Poa.We utakuwa na tatizo mahali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa.We utakuwa na tatizo mahali
Madhara ya kutofanya hivyo ni nini? Nakaribia 50, sijafanya hayo, pengine nimedhurika sijielewi!Unless unakojoa polini kwenye majani, sehemu yene mchanga mwingi au vile vyoo special vya juu hasa vinavyokuaga stand za mabasi au vyoo vya kulipia au vile vya shimo la moja kwa moja unaweza ukasimama, ila hivi vyoo vya sink na kwengineko ni uchafu mwanaume kukojoa umesemama.
Ukikojoa kwa kusimama Mkojo unaruka na kuingia kwenye nguo, ukutani na chombo cha karibu cha kuhifadhia maji au kunawia.
Pia ni vizuri kuosha zakali yako baada ya kukojoa, sio baada ya kukojoa unaiingiza tu kwenye suluali na kufunga zipu.
Pia hakikisha umemaliza kila kitu ndio unawe na kuiingiza ndani vinginevyo kuna vidogo vidogo vinavyobakia vinakua vinakuja taratibu mwishoni na unaweza usifahamu.
Naomba kuwasilisha
Wanasayansi wanasema dunia inaizunguuka jua, Bible inasema dunia iko fixed and unmovable, hapa unasemaje?Yule jamaa aliyewaambia dunia iko flat aliwaharibu sana hawa jamaa.
Mmhh! Mwarabu mweusi... [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hizi habari tuulize sisi Wanaume wenye dhakari. Nani amekwambia kukojoa kwa kusimama ni urijali ? Urijali haupimwi kwa kukojoa, kuna makhanithi wengi wanakojoa kwa kusimama.
Mimi mara nyingi nakojoa kwa kuchuchumaa kuliko kukojoa kwa kusimama na nikimaliza lazima nioshe Dhakari yangu,ikitokea sina maji basi nitatumia udongo, au mchanga, au majani au jiwe. Hii hutegemeana na mazingira ila kwetu sisi wanaume kukojoa kwa kuchuchumaa ni bora na kunapendeza zaidi kutokana na msingi wa kuepuka kupatikana mabaki ya mkojo katika nguo, sababu mkojo ni najisi.
Ukikojoa kwa kuchuchumaa dhakari inakuwa free sana ina kuwa ime relax mno, na mkojo unatoka katika hali tulivu na murua, kuliko ukiwa umesimama, ukiwa umesimama dhiki inakuwa kubwa na usipo kuwa makini unaweza kuubakiza mkojo.
Wote walio unga mkono kukojoa kwa kuchuchumaa, wanajua wanamaanisha nini na wako sahihi.
Mkojo ni uchafu na hutakwii ubaki nao. Kama huna maji basi tumia udogo, majani au jiwe, yaani kuosha dhakari baada ya kukojoa ni lazima.
Shukrani.
Mwarabu mweusi, [emoji3447] washed...Hayo hata kwa mwanamke pia, Si mwanamme tu.
Mijanajike na mijana dume mingi haielewi usafi huo, wao ni kukojoa kwa kusimama tu na hawajioshi kabisa kwa maji, si wanawake wala wanaume. Hawana ustaarabu huo. Wana ustaarabu wa paka kunya mavi kujipaka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwahiyo ww huwa unachuchumaa mkuu ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mleta mada una shida mahali, kifupi tunakaribia kukukosa
[emoji1787][emoji1787][emoji1]Du kuchuchumaa Tena?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mleta mada wewe ruksa kukojoa hata ukiwa umelala.
Sisi wengine tunafanya tunayoweza na kutupa amani.
Mwisho mtasema tugegedane tukisimama wima.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Achana na sisi na utamaduni wako wa kiarabu, Tutaendelea kukujoa tumesimama.
Wewe ni mwanaume? Ukikojoa unachuchumaa?Sasa porini kwenye nyasi mkojo unakurukia vipi? Au hujasoma uneamua kupinga tu?
Mkuu kukojoa umesimama kuna wakati ni bora na kuna wakati sio bora.
Na kukojoa umechuchumaa ni bora na kuna wakati sio bora.
Kimsingi kinachozingatiwa kwenye kukojoa ni kwamba mkojo usiingie kwenye nguo kama ambwvyo mtu anaepusha mavi yasiingie kwenye nguo.
Na mtu aweze kukosha kitoka mkojjo kama ambavyo anakosha kitoka kinyesi.
Lengo sio kukojoa umechuchumaa bali lengo ni mkojo usifike kwenye nguo na ukoshe utupu vizuri.
So mtu anaweza kukojoa amekaa au amesimama maadamu tu anaweza kukosha tupu na mkojo usiingie kwenye nguo.
Kukata moja kwa moja kwamba kukojoa umechuchumaa ndio usafi nadhani hali make sense saana.
Ni sahihi hilo kaka.Islam ni dini inayo tazama na kusimamia sana mambo yanayo husu mwili ndio maana hata binadam kafa na mavi yake tumboni lakini akisha kuwa maiti mavi ni najis akamuliwe
Kwa hiyo mimi nikojoe Kwa kuchuchumaa?Kuna shida mahali.Unless unakojoa polini kwenye majani, sehemu yene mchanga mwingi au vile vyoo special vya juu hasa vinavyokuaga stand za mabasi au vyoo vya kulipia au vile vya shimo la moja kwa moja unaweza ukasimama, ila hivi vyoo vya sink na kwengineko ni uchafu mwanaume kukojoa umesemama.
Ukikojoa kwa kusimama Mkojo unaruka na kuingia kwenye nguo, ukutani na chombo cha karibu cha kuhifadhia maji au kunawia.
Pia ni vizuri kuosha zakali yako baada ya kukojoa, sio baada ya kukojoa unaiingiza tu kwenye suluali na kufunga zipu.
Pia hakikisha umemaliza kila kitu ndio unawe na kuiingiza ndani vinginevyo kuna vidogo vidogo vinavyobakia vinakua vinakuja taratibu mwishoni na unaweza usifahamu.
Naomba kuwasilisha