Ni upi utaratibu wa kumrudisha mke asiye na nidhamu nyumbani kwa wazazi wake?

Ni upi utaratibu wa kumrudisha mke asiye na nidhamu nyumbani kwa wazazi wake?

Habarini za usiku wapendwa

Kama kichwa cha habari kinavyoonekana hapo juu naomba kwa wenye uzoefu wanijuze ni hatua gani za kufuata ili kumrudisha mwanamke kwao kwasababu amezidi kua na dharau na nishampa Warning sana bila mafanikio habadiliki na yote navumilia kwasababu ya mtoto tuliye nae najihisi huruma mtoto atateseka lakini pia kuishi na huyu mwanamke ni kero kubwa dharau zake ni hatari yani niko njia panda na mtoto ana miaka miwili sasa hivi na nimeamua mwanamke namrudisha kwao wakamfundishe kua na heshima kwa mume labda itasaidia na ndoa yetu sio ya kanisani ni ile nimelipa mahali tukaanza kuishi pamoja na kwa sasa hadi naogopa kufunga nae ndoa naomba kwa mwenye uzoefu anisaidie utaratibu wa kumrudisha mwanamke kama huyu nyumbani kwao.

Naomba kuwasilisha.
Pole Sana mkuu
 
Kwanza mweleze kusudio lako la kutaka kumrudisha kwao akapumzike mapumziko mafupi ya mafunzo. Ukishamwambia hivyo akiona upo siriasi huwa wanabadilika.

Sasa asipobadilika mrudishe kweli. Sababu ya kumrudisha usiwaambie wazee yeye ndiye atawaambia na kama wana busara watakupigia simu kujiridhisha maelezo yake na yako kama yanalingana maana wajanja hawa, unaweza kumrudisha kwa sababu fulani halafu yeye akaenda kusema hajui sabubu iliyomrudisha nyumba.

Kiendo cha kuwa pale kwa wazazi kitawafedhehesha wazazi kwamba walikuwa na malezi mabovu, hivyo watajitahidi binti yao arudi mstarini ili maisha yaendelee mkiwa pamoja.
 
Kwanza mweleze kusudio lako la kutaka kumrudisha kwao akapumzike mapumziko mafupi ya mafunzo. Ukishamwambia hivyo akiona upo siriasi huwa wanabadilika.

Sasa asipobadilika mrudishe kweli. Sababu ya kumrudisha usiwaambie wazee yeye ndiye atawaambia na kama wana busara watakupigia simu kujiridhisha maelezo yake na yako kama yanalingana maana wajanja hawa, unaweza kumrudisha kwa sababu fulani halafu yeye akaenda kusema hajui sabubu iliyomrudisha nyumba.

Kiendo cha kuwa pale kwa wazazi kitawafedhehesha wazazi kwamba walikuwa na malezi mabovu, hivyo watajitahidi binti yao arudi mstarini ili maisha yaendelee mkiwa pamoja.
Nashukuru sana nitafanyia kazi ushauri wako.
 
Huko kwao unakomrudisha si ndiko alikokulia? Hizo tabia unazoziona kajifunzia kwako?

Kumrudisha mke kwao ni kuwapelekea mke ma ex wake wakapashe viporo na ni udhaifu mkubwa Kwa mwanaume.

Cha kukushauri kaa nae Chini tena ili kumkanya ikishindikana tafuta wazee wake anaowaheshimu uwashirikishe waongee nae ikishindikana na hapo piga Chini.
 
Habarini za usiku wapendwa

Kama kichwa cha habari kinavyoonekana hapo juu naomba kwa wenye uzoefu wanijuze ni hatua gani za kufuata ili kumrudisha mwanamke kwao kwasababu amezidi kua na dharau na nishampa Warning sana bila mafanikio habadiliki na yote navumilia kwasababu ya mtoto tuliye nae najihisi huruma mtoto atateseka lakini pia kuishi na huyu mwanamke ni kero kubwa dharau zake ni hatari yani niko njia panda na mtoto ana miaka miwili sasa hivi na nimeamua mwanamke namrudisha kwao wakamfundishe kua na heshima kwa mume labda itasaidia na ndoa yetu sio ya kanisani ni ile nimelipa mahali tukaanza kuishi pamoja na kwa sasa hadi naogopa kufunga nae ndoa naomba kwa mwenye uzoefu anisaidie utaratibu wa kumrudisha mwanamke kama huyu nyumbani kwao.

Naomba kuwasilisha.
Kwa uchunguzi wangu mdogo ambao nimefanya humu kwenye mitandao ya kijamii na hata kwa kupitia maisha ya watu mbalimbali huko mitaani, nimegundua kwamba wanandoa wengi zaidi hawana furaha juu ya mahusiano yao ya ndoa. Ndoa nyingi zina migogoro kiasi kwamba wanandoa wenyewe hawafurahii maisha yao ya ndoa. Hili ni pigo kubwa sana kwa taasisi ya ndoa kwa kizazi hiki cha sasa, na ipo hatari ya taasisi hii kuvurugika na kusambaratika kabisa ktk kipindi cha miaka michache ijayo kwa sababu tayari vijana wengi Wana mentality ya kwamba ndoa siyo kitu kizuri.
 
Kwanza mweleze kusudio lako la kutaka kumrudisha kwao akapumzike mapumziko mafupi ya mafunzo. Ukishamwambia hivyo akiona upo siriasi huwa wanabadilika.

Sasa asipobadilika mrudishe kweli. Sababu ya kumrudisha usiwaambie wazee yeye ndiye atawaambia na kama wana busara watakupigia simu kujiridhisha maelezo yake na yako kama yanalingana maana wajanja hawa, unaweza kumrudisha kwa sababu fulani halafu yeye akaenda kusema hajui sabubu iliyomrudisha nyumba.

Kiendo cha kuwa pale kwa wazazi kitawafedhehesha wazazi kwamba walikuwa na malezi mabovu, hivyo watajitahidi binti yao arudi mstarini ili maisha yaendelee mkiwa pamoja.
umemshauri kwa busara sana na libarikiwe tumbo lililo kuleta duniani!!!! Mimi nilitaka kumwambia amfukuzilie mbali!!!
 
Huko kwao unakomrudisha si ndiko alikokulia? Hizo tabia unazoziona kajifunzia kwako?

Kumrudisha mke kwao ni kuwapelekea mke ma ex wake wakapashe viporo na ni udhaifu mkubwa Kwa mwanaume.

Cha kukushauri kaa nae Chini tena ili kumkanya ikishindikana tafuta wazee wake anaowaheshimu uwashirikishe waongee nae ikishindikana na hapo piga Chini.
Ktk maisha yako kuna watu ambao ukiwapoteza hauwezi kuwapata haijalishi au bora au sio bora watu hao ni kama, baba,mama,mtoto wako,kaka, dada,shangazi,nk hawa ndio watu muhimu kwa sababu hata iweje bado wapo ndani ya famili ,wanatumia jina moja la ukooo wenu.

Mke ukion anakusumbua tafuta mwingine
kama unaruhusiwa ndoa za wake 2 owa wa pili maisha yaende mbele
, leo ukifa mtoto wako atakuwa amepoteza baba, mama yako atakuwa amepoteza mtoto, dada yako atakuwa amepoteza kaka , mkeo atafutwa na yule jamaa aliekuwa anamtongoza kisha mkeo anajibu nina mume wangu sasa jamaa atakuja na kumwambia jamaa ashakufa tunafanye sasa.

Mwanamme ujiamini uwe shupavu kama mwanamke haelewi rudisha kwao atajifunza huko kama ndoa ni muhimu au la kuna wanawake wengine wanapewa kibuli na hawo ndugu zao,huwenda mama au baba anamwambia asikunyanyase kwenu haujauwa, jiongeze usije kufa mapema ukatuachia mjane na kuongeza single mother wengine
 
Kwanza mweleze kusudio lako la kutaka kumrudisha kwao akapumzike mapumziko mafupi ya mafunzo. Ukishamwambia hivyo akiona upo siriasi huwa wanabadilika.

Sasa asipobadilika mrudishe kweli. Sababu ya kumrudisha usiwaambie wazee yeye ndiye atawaambia na kama wana busara watakupigia simu kujiridhisha maelezo yake na yako kama yanalingana maana wajanja hawa, unaweza kumrudisha kwa sababu fulani halafu yeye akaenda kusema hajui sabubu iliyomrudisha nyumba.

Kiendo cha kuwa pale kwa wazazi kitawafedhehesha wazazi kwamba walikuwa na malezi mabovu, hivyo watajitahidi binti yao arudi mstarini ili maisha yaendelee mkiwa pamoja.
Ah ah apo inabidi uwe makini sana maana Kuna jamaa alimuambia mke wake aludi kwao maana amekuwa na dharau ivyo mwanamke alivyo fika kwao, wazazi wakumkuliza wewe mbona umeludi nyumbani kulikoni Binti akaanza kulia na kusema kwamba flani ananitaka kinyume na maumbile, Sasa ikabidi jamaa aitwe na kukalishwa chini mwisho wasiku ikabidi jamaa akubali kishingo upande na kuomba msamaha
Ivyo kuwa makini unavyo mludisha kwao usije ukajikuta wewe ndio unaenda kuomba msamaha
 
Siku hizi hakuna huo utaratibu akikuchoka anaenda mahakamani kuvunja ndoa mgawane mali na mahakama inaamuru abaki na nyumba alee watoto na wewe mume utoke uende kwa wazazi wako au ukapange, na uwe unamlipa hela kila mwezi. Yaani wanaume tumetungiwa sheria za kutukomoa wasioe wala wasizalishe watoto wawe mashoga tu au wateja wa machangudoa. Yaani Shetani ametubana sana
 
Huko kwao unakomrudisha si ndiko alikokulia? Hizo tabia unazoziona kajifunzia kwako?

Kumrudisha mke kwao ni kuwapelekea mke ma ex wake wakapashe viporo na ni udhaifu mkubwa Kwa mwanaume.

Cha kukushauri kaa nae Chini tena ili kumkanya ikishindikana tafuta wazee wake anaowaheshimu uwashirikishe waongee nae ikishindikana na hapo piga Chini.
Yote hayo yameshafanyika lakini hakuna mafanikio
 
Kwanza mweleze kusudio lako la kutaka kumrudisha kwao akapumzike mapumziko mafupi ya mafunzo. Ukishamwambia hivyo akiona upo siriasi huwa wanabadilika.

Sasa asipobadilika mrudishe kweli. Sababu ya kumrudisha usiwaambie wazee yeye ndiye atawaambia na kama wana busara watakupigia simu kujiridhisha maelezo yake na yako kama yanalingana maana wajanja hawa, unaweza kumrudisha kwa sababu fulani halafu yeye akaenda kusema hajui sabubu iliyomrudisha nyumba.

Kiendo cha kuwa pale kwa wazazi kitawafedhehesha wazazi kwamba walikuwa na malezi mabovu, hivyo watajitahidi binti yao arudi mstarini ili maisha yaendelee mkiwa pamoja.
mnapenda jidanganya sana aise
 
Back
Top Bottom