TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Kuna binadamu mna roho mbaya sasa unataka maji yake amuachie nani kama hajayamaliza?
Mtoa post Acha makasiriko.
Mtoa post Acha makasiriko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nashangaa sana kuna kamoja juzi kalisema ati mtu kuongea kilugha chake ni ushamba . sijui mtu mshamba ni yupi?Hivi vitoto vya JF vinaleta thread kama hii ijadiliwe kweli??? huyu ndio great thinker???
sasa maji yamebaki unataka yarudishwe dukani?Peace be upon you all,
Aise waTanzania ni watu washamba sana sana kabisa. Mwanzo nilidhani ni watumishi pekee wenye huu ushamba ila nimebaini ni watu wengi wa sekta zote.
Yani unakuta watu wamekwenda semina fulani alafu muda wa kutoka wamebebelea vimaji vya mia tano hako kakopo atakabeba njia nzima. Unajiuliza huyu ameshindwa kuyamaliza hayo maji na mara nyingi semina na warsha wanagawa vimaji vya 600 ml. (Vile vimaji vya 500 Tsh).
Wanamake sasa aise hawa ndugu ni washamba haswa, unakuta mmama na heshima zake semina imekwisha anaenda anaomba maji yaliyobaki chupa mbili tatu huyo anabebelea mpaka nyumbani, kwamba nyumbani kwake hakuna maji ya kunywa?
Na wenye ulimbukeni huu ni watu "wasomi" aise hopeless uncivilised graduates. Alafu wakiwa wamebebelea ukiwatazama hua wanaona fahari kweli kweli kutembea na maji waliyogaiwa kwenye semina, warsha nk
wewe ndio Mshamba sana, nakuambia acha ushamba mkuu au ndio semina yako ya kwanzaPeace be upon you all,
Aise waTanzania ni watu washamba sana sana kabisa. Mwanzo nilidhani ni watumishi pekee wenye huu ushamba ila nimebaini ni watu wengi wa sekta zote.
Yani unakuta watu wamekwenda semina fulani alafu muda wa kutoka wamebebelea vimaji vya mia tano hako kakopo atakabeba njia nzima. Unajiuliza huyu ameshindwa kuyamaliza hayo maji na mara nyingi semina na warsha wanagawa vimaji vya 600 ml. (Vile vimaji vya 500 Tsh).
Wanamake sasa aise hawa ndugu ni washamba haswa, unakuta mmama na heshima zake semina imekwisha anaenda anaomba maji yaliyobaki chupa mbili tatu huyo anabebelea mpaka nyumbani, kwamba nyumbani kwake hakuna maji ya kunywa?
Na wenye ulimbukeni huu ni watu "wasomi" aise hopeless uncivilised graduates. Alafu wakiwa wamebebelea ukiwatazama hua wanaona fahari kweli kweli kutembea na maji waliyogaiwa kwenye semina, warsha nk
Watoto watajuaje kama mama alienda sehemu ina mnuso asipobeba 😅😅Aise umenikumbusha wengine wanabeba pilau minofu ya nyama kwenye mikoba, jamani huko nyumbani hakuna chakula.
Unakuta dada mzuri anatembea nzia nzima ananukia pilau, kumbe kwenye mkoba kafungasha pilau la semina.
sasa unataka chakula kilichobaki kitupwe, acha na watoto nyumbani wafaidiWatoto watajuaje kama mama alienda sehemu ina mnuso asipobeba 😅😅
ndio maana mleta uzi ni mshamba bila kujijuaMi sioni hata tatizo liko wapi ikiwa maji aliyobeba ni share yake.
Itakuwa kuna jambo limemkuta sio bure.ndio maana mleta uzi ni mshamba bila kujijua
itakua jamaa ni mkusanya makopo sio bureItakuwa kuna jambo limemkuta sio bure.
Au ndio wale wanaotakaga wakusanyiwe hizo kopo (kwani zina matumizi mengi) halafu mwisho wa siku anakuta kila mmoja kainuka na chupa yake nini? 😀😀😀
jamaa itakua ndio semina yake ya pili kama sio ya kwanzaSasa tutafahamu vipi kuwa jamaa alikuwa semina🤔
Huyu ni braza angu mpwayungu villageSasa tutafahamu vipi kuwa jamaa alikuwa semina[emoji848]