Ni upi utaratibu wa kumrudisha mke asiye na nidhamu nyumbani kwa wazazi wake?

Ni upi utaratibu wa kumrudisha mke asiye na nidhamu nyumbani kwa wazazi wake?

Kwa uchunguzi wangu mdogo ambao nimefanya humu kwenye mitandao ya kijamii na hata kwa kupitia maisha ya watu mbalimbali huko mitaani, nimegundua kwamba wanandoa wengi zaidi hawana furaha juu ya mahusiano yao ya ndoa. Ndoa nyingi zina migogoro kiasi kwamba wanandoa wenyewe hawafurahii maisha yao ya ndoa. Hili ni pigo kubwa sana kwa taasisi ya ndoa kwa kizazi hiki cha sasa, na ipo hatari ya taasisi hii kuvurugika na kusambaratika kabisa ktk kipindi cha miaka michache ijayo kwa sababu tayari vijana wengi Wana mentality ya kwamba ndoa siyo kitu kizuri.
Kwani nani mkamilifu??, wasiosumbua wako mortuary brother.
 
Kwanza mweleze kusudio lako la kutaka kumrudisha kwao akapumzike mapumziko mafupi ya mafunzo. Ukishamwambia hivyo akiona upo siriasi huwa wanabadilika.

Sasa asipobadilika mrudishe kweli. Sababu ya kumrudisha usiwaambie wazee yeye ndiye atawaambia na kama wana busara watakupigia simu kujiridhisha maelezo yake na yako kama yanalingana maana wajanja hawa, unaweza kumrudisha kwa sababu fulani halafu yeye akaenda kusema hajui sabubu iliyomrudisha nyumba.

Kiendo cha kuwa pale kwa wazazi kitawafedhehesha wazazi kwamba walikuwa na malezi mabovu, hivyo watajitahidi binti yao arudi mstarini ili maisha yaendelee mkiwa pamoja.
🙏🆒💬
 
Siku hizi hakuna huo utaratibu akikuchoka anaenda mahakamani kuvunja ndoa mgawane mali na mahakama inaamuru abaki na nyumba alee watoto na wewe mume utoke uende kwa wazazi wako au ukapange, na uwe unamlipa hela kila mwezi. Yaani wanaume tumetungiwa sheria za kutukomoa wasioe wala wasizalishe watoto wawe mashoga tu au wateja wa machangudoa. Yaani Shetani ametubana sana
Mkuu siku wahi kulitizama hili kwa sura hii na namna ulivyoliwasilisha! Pokea maua yangu 💐
 
Kama unampenda Mke wako tafuta solution nyingine ili akuelewe, kama masikio mawili hayasikilizi basi zibuwa sikio la Tatu atakusikiliza tu.

Ukimrudisha kwako ndio umeshavunja hiyo ndoa na ukianza kummis wewe ndio umekwisha, utataka kumrudisha atakataa sasa utageuka wewe kuwa mtumwa.

Choose wisely.
Mkuu zingatia sana ushauri huu!
 
Habarini za usiku wapendwa

Kama kichwa cha habari kinavyoonekana hapo juu naomba kwa wenye uzoefu wanijuze ni hatua gani za kufuata ili kumrudisha mwanamke kwao kwasababu amezidi kua na dharau na nishampa Warning sana bila mafanikio habadiliki na yote navumilia kwasababu ya mtoto tuliye nae najihisi huruma mtoto atateseka lakini pia kuishi na huyu mwanamke ni kero kubwa dharau zake ni hatari yani niko njia panda na mtoto ana miaka miwili sasa hivi na nimeamua mwanamke namrudisha kwao wakamfundishe kua na heshima kwa mume labda itasaidia na ndoa yetu sio ya kanisani ni ile nimelipa mahali tukaanza kuishi pamoja na kwa sasa hadi naogopa kufunga nae ndoa naomba kwa mwenye uzoefu anisaidie utaratibu wa kumrudisha mwanamke kama huyu nyumbani kwao.

Naomba kuwasilisha.
Hadithi ya upande mmoja


Hivi na wewe ukizingua mke naye aseme atakurudisha kwenu?

Au anayepaswa kurudishwa kwao ni mwanamke tuu?
 
Huyo tayari ni mke kwa sheria za nchi .akienda kudai chake mahakamani usije kulia hapa..kwa mwanamke unayeishi naye maana yake ameshakuzoea tegemea tabia hizi gubu,ubinafsi,kutokukubali makosa,mdomo( hapa inakera sana anaweza kuropoka tu akakuambia ulikuwa kwa mwanamke mwingine ilihali wewe ulikuwa bize na kazi zako kwa mwanaume mwenye hasira hapa anaweza kumkata makofi) anafanya hayo yote kwa sababu anajua huwezi kumfanya kitu na hata ukimfanya kitu atatengeneza mazingira ionekane unamuonea kwa kuwa yeye ni mwanamke...
Hiyo ni real experience yangu wangu mimi namtimua siku si nyingi..
 
Habarini za usiku wapendwa

Kama kichwa cha habari kinavyoonekana hapo juu naomba kwa wenye uzoefu wanijuze ni hatua gani za kufuata ili kumrudisha mwanamke kwao kwasababu amezidi kua na dharau na nishampa Warning sana bila mafanikio habadiliki na yote navumilia kwasababu ya mtoto tuliye nae najihisi huruma mtoto atateseka lakini pia kuishi na huyu mwanamke ni kero kubwa dharau zake ni hatari yani niko njia panda na mtoto ana miaka miwili sasa hivi na nimeamua mwanamke namrudisha kwao wakamfundishe kua na heshima kwa mume labda itasaidia na ndoa yetu sio ya kanisani ni ile nimelipa mahali tukaanza kuishi pamoja na kwa sasa hadi naogopa kufunga nae ndoa naomba kwa mwenye uzoefu anisaidie utaratibu wa kumrudisha mwanamke kama huyu nyumbani kwao.

Naomba kuwasilisha.
Kama una uhakika wa kupata mtoto mwingine we ondoka na begi lako kaanze upya. Kama huna uhakika vumilia umtunze mwanao
 
Habarini za usiku wapendwa

Kama kichwa cha habari kinavyoonekana hapo juu naomba kwa wenye uzoefu wanijuze ni hatua gani za kufuata ili kumrudisha mwanamke kwao kwasababu amezidi kua na dharau na nishampa Warning sana bila mafanikio habadiliki na yote navumilia kwasababu ya mtoto tuliye nae najihisi huruma mtoto atateseka lakini pia kuishi na huyu mwanamke ni kero kubwa dharau zake ni hatari yani niko njia panda na mtoto ana miaka miwili sasa hivi na nimeamua mwanamke namrudisha kwao wakamfundishe kua na heshima kwa mume labda itasaidia na ndoa yetu sio ya kanisani ni ile nimelipa mahali tukaanza kuishi pamoja na kwa sasa hadi naogopa kufunga nae ndoa naomba kwa mwenye uzoefu anisaidie utaratibu wa kumrudisha mwanamke kama huyu nyumbani kwao.

Naomba kuwasilisha.
JE KUNA MATATIZO MENGINE ZAIDI YA DHARAU?
JE NI NINI CHANZO CHA DHARAU?
JE WEWE UNA MCHANGO GANI KWENYE TABIA HIYO/HIZO?
JE YEYE ANAKUVUMILIA WEWE KWENYE TABIA GANI? ZIPI?
JE AKURUDISHE KWA WAZAZI WAKO UKAANDALIWE VIZURI?

SIO RAHISI KUPATA SULUHU YA MATATIZO YENU KUTOKA KWA WATU BAKI, WASIO WAJUA MNAISHI ISHI VIPI HUKO NDANI.
TENA KUTAFUTA SULUHU NJE YENU NI ISHARA YA KUVUNJIKA KWENU.
 
unaonekana wewe goigoi na dhaifu mwanaume goigoi ndo analeta haya malalamiko..simamia majukumu yako uone kama wife atakudharau inaonekana sehemu kumeloose...!jichunguze..na jitahidi kuongeza kipato
Wew ni fala sana..akil zenu zikjitahid kuwaza mbali bas mwishi wake ni kwenye hela wanga nyie..mindset za kifukara hiz.. si mtafute za kwenu
 
Huko kwao unakomrudisha si ndiko alikokulia? Hizo tabia unazoziona kajifunzia kwako?

Kumrudisha mke kwao ni kuwapelekea mke ma ex wake wakapashe viporo na ni udhaifu mkubwa Kwa mwanaume.

Cha kukushauri kaa nae Chini tena ili kumkanya ikishindikana tafuta wazee wake anaowaheshimu uwashirikishe waongee nae ikishindikana na hapo piga Chini.
Hivi,mnahangaikaje na mtu mliemkuta akiwa mtu mzima? Kwani kwa sasa,hao ma ex ameachana nao?
Mtoa mada eh,ukibahatika kumjua mtu,fanya maamzi. Hakika mpaka unakuja kuandika hapa,uvumilivu umekushinda.
Mtoto anauma sawa,hasa ukizingatia pengine ulikuwa unasukuma yeye kuhudumiwa.
Akiwa kwa bibi yake,ataishi tuuu. Kikubwa usisitishe matumizi.
We mwambie unataka mkamuone mama yake. Akikataa, force. Panga safari nyingine itakayofanya mpite kwao. Mkifika tu,tua. Kama mabegi mtumie.
Maana wa hivyo kwa hiari humtoi.
 
Naomba tu niungie... Wakuta mwanamke wamuambia habari za kumrudisha kwao anakujibu live kuwa asee humu ndani sitoki hunipeleki popote hutaki toka wewe mi nipo, na tayari mahusiano mna mgogoro mnapishana mno.. still kauli ndio hiyo kuwa mi huniachi na hunirudishi kwetu.. (kiburi,dharau vimetawala) .. unamtoaje ndani na kumfikisha kwao salama? Hebu mawazo yenu plz.. mana mtu unahitaji kufanya busara hata majirani wasijue kuna shida
Kwan ni yeye anakulea ? Kama mmepanga chukua vitu vyako vya muhimu hama kafanye maisha yako upya.
Kama mmejenga chukua hati ya nyumba na vitu vya muhimu ondoka.
 
Back
Top Bottom