Ni usafi mwanaume kukojoa kwa kuchuchumaa na kisha kutawadha baada kumaliza

Ni usafi mwanaume kukojoa kwa kuchuchumaa na kisha kutawadha baada kumaliza

Hayo hata kwa mwanamke pia, Si mwanamme tu.

Mijanajike na mijana dume mingi haielewi usafi huo, wao ni kukojoa kwa kusimama tu na hawajioshi kabisa kwa maji, si wanawake wala wanaume. Hawana ustaarabu huo. Wana ustaarabu wa paka kunya mavi kujipaka.
HUJAWAHI kufuga PAKA wewe, mimi kama mwanaume sitakuja ufanyia kazi hu ushauri wa mleta UZI, akae nao mwenyewe aise, nikojoe nimechuchuma? Khaa, uchuro kabisa hu. Mungu apishie mbali kabisa, yaani mwanaume nichuchumae? Zipu ya suruali ya kazi gani sasa!? Halafu siamini hao wanao chuchumaa wananizidi USAFI
 
Maada zingine upuuzi mtupu. Tuna mgogoro wa mafuta FFS
Haa ha ha; kabisa aise; upotezaji wa muda tu. Imagine wengine tumeanza kuzeeka halafu leo tunafundishwa namna ya kukojoa....! What a mess is this! Watu wamekwenda Uarabuni huko, wana copy kutoka huko halafu wanatuletea sisi watoto wa kwa Mtogole, kweli?
 
Yaani dume zima nivue suruali na boxer nichuchumae kisa kukojoa?

Au kwani anazungumzia mkojo upi?
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] chizi wee, kwan yeye kasema mkojo gan?
 
Unless unakojoa polini kwenye majani, sehemu yene mchanga mwingi au vile vyoo special vya juu hasa vinavyokuaga stand za mabasi au vyoo vya kulipia au vile vya shimo la moja kwa moja unaweza ukasimama, ila hivi vyoo vya sink na kwengineko ni uchafu mwanaume kukojoa umesemama.

Ukikojoa kwa kusimama Mkojo unaruka na kuingia kwenye nguo, ukutani na chombo cha karibu cha kuhifadhia maji au kunawia.

Pia ni vizuri kuosha zakali yako baada ya kukojoa, sio baada ya kukojoa unaiingiza tu kwenye suluali na kufunga zipu.

Pia hakikisha umemaliza kila kitu ndio unawe na kuiingiza ndani vinginevyo kuna vidogo vidogo vinavyobakia vinakua vinakuja taratibu mwishoni na unaweza usifahamu.

Naomba kuwasilisha
SWADAKTA UBARIKIWE SANA.
 
Mara ya kwanza kuona mwanamme MTU mzima anakojoa amechuchumaa ni kipindi nasafiri na magari ya Tanga wakati wa kuchimba dawa porini.
Kuna mwingine alienda mbele zaidi badala ya kutingisha kengele yeye alimuosha abdala kichwa wazi.
Seriously watu wa Tanga hii ndio kitu gani mwanamme anakojoa amechuchumaa?
Ukitaka kujua kwamba kukojoa huku umesimama na bira kuosha zakari,ngoja basi lisimame halafu watu wakachimbe dawa wakisharudi utaona halafu inayotawala ndani.Tofauti wangekojoa huku wamechuchuma na wakaosha zakari isingekuwepo halufu
 
Wee ndo unaleta mada ya ushoga, mwenzako kazungumzia usafi, c umpinge kwa hoja khaaaj.
Usafi ndio uchuchumae? Tufanye uko maporini uchuchumae ili ujojoe, kijiti kikiingia kwenye kinyeo utafurahi au utasikitika?
 
Usafi ndio uchuchumae? Tufanye uko maporini uchuchumae ili ujojoe, kijiti kikiingia kwenye kinyeo utafurahi au utasikitika?
Kwa hiyo ukiwa porini unakunyaga huku umesimama ili vijiti visikuchome
 
Usafi ndio uchuchumae? Tufanye uko maporini uchuchumae ili ujojoe, kijiti kikiingia kwenye kinyeo utafurahi au utasikitika?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] babuuuh bhana una nn wee?
 
Sio mbaya kupokea mabadiliko, Ila uwashauri na mafundi nguo nao waanze kutushonea magauni, kwani kwa wanawake ni rahisi kuchuchumaa kutokana na mavazi Yao ambavyo mengi ni sketi au gauni kiasi kwamba wanafunua na kuchuchumaa. Sasa wanaume wanavaa suruali yenye zipu watatekelezaje hilo sharti gumu!!?
 
Mara ya kwanza kuona mwanamme MTU mzima anakojoa amechuchumaa ni kipindi nasafiri na magari ya Tanga wakati wa kuchimba dawa porini.
Kuna mwingine alienda mbele zaidi badala ya kutingisha kengele yeye alimuosha abdala kichwa wazi.
Seriously watu wa Tanga hii ndio kitu gani mwanamme anakojoa amechuchumaa?
Udhu,mkojo ni nahisi,Kama swala tano huwezi kojoa wima
 
Unless unakojoa polini kwenye majani, sehemu yene mchanga mwingi au vile vyoo special vya juu hasa vinavyokuaga stand za mabasi au vyoo vya kulipia au vile vya shimo la moja kwa moja unaweza ukasimama, ila hivi vyoo vya sink na kwengineko ni uchafu mwanaume kukojoa umesemama.

Ukikojoa kwa kusimama Mkojo unaruka na kuingia kwenye nguo, ukutani na chombo cha karibu cha kuhifadhia maji au kunawia.

Pia ni vizuri kuosha zakali yako baada ya kukojoa, sio baada ya kukojoa unaiingiza tu kwenye suluali na kufunga zipu.

Pia hakikisha umemaliza kila kitu ndio unawe na kuiingiza ndani vinginevyo kuna vidogo vidogo vinavyobakia vinakua vinakuja taratibu mwishoni na unaweza usifahamu.

Naomba kuwasilisha
Utawadha jiwe kavu
 
Hizi habari tuulize sisi Wanaume wenye dhakari. Nani amekwambia kukojoa kwa kusimama ni urijali ? Urijali haupimwi kwa kukojoa, kuna makhanithi wengi wanakojoa kwa kusimama.

Mimi mara nyingi nakojoa kwa kuchuchumaa kuliko kukojoa kwa kusimama na nikimaliza lazima nioshe Dhakari yangu,ikitokea sina maji basi nitatumia udongo, au mchanga, au majani au jiwe. Hii hutegemeana na mazingira ila kwetu sisi wanaume kukojoa kwa kuchuchumaa ni bora na kunapendeza zaidi kutokana na msingi wa kuepuka kupatikana mabaki ya mkojo katika nguo, sababu mkojo ni najisi.

Ukikojoa kwa kuchuchumaa dhakari inakuwa free sana ina kuwa ime relax mno, na mkojo unatoka katika hali tulivu na murua, kuliko ukiwa umesimama, ukiwa umesimama dhiki inakuwa kubwa na usipo kuwa makini unaweza kuubakiza mkojo.

Wote walio unga mkono kukojoa kwa kuchuchumaa, wanajua wanamaanisha nini na wako sahihi.

Mkojo ni uchafu na hutakwii ubaki nao. Kama huna maji basi tumia udogo, majani au jiwe, yaani kuosha dhakari baada ya kukojoa ni lazima.

Shukrani.
We utakuwa na tatizo mahali
 
Waislam wengi hufanya hivo,Kuna sheikh mmoja shuleni kwetu alitusieitiza Sana hili Miaka hiyo
Hiyo safi hata wanawake wengi wa Islam nyuchi zao safi sana hazina hafuru ila mbunye za wanawake wa upande wa pili akikojoa anapandisha chupi anasepa akikuvulia utafkiri gari la taka za feri limepaki chumbani
 
Back
Top Bottom