Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Ninajua wewe huna uwezo wa kuongelea siasa. Najua Mara unajiita Kichaa mtataVishu Mtata ni kati ya .....
Na sio Vishu Mtata ni katik ya ...
Jifunze kuandika vizuri na kukagua maandishi yako kabla hujapost.
Usikimbilie kujibu ili ionekane upo active ilhali huna hoja yoyote zaidi ya mipasho.
Siasa ni Sayansi na siyo mihemko yako 🤣🤣🤣🤣