Ni usafi mwanaume kukojoa kwa kuchuchumaa na kisha kutawadha baada kumaliza

Ni usafi mwanaume kukojoa kwa kuchuchumaa na kisha kutawadha baada kumaliza

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Unless unakojoa polini kwenye majani, sehemu yene mchanga mwingi au vile vyoo special vya juu hasa vinavyokuaga stand za mabasi au vyoo vya kulipia au vile vya shimo la moja kwa moja unaweza ukasimama, ila hivi vyoo vya sink na kwengineko ni uchafu mwanaume kukojoa umesemama.

Ukikojoa kwa kusimama Mkojo unaruka na kuingia kwenye nguo, ukutani na chombo cha karibu cha kuhifadhia maji au kunawia.

Pia ni vizuri kuosha zakali yako baada ya kukojoa, sio baada ya kukojoa unaiingiza tu kwenye suluali na kufunga zipu.

Pia hakikisha umemaliza kila kitu ndio unawe na kuiingiza ndani vinginevyo kuna vidogo vidogo vinavyobakia vinakua vinakuja taratibu mwishoni na unaweza usifahamu.

Naomba kuwasilisha
 
Ht mbwa Dume huwa hachuchumai, huwa ananyanyua mguu mmoja Juu nanku pee. Hicho choo Cha sink nacho Kuna tobo lake pale lengesha mkojo wako pale usiruke ruke pembeni. Otherwise hizi ni miendelezo wa zile mada zinazopromote ushoga zaidi na kuondoa UANAUME halisi
 
Mkuu kukojoa umesimama kuna wakati ni bora na kuna wakati sio bora.

Na kukojoa umechuchumaa ni bora na kuna wakati sio bora.

Kimsingi kinachozingatiwa kwenye kukojoa ni kwamba mkojo usiingie kwenye nguo kama ambwvyo mtu anaepusha mavi yasiingie kwenye nguo.

Na mtu aweze kukosha kitoka mkojjo kama ambavyo anakosha kitoka kinyesi.

Lengo sio kukojoa umechuchumaa bali lengo ni mkojo usifike kwenye nguo na ukoshe utupu vizuri.

So mtu anaweza kukojoa amekaa au amesimama maadamu tu anaweza kukosha tupu na mkojo usiingie kwenye nguo.

Kukata moja kwa moja kwamba kukojoa umechuchumaa ndio usafi nadhani hali make sense saana.
 
Ht mbwa Dume huwa hachuchumai, huwa ananyanyua mguu mmoja Juu nanku pee. Hicho choo Cha sink nacho Kuna tobo lake pale lengesha mkojo wako pale usiruke ruke pembeni. Otherwise hizi ni miendelezo wa zile mada zinazopromote ushoga zaidi na kuondoa UANAUME halisi
Hii kulenga nayo siku moja demu akawa ananiambia nakojoaje hivyo..tafrani tupu!
 
Miaka yote tangu utotoni nakojoa kwa kusimama fresh tu, leo hii unaniambia nichuchumae? Gerarahiaa

Kama ishu ni nguo kuchafuka, washing mashine, sabuni maji yapo zitafuliwa

Kama sijui ni ishu za infection, hospital na madaktari bingwa wapo watanitibu

ila nikuhakikishie kuwa miaka yote hii tangu utotoni sikuwahi kupata tatizo lolote la kukojoa nikiwa nimesismama
 
Mara ya kwanza kuona mwanamme MTU mzima anakojoa amechuchumaa ni kipindi nasafiri na magari ya Tanga wakati wa kuchimba dawa porini.

Kuna mwingine alienda mbele zaidi badala ya kutingisha kengele yeye alimuosha abdala kichwa wazi.

Seriously watu wa Tanga hii ndio kitu gani mwanamme anakojoa amechuchumaa?
 
Back
Top Bottom