Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzetu naona mwatuletea malezi ya kiulayaulaya hapa! Waafrika tuna mila na desturi zetu katika malezi, lakini hata maandiko kwenye waumini wa Kikristu ni kwamba usimnyime mtoto kiboko katika malezi, sasa ukisema umwelekeze na akagoma kuelekezwa umnunulie pipi na biscuits kumshawishi?!Hello hello,
Kulea ni jambo zito sana sio jepesi hata kidogo, katika kulea wazazi hukutana na changamoto nyingi sana ambapo kuna wakat hadi wanajiuliza kwa nini nilimzaa huyu mtoto hasa pale mtoto anapokuwa haambiliki hasikii, hapo kiboko hutumika sana kujaribu kumuweka sawa.
Hivi ni wakati gani hasa sahihi wa kuacha kumpiga mtoto wako pale anapokuwa amefanya kosa au amefanya tofauti na vile ulivyomuagiza?
View attachment 2080336
Ahsante kwa kushare nasiSheria ya kiislamu ni hadi miaka 15., kuanzia hapo tena mtoto anatakiwa kwa vyovyote afahamu jambo baya na jema, na mzazi kuanzia umri huo lile jukum la kumbana kimaadili na kumfundisha linaanza kuondoka kwenye dhamana yake., na mtoto anatakiwa aanze kuchapwa chapwa kwenye miaka 7 na kuendelea afunzwe ibada kidogo dogo hadi kufikia hapo 15 tena otherwise mzazi atakuwa na dhima kubwa juu ya mtoto kwa Mola wetu
kwa maana hiyo kwako wewe hakuna mwisho full kumdunda tu kwa kuwa ni mtt wako [emoji848][emoji848]Wenzetu naona mwatuletea malezi ya kiulayaulaya hapa! Waafrika tuna mila na desturi zetu katika malezi, lakini hata maandiko kwenye waumini wa Kikristu ni kwamba usimnyime mtoto kiboko katika malezi, sasa ukisema umwelekeze na akagoma kuelekezwa umnunulie pipi na biscuits kumshawishi?!
Duhsaiv nina nganyoni anakula stiki za kutosha nikipata ndito naye hivyo hivyo suala la kuongea na mtoto nawaachia kina baba junior ,,,,,,ukikaa kwenye mstari ninaoutaka utakuwa rafiki yangu rather than that stick tuu mpka siku ninayo kusend off(wakike ) au harusi(wakiume)
miaka 17 hadi 18 [emoji848][emoji848]Mtoto kufika tu miaka 17-18 anakuwa anarekebishika kwa kuongea nae tu kwa kumkalisha chini, kama atakuwa haelewi basi ndo imekula kwako hivyo... Hutoweza tena hata utumie nini, labda neema ya Mungu tu impitie.
Sent from my TECNO CE9 using JamiiForums mobile app
de nadaAhsante kwa kushare nasi
Usimwadhibu kabisa, tangu mdogo (anapoanza kuelewa) uwe unaongea nae, unamweleza kwanini asifanye hivyo madhara yake. Usimwadhibu.
Sema umri wa mtt kuacha kuadhibiwa.Hello hello,
Kulea ni jambo zito sana sio jepesi hata kidogo, katika kulea wazazi hukutana na changamoto nyingi sana ambapo kuna wakat hadi wanajiuliza kwa nini nilimzaa huyu mtoto hasa pale mtoto anapokuwa haambiliki hasikii, hapo kiboko hutumika sana kujaribu kumuweka sawa.
Hivi ni wakati gani hasa sahihi wa kuacha kumpiga mtoto wako pale anapokuwa amefanya kosa au amefanya tofauti na vile ulivyomuagiza?
View attachment 2080336
Kama amelelewa karibu na danguro unategemea nini? hizo ndio faida zake sasa.wazazi wanawafumania watoto wao wa kike umri wa miaka 10+ wanafanya mapenzi nyumban
Mtoto wa kike kavusha Mwanaume nyumban kwa mzazi
Unakutana na ushauri usimpige wewe muelekeze huyo mtoto
Mambo ya kuelekeza unataka kutengeneza mtoto aina ya Junior. Mtoto wa kiafrica wazazi wanamlea kizungu
na hapa ndipo wahenga wanakuja sasa Samaki mkunje angali mbichiKama amelelewa karibu na danguro unategemea nini? hizo ndio faida zake sasa.
Mtoto anajifunza kutoka kwenye mazingira na jamii ukiwemo wewe mzazi, sasa kama mazingira ni mabovu na wewe mzazi ndio vilevile basi tegemea kutengeneza time bomb.
Mtoto wa miaka 10 kuanza tabia mbovu ni kielelezo kwamba wazazi na jamii nzima hawajitambui na sio sababu alikuwa hapigwi.
Huyo mtoto hata upige kama punda hatosikia.