ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Msichukulie utani, wako serious.
Kuna siku nilibanwa barabarani nikakimbilia choo cha msikitini. Nikaingia hata mlango sijafunga nikaanza kumwaga oil. Jamaa mmoja aliingia akaanza kuongea kwamba mambo gani haya mtu anakojoa amesimama, nadhani na viatu niliingia navyo wenzangu wanaaacha nje. Nilstaajabu mno!
Ukitanga kuingia msalani msikitini jipange, uchuchumae.
Kuna siku nilibanwa barabarani nikakimbilia choo cha msikitini. Nikaingia hata mlango sijafunga nikaanza kumwaga oil. Jamaa mmoja aliingia akaanza kuongea kwamba mambo gani haya mtu anakojoa amesimama, nadhani na viatu niliingia navyo wenzangu wanaaacha nje. Nilstaajabu mno!
Ukitanga kuingia msalani msikitini jipange, uchuchumae.