Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kojoa ukiwa umelenga tundu la choo.Mleta mada amebainisha hoja zake ila kuwa ukikojoa umesimama kuna uwezekano mkubwa chembechembe za mkojo kukurukia ambazo ni uchafu.
Ila waliompinga hawajatoa hoja kwamba hilo linashikana vipi, bali wameonyesha kuwa hatakama ni hivyo wao hawajali.
Na huu ndio uchafu anaouzungumzia mleta mada.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waislam wengi hufanya hivo,Kuna sheikh mmoja shuleni kwetu alitusieitiza Sana hili Miaka hiyo
We kojoa kwa kuchuchumaa, ila mimi kidume nasimama.Hizi habari tuulize sisi Wanaume wenye dhakari. Nani amekwambia kukojoa kwa kusimama ni urijali ? Urijali haupimwi kwa kukojoa, kuna makhanithi wengi wanakojoa kwa kusimama.
Mimi mara nyingi nakojoa kwa kuchuchumaa kuliko kukojoa kwa kusimama na nikimaliza lazima nioshe Dhakari yangu,ikitokea sina maji basi nitatumia udongo, au mchanga, au majani au jiwe. Hii hutegemeana na mazingira ila kwetu sisi wanaume kukojoa kwa kuchuchumaa ni bora na kunapendeza zaidi kutokana na msingi wa kuepuka kupatikana mabaki ya mkojo katika nguo, sababu mkojo ni najisi.
Ukikojoa kwa kuchuchumaa dhakari inakuwa free sana ina kuwa ime relax mno, na mkojo unatoka katika hali tulivu na murua, kuliko ukiwa umesimama, ukiwa umesimama dhiki inakuwa kubwa na usipo kuwa makini unaweza kuubakiza mkojo.
Wote walio unga mkono kukojoa kwa kuchuchumaa, wanajua wanamaanisha nini na wako sahihi.
Mkojo ni uchafu na hutakwii ubaki nao. Kama huna maji basi tumia udogo, majani au jiwe, yaani kuosha dhakari baada ya kukojoa ni lazima.
Shukrani.
Umejuaje mi mdada...jibu hoja ila usijadili jinsia ya mtu, hiyo inaonyesha umeishiwa hojaMdada mbona kwa hili sharti lako, unakuwa umesema hadi mashoga ni marijali!!?
Maana sidhani kama kuna kinachowafanya washindwe kukojoa wamesimama.
Halafu kimantili inakuwaje mwanaume akikojoa amechutama anakuwa sio rijali?
Au ni wewe tu unachukua hilo.
Hayo hata kwa mwanamke pia, Si mwanamme tu.
Mijanajike na mijana dume mingi haielewi usafi huo, wao ni kukojoa kwa kusimama tu na hawajioshi kabisa kwa maji, si wanawake wala wanaume. Hawana ustaarabu huo. Wana ustaarabu wa paka kunya mavi kujipaka.
Sawa.Kojoa ukiwa umelenga tundu la choo.
Hakikisha unaingiza dushe ndani ikiwa tayari umemaliza mkojo wote.
Kwasababu kuna vimkojo huwa vinabakia mwishoni pale, hivyo haviepukiki hata ukichuchumamaa kama mnavotaka wewe na mleta uzi.
Simple kihivyo tu, labda uwe huna akili nzuri ndo huo mkojo utakurukia wakati tundu unaliona.
Hakuna cha infection mkuu, hayo ni maagizo ya imani ya kiisalam kwa wanaume wa kiislamMiaka yote tangu utotoni nakojoa kwa kusimama fresh tu, leo hii unaniambia nichuchumae? Gerarahiaa
Kama ishu ni nguo kuchafuka... washing mashine, sabuni maji yapo.. zitafuliwa
Kama sijui ni ishu za infection... hospital na madaktari bingwa wapo watanitibu
ila nikuhakikishie kuwa miaka yote hii tangu utotoni sikuwahi kupata tatizo lolote la kukojoa nikiwa nimesismama
No, moslemsGays
Mkuu punguza ujuaji wewe kojoa tu vyovyote vile. Mwanaume simama wima achilia ukimaliza tikisa then rudisha ndani....funga zip then wahi kazini.Mkuu kukojoa umesimama kuna wakati ni bora na kuna wakati sio bora.
Na kukojoa umechuchumaa ni bora na kuna wakati sio bora.
Kimsingi kinachozingatiwa kwenye kukojoa ni kwamba mkojo usiingie kwenye nguo kama ambwvyo mtu anaepusha mavi yasiingie kwenye nguo.
Na mtu aweze kukosha kitoka mkojjo kama ambavyo anakosha kitoka kinyesi.
Lengo sio kukojoa umechuchumaa bali lengo ni mkojo usifike kwenye nguo na ukoshe utupu vizuri.
So mtu anaweza kukojoa amekaa au amesimama maadamu tu anaweza kukosha tupu na mkojo usiingie kwenye nguo.
Kukata moja kwa moja kwamba kukojoa umechuchumaa ndio usafi nadhani hali make sense saana.
Yani nichukue udongo nijifute kwenye kikojoleo au nichukue jiwe nijisugue kuondoa mikojo iliyobaki? Huu ujinga sifanyi, kwanza mkojo ni uchafu uliokuwa mwilini hivyo hauna madhara kama yangekuwepo labda UTI ingeniathiri kabla sijautoa.Hizi habari tuulize sisi Wanaume wenye dhakari. Nani amekwambia kukojoa kwa kusimama ni urijali ? Urijali haupimwi kwa kukojoa, kuna makhanithi wengi wanakojoa kwa kusimama.
Mimi mara nyingi nakojoa kwa kuchuchumaa kuliko kukojoa kwa kusimama na nikimaliza lazima nioshe Dhakari yangu,ikitokea sina maji basi nitatumia udongo, au mchanga, au majani au jiwe. Hii hutegemeana na mazingira ila kwetu sisi wanaume kukojoa kwa kuchuchumaa ni bora na kunapendeza zaidi kutokana na msingi wa kuepuka kupatikana mabaki ya mkojo katika nguo, sababu mkojo ni najisi.
Ukikojoa kwa kuchuchumaa dhakari inakuwa free sana ina kuwa ime relax mno, na mkojo unatoka katika hali tulivu na murua, kuliko ukiwa umesimama, ukiwa umesimama dhiki inakuwa kubwa na usipo kuwa makini unaweza kuubakiza mkojo.
Wote walio unga mkono kukojoa kwa kuchuchumaa, wanajua wanamaanisha nini na wako sahihi.
Mkojo ni uchafu na hutakwii ubaki nao. Kama huna maji basi tumia udogo, majani au jiwe, yaani kuosha dhakari baada ya kukojoa ni lazima.
Shukrani.
Mbona hujiamini, wapi nimejadili jisia yako?Umejuaje mi mdada...jibu hoja ila usijadili jinsia ya mtu, hiyo inaonyesha umeishiwa hoja
Ashakum si matusi...Unless unakojoa polini kwenye majani, sehemu yene mchanga mwingi au vile vyoo special vya juu hasa vinavyokuaga stand za mabasi au vyoo vya kulipia au vile vya shimo la moja kwa moja unaweza ukasimama, ila hivi vyoo vya sink na kwengineko ni uchafu mwanaume kukojoa umesemama.
Ukikojoa kwa kusimama Mkojo unaruka na kuingia kwenye nguo, ukutani na chombo cha karibu cha kuhifadhia maji au kunawia.
Pia ni vizuri kuosha zakali yako baada ya kukojoa, sio baada ya kukojoa unaiingiza tu kwenye suluali na kufunga zipu.
Pia hakikisha umemaliza kila kitu ndio unawe na kuiingiza ndani vinginevyo kuna vidogo vidogo vinavyobakia vinakua vinakuja taratibu mwishoni na unaweza usifahamu.
Naomba kuwasilisha
Hilo ndilo la msingi, jamaa hasemi ukweli tu. Mbona hasemi kufuga ndevu ni uchafu?Hakuna cha infection mkuu, hayo ni maagizo ya imani ya kiisalam kwa wanaume wa kiislam
so role model wako ni mbwa, hakyanani kizazi cha sasa ni kizazi kweli kweli.Ht mbwa Dume huwa hachuchumai, huwa ananyanyua mguu mmoja Juu nanku pee. Hicho choo Cha sink nacho Kuna tobo lake pale lengesha mkojo wako pale usiruke ruke pembeni. Otherwise hizi ni miendelezo wa zile mada zinazopromote ushoga zaidi na kuondoa UANAUME halisi
Nimeshangaa sana. Nime imagine hapo kwenye jiwe ni hatariYani nichukue udongo nijifute kwenye kikojoleo au nichukue jiwe nijisugue kuondoa mikojo iliyobaki? Huu ujinga sifanyi, kwanza mkojo ni uchafu uliokuwa mwilini hivyo hauna madhara kama yangekuwepo labda UTI ingeniathiri kabla sijautoa.
Siwezi jikuta msafi nikaogopa urea alafu nijipake udongo wenye uchafu wa nje. Bacteria humohumo, fungi na mayai ya wadudu. Kwahiyo mwanamke naye ajipake udongo na ajifute na jiwe kama maji hamna?