Ni vituko gani ulishawahi kufanyiwa na mwenye nyumba wako hadi ukatamani uhame uache Kodi?

Du mkuu ebu tafadhali ni uchi uchi kabisa bila pichu familia yote ikiwa na jinsia zote 2 ?
 
Aliyesema kila aliyepanga hana nyumba nani?

Hivi uko timamu kweli kichwani wewe?
Unachukiwa kwa kuongea ukweli. Hapa JamiiForums , pia ma mods ni watu wenye stress sana, wakiona uko determined, wanaanza kukuwenga. Unaweza ukawa sio msomi na una pochi Nene.

Juzi juzi umeuza tamthilia, najua bibie Rehema kwa Sasa sio mwalimu tena na mmetulia zenu Gomes
 
Mshana Jr njoo ulipie deni la demi wako mwaJ
 
Mm hapa jirani kuna mzee ana magofu yake anaishi humo na wapangaji. Mtaa mzima wanadai mchawi. Na aliwahi kutwa akioga makaburini. Yeye huwa anapangisha watu wa kabila lake tuu au wa kaskazini mana yy ni wa tanga ila bado wanamshinda.


Alikuwaga na eneo kubwa akakata mara 2 akauza 26m lakin hata maji kakatiwa hana hata mia mbov zaidi ya majin aliyoenda nunua.
Yan haya maisha yanahitaji maamuzi sahihi na yasiyo ya mkumbo.

Ivyo yeye na wapangaji wake wanachota maji kwa jirani.
 
Mkuu Rehema alinichonifanya sina hamu kabisa na kiumbe yeyote aitwae Mwanamke!
 
Wenye nyumba wengi wachawi sana!! Kuna siku nimetoka kuoga nikawa napaka mafuta, ghafla nikaona mlango unafunguka wenyewe na nilifunga na funguo.!! Nikatulia nione nani anaingia, holaa hakuna mtu.
Siku nyingine nimelala nimevaa kipensi na tshirt, asubuhi nimejikuta niko kichele 🀣🀣🀣
Nikajua labda itakuwa nimejimix nikaanza kuitafuta ile pensi sijaiona, baada ya siku tatu naona mtoto wa mwenye nyumba ananiletea eti alianua kwenye kamba na nguo zao.!! Nikamwambia hiyo nguo una uhakika umeianua kwenye kamba?? Nikaona anaona km aibu, baada ya siku kadhaa akanisimulia story nzito.
Siku nyingine nimerudi nimechoka nimekaa naangalia tv, naona mkono wa skeleton unanifanyia massage dadeq 🀣🀣🀣🀣

Mwisho nilimtolea uvivu mwenye nyumba akanipa notisi.!! Ila baada ya kuomba mzigo nikamwambia ntamwambia mkeo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu uliliwa kidee, woiiiiiih
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…