Hats mie ndio kusikia leooooo[emoji50][emoji50][emoji50] hee hii sijawahi sikia kumbe mambo yankuwa hivyo ati?
Duuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hats mie ndio kusikia leooooo[emoji50][emoji50][emoji50] hee hii sijawahi sikia kumbe mambo yankuwa hivyo ati?
Duuuu, Dunia ina mambo,Nyie wenzetu sijui mkoje, na ile ya kujiingiza kidole cha kati hadi mwisho wakati wa kutawaza baada ya haja namba 2 imekaaje?
Duuuu, Dunia ina mambo,
Dereva simama ninshuke mwinzio
Kumekuchaaaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ht mbwa Dume huwa hachuchumai, huwa ananyanyua mguu mmoja Juu nanku pee. Hicho choo Cha sink nacho Kuna tobo lake pale lengesha mkojo wako pale usiruke ruke pembeni. Otherwise hizi ni miendelezo wa zile mada zinazopromote ushoga zaidi na kuondoa UANAUME halisi
Usafi ni muhimu mnooo.Mara ya kwanza kuona mwanamme MTU mzima anakojoa amechuchumaa ni kipindi nasafiri na magari ya Tanga wakati wa kuchimba dawa porini.
Kuna mwingine alienda mbele zaidi badala ya kutingisha kengele yeye alimuosha abdala kichwa wazi.
Seriously watu wa Tanga hii ndio kitu gani mwanamme anakojoa amechuchumaa?
Basi ipo ile nyingine, Choo zile za kushare ofisini, si unajua chini pako wazi , sasa mwenzetu wa upande ule mkijikuta mpo pamoja, tête-à-tête huku wewe huku, ukutazama miguu ya mwenzio haionekani, kumbe kapanda juu ya sinki kachuchumaa, ati aogopa kuchafua takoooooHahahah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayo hata kwa mwanamke pia, Si mwanamme tu.
Mijanajike na mijana dume mingi haielewi usafi huo, wao ni kukojoa kwa kusimama tu na hawajioshi kabisa kwa maji, si wanawake wala wanaume. Hawana ustaarabu huo. Wana ustaarabu wa paka kunya mavi kujipaka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na wewe unafanya hivyo Dogo?
Non sense, msieeeeeew.Gays
Ushoga unahusu nn na kukojoa kwa kuchuchumaa? Umechanganyikiwa au? [emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28] mbona haya mambo ni ya kishoga kabisa, mwanaume na hayo mambo wapi wapi...?!?! Astaghfirullah
mashoga mnajua kuteteana na ktk mada zenu... Huo ni ushoga tuUshoga unahusu nn na kukojoa kwa kuchuchumaa? Umechanganyikiwa au? [emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mheshimiwa! Acha kumsingizia paka kuwa akinya mavi anajipaka, mimi nafuga paka na sijawai kumuona akijipaka mavi japo huwa namuona akinya.Hayo hata kwa mwanamke pia, Si mwanamme tu.
Mijanajike na mijana dume mingi haielewi usafi huo, wao ni kukojoa kwa kusimama tu na hawajioshi kabisa kwa maji, si wanawake wala wanaume. Hawana ustaarabu huo. Wana ustaarabu wa paka kunya mavi kujipaka.
Watu wanapiga show na mademu kwa style ya dog while mwanamke HAJACHAMBA halafu wanapata magonjwa yao huko then wanasingizia eti kukojoa kwa kuchuchumaa, jinga kabisa. Sijawahi kufanya hivyo, sitakuja kufanya HIVYO and in my life time sijawahi kupata hayo magonjwa yanayo zungumzwa na huyu jamaa hapa. Watu wanatoa mawazo kwenye mambo fulani huko, hayajafanyia utafiti wowote, yamezungumzwa tu na mtu kashiba KANDE huko then mnatuletea hapa, nop, mimi sitakuja kufanya aiseMheshimiwa! Acha kumsingizia paka kuwa akinya mavi anajipaka, mimi nafuga paka na sijawai kumuona akijipaka mavi japo huwa namuona akinya.
Kuhusu Mwanaume kuchuchumaa wakati akienda haja ndogo inategemea amekulia mazingira na tamaduni zipi pia nahisi kuwa mnapigia chapuo (promote) mila za kiarabu.
Binafsi toka nimejitambua nakojoa wima na sijawai kupata hayo magonjwa wala kujichafua. Usafi ni jambo zuri ila haya mengine ni kama kachumbari kwenye pilau (hayana ulazima)