Ni usafi mwanaume kukojoa kwa kuchuchumaa na kisha kutawadha baada kumaliza

Ni usafi mwanaume kukojoa kwa kuchuchumaa na kisha kutawadha baada kumaliza

Unless unakojoa polini kwenye majani, sehemu yene mchanga mwingi au vile vyoo special vya juu hasa vinavyokuaga stand za mabasi au vyoo vya kulipia au vile vya shimo la moja kwa moja unaweza ukasimama, ila hivi vyoo vya sink na kwengineko ni uchafu mwanaume kukojoa umesemama.

Ukikojoa kwa kusimama Mkojo unaruka na kuingia kwenye nguo, ukutani na chombo cha karibu cha kuhifadhia maji au kunawia.

Pia ni vizuri kuosha zakali yako baada ya kukojoa, sio baada ya kukojoa unaiingiza tu kwenye suluali na kufunga zipu.

Pia hakikisha umemaliza kila kitu ndio unawe na kuiingiza ndani vinginevyo kuna vidogo vidogo vinavyobakia vinakua vinakuja taratibu mwishoni na unaweza usifahamu.

Naomba kuwasilisha
ukiwa kwenye mawe.?
 
Naona unatafuta kupigwa ban kwa nguvu...ukiwa na stress zinazotokana na ugumu wa maisha na ramani za kukupa mchongo nazo ni ngumu kupatikana...nakushauri tafuta sehemu utakayofanya mazoezi ya kuuchosha mwili...au kama vipi nenda kwenye vijiwe vya kahawa kule unaweza kupata ab c za mji husika...nakumbuka mwaka flani nimemaliza kidato cha sita michongo na ramani za kupata vibarua hata vya ujenzi tulikuwa tunazipata kwenye vijiwe vya kahawa hali hiyo ilinifanya niwe muungwana sana.
🫂[emoji109]
 
Miaka yote tangu utotoni nakojoa kwa kusimama fresh tu, leo hii unaniambia nichuchumae? Gerarahiaa

Kama ishu ni nguo kuchafuka... washing mashine, sabuni maji yapo.. zitafuliwa
Kama sijui ni ishu za infection... hospital na madaktari bingwa wapo watanitibu

ila nikuhakikishie kuwa miaka yote hii tangu utotoni sikuwahi kupata tatizo lolote la kukojoa nikiwa nimesismama
Nakazia
 
MAN DOWN, I REPEAT MAN DOWN

FB_IMG_16520354033514423.jpg
 
Unless unakojoa polini kwenye majani, sehemu yene mchanga mwingi au vile vyoo special vya juu hasa vinavyokuaga stand za mabasi au vyoo vya kulipia au vile vya shimo la moja kwa moja unaweza ukasimama, ila hivi vyoo vya sink na kwengineko ni uchafu mwanaume kukojoa umesemama.

Ukikojoa kwa kusimama Mkojo unaruka na kuingia kwenye nguo, ukutani na chombo cha karibu cha kuhifadhia maji au kunawia.

Pia ni vizuri kuosha zakali yako baada ya kukojoa, sio baada ya kukojoa unaiingiza tu kwenye suluali na kufunga zipu.

Pia hakikisha umemaliza kila kitu ndio unawe na kuiingiza ndani vinginevyo kuna vidogo vidogo vinavyobakia vinakua vinakuja taratibu mwishoni na unaweza usifahamu.

Naomba kuwasilisha
Unamgeza na kukojoa huku umechuchumaa?![emoji101]
 
Mkuu kukojoa umesimama kuna wakati ni bora na kuna wakati sio bora.

Na kukojoa umechuchumaa ni bora na kuna wakati sio bora.

Kimsingi kinachozingatiwa kwenye kukojoa ni kwamba mkojo usiingie kwenye nguo kama ambwvyo mtu anaepusha mavi yasiingie kwenye nguo.

Na mtu aweze kukosha kitoka mkojjo kama ambavyo anakosha kitoka kinyesi.

Lengo sio kukojoa umechuchumaa bali lengo ni mkojo usifike kwenye nguo na ukoshe utupu vizuri.

So mtu anaweza kukojoa amekaa au amesimama maadamu tu anaweza kukosha tupu na mkojo usiingie kwenye nguo.

Kukata moja kwa moja kwamba kukojoa umechuchumaa ndio usafi nadhani hali make sense saana.
Wewe utakuwa mwanaume wa dar mchele
 
Miaka yote tangu utotoni nakojoa kwa kusimama fresh tu, leo hii unaniambia nichuchumae? Gerarahiaa

Kama ishu ni nguo kuchafuka... washing mashine, sabuni maji yapo.. zitafuliwa
Kama sijui ni ishu za infection... hospital na madaktari bingwa wapo watanitibu

ila nikuhakikishie kuwa miaka yote hii tangu utotoni sikuwahi kupata tatizo lolote la kukojoa nikiwa nimesismama
😃 hapa ni mwendo wa kutikisa mkonga tu
 
Unless unakojoa polini kwenye majani, sehemu yene mchanga mwingi au vile vyoo special vya juu hasa vinavyokuaga stand za mabasi au vyoo vya kulipia au vile vya shimo la moja kwa moja unaweza ukasimama, ila hivi vyoo vya sink na kwengineko ni uchafu mwanaume kukojoa umesemama.

Ukikojoa kwa kusimama Mkojo unaruka na kuingia kwenye nguo, ukutani na chombo cha karibu cha kuhifadhia maji au kunawia.

Pia ni vizuri kuosha zakali yako baada ya kukojoa, sio baada ya kukojoa unaiingiza tu kwenye suluali na kufunga zipu.

Pia hakikisha umemaliza kila kitu ndio unawe na kuiingiza ndani vinginevyo kuna vidogo vidogo vinavyobakia vinakua vinakuja taratibu mwishoni na unaweza usifahamu.

Naomba kuwasilisha
... ukichuchumaa psychologically una-activate nyuma pia which means utatakiwa kuingia bafuni else utatembea na kinyesi.
 
Mwanaume rijali starti akojoe kasimama, hii Inaonyesha urijali wake.
Hizi habari tuulize sisi Wanaume wenye dhakari. Nani amekwambia kukojoa kwa kusimama ni urijali ? Urijali haupimwi kwa kukojoa, kuna makhanithi wengi wanakojoa kwa kusimama.

Mimi mara nyingi nakojoa kwa kuchuchumaa kuliko kukojoa kwa kusimama na nikimaliza lazima nioshe Dhakari yangu,ikitokea sina maji basi nitatumia udongo, au mchanga, au majani au jiwe. Hii hutegemeana na mazingira ila kwetu sisi wanaume kukojoa kwa kuchuchumaa ni bora na kunapendeza zaidi kutokana na msingi wa kuepuka kupatikana mabaki ya mkojo katika nguo, sababu mkojo ni najisi.

Ukikojoa kwa kuchuchumaa dhakari inakuwa free sana ina kuwa ime relax mno, na mkojo unatoka katika hali tulivu na murua, kuliko ukiwa umesimama, ukiwa umesimama dhiki inakuwa kubwa na usipo kuwa makini unaweza kuubakiza mkojo.

Wote walio unga mkono kukojoa kwa kuchuchumaa, wanajua wanamaanisha nini na wako sahihi.

Mkojo ni uchafu na hutakwii ubaki nao. Kama huna maji basi tumia udogo, majani au jiwe, yaani kuosha dhakari baada ya kukojoa ni lazima.

Shukrani.
 
Mwanaume rijali starti akojoe kasimama, hii Inaonyesha urijali wake.
Mdada mbona kwa hili sharti lako, unakuwa umesema hadi mashoga ni marijali!!?
Maana sidhani kama kuna kinachowafanya washindwe kukojoa wamesimama.

Halafu kimantili inakuwaje mwanaume akikojoa amechutama anakuwa sio rijali?

Au ni wewe tu unachukua hilo.
 
Mleta mada amebainisha hoja zake ila kuwa ukikojoa umesimama kuna uwezekano mkubwa chembechembe za mkojo kukurukia ambazo ni uchafu.

Ila waliompinga hawajatoa hoja kwamba hilo linashikana vipi, bali wameonyesha kuwa hatakama ni hivyo wao hawajali.

Na huu ndio uchafu anaouzungumzia mleta mada.
 
Unless unakojoa polini kwenye majani, sehemu yene mchanga mwingi au vile vyoo special vya juu hasa vinavyokuaga stand za mabasi au vyoo vya kulipia au vile vya shimo la moja kwa moja unaweza ukasimama, ila hivi vyoo vya sink na kwengineko ni uchafu mwanaume kukojoa umesemama.

Ukikojoa kwa kusimama Mkojo unaruka na kuingia kwenye nguo, ukutani na chombo cha karibu cha kuhifadhia maji au kunawia.

Pia ni vizuri kuosha zakali yako baada ya kukojoa, sio baada ya kukojoa unaiingiza tu kwenye suluali na kufunga zipu.

Pia hakikisha umemaliza kila kitu ndio unawe na kuiingiza ndani vinginevyo kuna vidogo vidogo vinavyobakia vinakua vinakuja taratibu mwishoni na unaweza usifahamu.

Naomba kuwasilisha
Hayo hata kwa mwanamke pia, Si mwanamme tu.

Mijanajike na mijana dume mingi haielewi usafi huo, wao ni kukojoa kwa kusimama tu na hawajioshi kabisa kwa maji, si wanawake wala wanaume. Hawana ustaarabu huo. Wana ustaarabu wa paka kunya mavi kujipaka.
 
Mkuu ni hatari kukojoa umechuchumaa ,
Kwanza ni rahisi kupata maambukizi kwa njia ya mkojo, na hii ndio sababu wanawake wanapata sana kwa hiyo njia yao ya kukojoa wamechuchumaa.

Unapoteza muda, itakubidi uvue nguo ya chini kwa ajili ya kimkojo tu. Na sie wanaume ndo mahiri kwa kutunza muda sasa ukianza kuiga ukikekike utapoteza muda.
 
Back
Top Bottom