Hahahaa changia mawazo wasonge mbeleAchana na mbuzi hao wanajifanya sana washatusua wakati kazi zao mbuzi.
Tucheki zetu Marvel na DC.
Walitangulia lakini bongo movie wanaweza badilika piaMi nadhani kabla hatujawalinganisha bongo movie na wakorea,waphilipn,wahindi tuangalie sisi kama tanzania tunalingana na nchii izoo kwenye tasnia ipiii footbal vitasa uchumi tecnologia hawakufika hapo siku moja wameanza lini kuproduce izoo movie zao bongo tumeanza lini turidhike na level yetu huku tukisupportiana kesho tuwebora zaidi
Mkuu hao hawaehauriki. Kabisa. Unadhani hawaoni hizi nyuzi, wanaona ila wanajiamini wao ndio kila kitu.Hahahaa changia mawazo wasonge mbele
Wata uchukua ushauri huu mkuuMkuu hao hawaehauriki. Kabisa. Unadhani hawaoni hizi nyuzi, wanaona ila wanajiamini wao ndio kila kitu.
Tukianza warekebisha hao tutaonekana tunawaonea wivu. Waache waendelee kunyonywa na Sinema Zetu, DSTV na Channel zingine.
- Movie zao ata ule uharisia kidogo tu hazina.
- Kila mlinzi/mfungua geti ni tahira.
- Kila mchekeshaji lazima apige kelele na avae kama kichaa.
- Wanaume kuigiza scene za mwanamke.
- Hao wakina mkojani sijui ata uwa mnawaelewaje.
- Movies hazina ata ile scripts sijui inaitwa. Naona kama msanii anatafuta maneno pale pale kwenye camera.
- Movie moja hafu visa kama mia mbili hivi. Movie inaanza mtu na mke wake wana ugomvi, utakuta katikati jamaa amerogwa kazini, kisha boss wake amefumaniwa na mwanafunzi, then mkuu wa shule wa uyo mwanafunzi ameibiwa baiskeli, then mama wa mwizi wa baiskeli bishara yake ya vitumbua inaenda vizuri, yaani unapotea.
Me nasahivi saburia Thor: Love & Thunder. We endelea msubiria Mkojani aendelee kusema โNyamazaaa weweeeeโ
๐๐๐Kusema la haki turudi kule kwa Musa banzi uchawi ndo tunajua movie ziliuza sana mpak vibanda umiza ila now kingereza cha ugoko kingi hamna maana mapenzi huwezi angalia na wazazi mara ya kwisho kuangalia bongi movie ni ile ya kanumba uncle jj inaanza yuko kweny mkutano anaongea then anafukuzwa tangu hapo sijaangalia ile seriously Tena movie
Naangalia YouTube ila movie Kama girl friend ya zamani Maisha na muziki ila haina sauti kule
Tasnia hailipi najua wengi watabisha lingine tatizo bajeti DSTv, azam na Startime wamalipa china ya Million moja kwa Movie moja.Nchi yetu ina historia za Watu waliofanyia makubwa Taifa hili, kutwa tunaangalia movies za wenzetu wakiwaenzi mababu na mabibi zao kupitia Movies ili Historia inabakie na hata iwe rahisi kwa Watoto kujifunza Shuleni,
Kiwanda chetu cha Filamu kimeshindwa kufanya hayo, tunaletewa huyu kamfumania yule, yule Mtoto wake alikua huyu ila hakujua, sijui Mama wa Kambo nini yaani ujinga ujinga tu.