Ni ushamba sana kutoka semina umebebelea kopo la maji uliyopewa kwenye semina, warsha nk

Graduates walikufanya nini?
 
Sioni kama kuna ushamba hapo , ndio maan lile kopo unaruhisiw kubeba mkuu , cjui mantik yako imejikta wap
Mtoa mada ndo mshamba. Anadhani ufahari ni kuacha maji nusu yamwage halafu ukitoka nje ununue mengine.

Huyu jamaa atakwambia hata kubeba chakula kutoka nyumbani kwenda nacho kazini kwa ajili ya breakfast na lunch ni ushamba.

Huyu atakwambia kutembea kwa miguu kwenda kazi au kurudi kazini ni ushamba.

Huyu jamaa atakwambia kubeba mfuko wa kubebea vitu ukininia dukani ni ushamba. Yeye anataka kila ulinunua kitu ununue na mfuko.

Nawafahamu watu wenye mawazo kama huyu jamaa. Wanajionaga wao ni bab kubwa wakati hawana kitu. Wana tabia za ku show-off halafu mwisho wa siku wana strugle sana kwenye maisha na kufa wakiwa masikini.
 
Hujawahi kutana na wabeba visandarusi vya pilau wewe.
Hebu tupishe
 
Kuna ndugu yangu mmoja alikuwa hataki tuchume mchicha tuliootesha nyumbani, ukipikq huo hali...
Anataka muende sokoni kununua. Aina ya mchicha ni ile ile.
 
Kwa nini tubebe maji baada ya semina kuisha?
1. Kunywa maji mengi na vinywaji vingine wakati wa semina kunaweza kukakuondolea utulivu wakati semina ikiendelea haja ndogo za hapa na pale haziishi.
2. Sio vizuri kunywa maji au vinywaji mara kwa mara ukiwa semina hiyo inaweza kukufanya ukaonekana kama sio mtulivu.
3. Kuondoka na maji kunaweza kukufanya ukabana bajeti ya kununua maji mengine njiani hivyo utasevu kiasi fulani.
4. Halafu yale maji ni yako tu hujapangiwa muda wa kunywa ila zingatia upo wapi na nani na mnafanya nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…