Ni upi umri sahihi wa kuacha kumuadhibu mtoto?

Inategemea maana mimi nakumbuka kichapo nilipewa cha mara ya mwisho kilikua kipindi nasubiri matokeo ya form 4. Inategemea na familia.
ok inategemea na familia
 
Motivational speakers.
Ur very slow brother hapo nimevaa uhusika wa mindset ya watoto wa siku hizi. Ur a D student. I am dis appointed in u. Ungekuwa Mtoto wangu ningekupiga bila kujali umeanza kunyoa ndevu au umeanza Kupiga masterbation
 
Akianza kufanya masterbation
 
Ur very slow brother hapo nimevaa uhusika wa mindset ya watoto wa siku hizi. Ur a D student. I am dis appointed in u. Ungekuwa Mtoto wangu ningekupiga bila kujali umeanza kunyoa ndevu au umeanza Kupiga masterbation
unampiga mbele ya watoto zake dadeki[emoji848][emoji848]
 
Ur very slow brother hapo nimevaa uhusika wa mindset ya watoto wa siku hizi. Ur a D student. I am dis appointed in u. Ungekuwa Mtoto wangu ningekupiga bila kujali umeanza kunyoa ndevu au umeanza Kupiga masterbation
Hakika makalio hua yanasingiziwa tu maana yenyewe hua yanatumika Kama spika tu,mchawi tumbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…