Ni vigumu sana kuishi na Binti asiye ndugu yako wa damu pamoja. Hivi wake zetu mnalitambua hili?

Kuwa mwanaume wa mfano bhana ,kuna wanamke wengi sana ambao sio ndugu au wenye ukaribu na familia unayoijua

Tunza heshima yako mkuu
[emoji848]
 
Unakoelekea utakuja baka watoto wako wakike maana nao wanakuwa na kukomaa
 
Ila binti wa kazi ina tegemea na muonekano, sio kila binti ni wa kumtamani.
 
 

Attachments

  • VID-20220620-WA0047.mp4
    7.7 MB
Afu akisalitiwa yeye anaua mtuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Ni rahisi sana kuandika haya ikiwa huna ambao wanasababisha huyo msaidizi awepo laiti kama wapo na unaona vile huwa mnapata shida vile msaidizi asipokuwepo basi hisia zako utapeleka pengine.
Si amesema ni uvivu wenu tu ndio unaowafanya mkae na wasaidizi wa ndani? πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…