The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
Peace be upon you all,
Aise waTanzania ni watu washamba sana sana kabisa. Mwanzo nilidhani ni watumishi pekee wenye huu ushamba ila nimebaini ni watu wengi wa sekta zote.
Yani unakuta watu wamekwenda semina fulani alafu muda wa kutoka wamebebelea vimaji vya mia tano hako kakopo atakabeba njia nzima. Unajiuliza huyu ameshindwa kuyamaliza hayo maji na mara nyingi semina na warsha wanagawa vimaji vya 600 ml. (Vile vimaji vya 500 Tsh).
Wanamake sasa aise hawa ndugu ni washamba haswa, unakuta mmama na heshima zake semina imekwisha anaenda anaomba maji yaliyobaki chupa mbili tatu huyo anabebelea mpaka nyumbani, kwamba nyumbani kwake hakuna maji ya kunywa?
Na wenye ulimbukeni huu ni watu "wasomi" aise hopeless uncivilised graduates. Alafu wakiwa wamebebelea ukiwatazama hua wanaona fahari kweli kweli kutembea na maji waliyogaiwa kwenye semina, warsha nk
Aise waTanzania ni watu washamba sana sana kabisa. Mwanzo nilidhani ni watumishi pekee wenye huu ushamba ila nimebaini ni watu wengi wa sekta zote.
Yani unakuta watu wamekwenda semina fulani alafu muda wa kutoka wamebebelea vimaji vya mia tano hako kakopo atakabeba njia nzima. Unajiuliza huyu ameshindwa kuyamaliza hayo maji na mara nyingi semina na warsha wanagawa vimaji vya 600 ml. (Vile vimaji vya 500 Tsh).
Wanamake sasa aise hawa ndugu ni washamba haswa, unakuta mmama na heshima zake semina imekwisha anaenda anaomba maji yaliyobaki chupa mbili tatu huyo anabebelea mpaka nyumbani, kwamba nyumbani kwake hakuna maji ya kunywa?
Na wenye ulimbukeni huu ni watu "wasomi" aise hopeless uncivilised graduates. Alafu wakiwa wamebebelea ukiwatazama hua wanaona fahari kweli kweli kutembea na maji waliyogaiwa kwenye semina, warsha nk