Ni vigumu kukuta Waziri Uganda, Kenya au Rwanda kavaa fulana yenye picha ya Rais. Tanzania ni Jamhuri ya Uchawa

Ni vigumu kukuta Waziri Uganda, Kenya au Rwanda kavaa fulana yenye picha ya Rais. Tanzania ni Jamhuri ya Uchawa

Pamoja na Ubabe wa Kagame, Mawaziri wake sio wajinga huwezi wakuta wanajikomba kwa Kagame, huu ujinga hawaufanyagi ni bora wafukuzwe kazi kuliko kumlamba kagame miguu. Hawajazaliwa kuwa Chawa na huwezi wakuta hata wanamsifia Bosi wao Kagame.


Njoo Uganda kwa MSeveni, huwezi kuta Waziri anamlamba Mseveni miguu, yaani mawaziri wa Mseveni sio Chawa na sio wajinga na hawajikombi.

Kenya sasa ndio Balaa, kule huu ujinga haujawahi kuwepo Kenya, Kenya waziri yuko radhi aende nyumbani kuliko kujikomba kwa Raiasi, Waziri ni bora afe kuliko umvalishe fulana ya Raisi na Bosi wake.Yaani anaweza chagua kifo kuliko kuishi na kuwa Chawa.

Njoo sasa Jamhuri ya Chawa,ambako kujikomba ni jadi yetu na nimoja ya Survive Model yetu ndani ya Tanganyika, ndio means pekee ya watoto kuweza kwenda Chooni. Huku akili hazihitajiki bali kasi ya uchawa ndio inayo hitajika.

Huku tunanarisishana uchawa, na kuna mashindano kabisa ya nani ni mlamba miguu bora.

Mtu kama Waziri mkuu bila kumaba miguu anahisi anaweza poteza kazi.

Angalia hio.
Aibu kubwa sana!
 
Rwanda wao wanapenda kuvaa nguo zenye picha au rangi za bendera yao, kwa hilo wana A+
 
Pamoja na Ubabe wa Kagame, Mawaziri wake sio wajinga huwezi wakuta wanajikomba kwa Kagame, huu ujinga hawaufanyagi ni bora wafukuzwe kazi kuliko kumlamba kagame miguu. Hawajazaliwa kuwa Chawa na huwezi wakuta hata wanamsifia Bosi wao Kagame.


Njoo Uganda kwa MSeveni, huwezi kuta Waziri anamlamba Mseveni miguu, yaani mawaziri wa Mseveni sio Chawa na sio wajinga na hawajikombi.

Kenya sasa ndio Balaa, kule huu ujinga haujawahi kuwepo Kenya, Kenya waziri yuko radhi aende nyumbani kuliko kujikomba kwa Raiasi, Waziri ni bora afe kuliko umvalishe fulana ya Raisi na Bosi wake.Yaani anaweza chagua kifo kuliko kuishi na kuwa Chawa.

Njoo sasa Jamhuri ya Chawa,ambako kujikomba ni jadi yetu na nimoja ya Survive Model yetu ndani ya Tanganyika, ndio means pekee ya watoto kuweza kwenda Chooni. Huku akili hazihitajiki bali kasi ya uchawa ndio inayo hitajika.

Huku tunanarisishana uchawa, na kuna mashindano kabisa ya nani ni mlamba miguu bora.

Mtu kama Waziri mkuu bila kumaba miguu anahisi anaweza poteza kazi.

Angalia hio.
Kama kweli hawalazimishwi kuvaa hivyo, basi Kuna tatizo kubwa sana awamu hii ya Sita!!

Inawadhalilisha sana hawa wazee!!
 
So you don't to teach me some few swahili words like the one you said it above
Wewe ni bumunda. Kingereza cha google translate unataka kutulete hapa?

Hebu jibu kwanza simple question
What is Politics?
 
DUBULIHASA anatumia google translate na kuandika kingereza cha mchongo. Kama shule hakuna kichwani ni hakuna tu.

Huwezi ukanenepesha ng'ombe siku ya mnada
 
Pamoja na Ubabe wa Kagame, Mawaziri wake sio wajinga huwezi wakuta wanajikomba kwa Kagame, huu ujinga hawaufanyagi ni bora wafukuzwe kazi kuliko kumlamba kagame miguu. Hawajazaliwa kuwa Chawa na huwezi wakuta hata wanamsifia Bosi wao Kagame.


Njoo Uganda kwa MSeveni, huwezi kuta Waziri anamlamba Mseveni miguu, yaani mawaziri wa Mseveni sio Chawa na sio wajinga na hawajikombi.

Kenya sasa ndio Balaa, kule huu ujinga haujawahi kuwepo Kenya, Kenya waziri yuko radhi aende nyumbani kuliko kujikomba kwa Raiasi, Waziri ni bora afe kuliko umvalishe fulana ya Raisi na Bosi wake.Yaani anaweza chagua kifo kuliko kuishi na kuwa Chawa.

Njoo sasa Jamhuri ya Chawa,ambako kujikomba ni jadi yetu na nimoja ya Survive Model yetu ndani ya Tanganyika, ndio means pekee ya watoto kuweza kwenda Chooni. Huku akili hazihitajiki bali kasi ya uchawa ndio inayo hitajika.

Huku tunanarisishana uchawa, na kuna mashindano kabisa ya nani ni mlamba miguu bora.

Mtu kama Waziri mkuu bila kumaba miguu anahisi anaweza poteza kazi.

Angalia hio.
Kama ya nyumbani kwako yanakukwaza hamia Kwa jirani.

Mbona Machadema Yana kofia na t shirt za picha ya Lisu na Mbowe?

Siasa ni siasa muraaa,ilimradi ushindi 😂😂😂

NB: Mbulula watakwambia ChoiceVariable ni chawa
 
Pamoja na Ubabe wa Kagame, Mawaziri wake sio wajinga huwezi wakuta wanajikomba kwa Kagame, huu ujinga hawaufanyagi ni bora wafukuzwe kazi kuliko kumlamba kagame miguu. Hawajazaliwa kuwa Chawa na huwezi wakuta hata wanamsifia Bosi wao Kagame.


Njoo Uganda kwa MSeveni, huwezi kuta Waziri anamlamba Mseveni miguu, yaani mawaziri wa Mseveni sio Chawa na sio wajinga na hawajikombi.

Kenya sasa ndio Balaa, kule huu ujinga haujawahi kuwepo Kenya, Kenya waziri yuko radhi aende nyumbani kuliko kujikomba kwa Raiasi, Waziri ni bora afe kuliko umvalishe fulana ya Raisi na Bosi wake.Yaani anaweza chagua kifo kuliko kuishi na kuwa Chawa.

Njoo sasa Jamhuri ya Chawa,ambako kujikomba ni jadi yetu na nimoja ya Survive Model yetu ndani ya Tanganyika, ndio means pekee ya watoto kuweza kwenda Chooni. Huku akili hazihitajiki bali kasi ya uchawa ndio inayo hitajika.

Huku tunanarisishana uchawa, na kuna mashindano kabisa ya nani ni mlamba miguu bora.

Mtu kama Waziri mkuu bila kumaba miguu anahisi anaweza poteza kazi.

Angalia hio.
Mwisho,uchawa ni nini? Tangu lini kuvaa t shirt ya Kiongozi unaemkubali ukawa uchawa?

Ila mkivaa za wachezaji sio uchawa?

Kuna tatizo ya tafsiri kwenye kichwa chako mtoa mada ama chuki Kwa Samia ndio zinakutesa,ni hivi utateseka sana .
 
Back
Top Bottom