambo yake hata ukimuuliza hatokuambia kama akikuambia atakudanganya ila akiwa rafiki yako hatokuficha kitu
Wala sitaki awe rafiki yangu. Nataka awe mtoto wangu period. Marafiki ninao. Mipaka yetu udumishwe
 
Inategemea maana mimi nakumbuka kichapo nilipewa cha mara ya mwisho kilikua kipindi nasubiri matokeo ya form 4. Inategemea na familia.
 
Back
Top Bottom