Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Nafanya hivyo kesho
Jitahidi kumkojoza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafanya hivyo kesho
Pole sana kaka nahisi utakua bado hujaoa au either huyajui maisha vizuri nakupa pole ila ukikua utajua nachomaanisha mimiJitahidi kumkojoza
Pole sana kaka nahisi utakua bado hujaoa au either huyajui maisha vizuri nakupa pole ila ukikua utajua nachomaanisha mimi
Nakuambia kuwa Mwanamke usipomkojoza hayo ndio matatizo yao.
Mwanamke hawezi msumbua mwanaume anayemkojoza.
Fanya mpango huo alafu uone kama ataleta hizo unazoita dharau.
Aya sawa hakuna tatizo.
Zingatia alichokwambia jamaa, mfanye mkeo ajue kuwa we ni Moja ya bidhaa adimu acha kuwa Mr nice guy. Mpige matukio ya mechi za nje ajue hayupo peke ake.Pole sana kaka nahisi utakua bado hujaoa au either huyajui maisha vizuri nakupa pole ila ukikua utajua nachomaanisha mimi
Kesho namuacha rasmi kakaYan mwanamke bdo hujaoa then unaweweseka hvyo?....
🤣🤣🤣Matatizo ya Jamaa yapo kati ya haya;
1. Hamkojozi binti wa Watu.
Mke ukimkojoza hawezi kukusumbua kamwe.
2. Hajiamini
Mwanaume anayejiamini anauhakika wa kuoa Mwanamke mzuri mwingine. Hivyo mkewe hawezi kumsumbua
3. Anampenda kupitiliza.
Lakini kumpenda mtu kupitiliza hakumfanyi Mwanamke akudharau ikiwa unamkojoza
Usikurupuke lakini....Kesho namuacha rasmi kaka
Usiwaze kabisa ni mojawapo ya maoni japo ilo linafanyika vizuri tu bila mafanikioUsijesema nimekudharau Mkuu.
Mimi nimekupa tuu mbinu ambayo ukiiweza hiyo hakuna Mwanamke atakayekusumbua hasa baada ya kulala naye.
Wanawake wanapenda Raha, uzuri, utamu na furaha.
Ukishindwa kutimiza chochote kati ya hayo wanayoyapenda lazima dharau zizuke.
Usikurupuke lakini....
Ulishawahi Kumpotezea?
Yaani mpotezee kabisa huuoizi kitu,humwambii Chochot
Yote nimefanya nampotezea anajishtukia badae anarudi kwenye tabia yake na kilichopo inaonekana Mama yake ndio anamuharibu hivyo namrudisha kwake ili wawe karibu karibu wafundishane zaidiUsikurupuke lakini....
Ulishawahi Kumpotezea?
Yaani mpotezee kabisa huuoizi kitu,humwambii Chochote
Kwahasira wakijua mnapiga mechi za nje wanatutunuku bila hiyana sisi bodabodaZingatia alichokwambia jamaa, mfanye mkeo ajue kuwa we ni Moja ya bidhaa adimu acha kuwa Mr nice guy. Mpige matukio ya mechi za nje ajue hayupo peke ake.
Vipi kama izo za nje wakiwa wanapiga na mke wako au mchumba wakoKwahasira wakijua mnapiga mechi za nje wanatutunuku bila hiyana sisi bodaboda
Kuna jamaa alimrudisha mke kwao akarejea na mimba