wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Anajua mimi Ni baba yake na sio rafiki yake.wewe mwanao Ina elekea akisikia tu sauti yako anakimbia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajua mimi Ni baba yake na sio rafiki yake.wewe mwanao Ina elekea akisikia tu sauti yako anakimbia
Motivational speakers.Ukinipiga Na Mimi nakupiga
Ur very slow brother hapo nimevaa uhusika wa mindset ya watoto wa siku hizi. Ur a D student. I am dis appointed in u. Ungekuwa Mtoto wangu ningekupiga bila kujali umeanza kunyoa ndevu au umeanza Kupiga masterbationMotivational speakers.
Akianza kufanya masterbationHello hello,
Kulea ni jambo zito sana sio jepesi hata kidogo, katika kulea wazazi hukutana na changamoto nyingi sana ambapo kuna wakat hadi wanajiuliza kwa nini nilimzaa huyu mtoto hasa pale mtoto anapokuwa haambiliki hasikii, hapo kiboko hutumika sana kujaribu kumuweka sawa.
Hivi ni wakati gani hasa sahihi wa kuacha kumpiga mtoto wako pale anapokuwa amefanya kosa au amefanya tofauti na vile ulivyomuagiza?
View attachment 2080328 View attachment 2080330
View attachment 2080336
unampiga mbele ya watoto zake dadeki[emoji848][emoji848]Ur very slow brother hapo nimevaa uhusika wa mindset ya watoto wa siku hizi. Ur a D student. I am dis appointed in u. Ungekuwa Mtoto wangu ningekupiga bila kujali umeanza kunyoa ndevu au umeanza Kupiga masterbation
Kusemwa kupo...so wewe hadi leo bado unadundwa tu
Rafiki wa mtoto Ni rafiki zake na sio Mimi baba yake.nilikuwa sijui kumbe baba sio vizuri kuwa rafiki na mtoto wake [emoji848][emoji848]
Hakika makalio hua yanasingiziwa tu maana yenyewe hua yanatumika Kama spika tu,mchawi tumboUr very slow brother hapo nimevaa uhusika wa mindset ya watoto wa siku hizi. Ur a D student. I am dis appointed in u. Ungekuwa Mtoto wangu ningekupiga bila kujali umeanza kunyoa ndevu au umeanza Kupiga masterbation
Mi napiga mboroh tu,fimbo nimewaachia nyie watoto wenzao.unampiga mbele ya watoto zake dadeki[emoji848][emoji848]