Ni vituko gani ulishawahi kufanyiwa na mwenye nyumba wako hadi ukatamani uhame uache Kodi?

We jamaa ya kweli hayo huyo mtoto watakuwa wameshamuanzilishia ub**
 
Hii chai masala kudadeki.
 
Kuna kitu umekificha kama imewezekana kukusaula imeshindikanaje kuliwa mpepe
 
Kikao cha wanaume marijali umehudhuria mara ya mwisho lini kijana???πŸ€”
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† uwiii hapo kwenye wig mie wangenikuta mloganzila...naogopa mbwaaa
 
Rinda halipo hapo aisee
 
Ukahama baada ya muda gani?
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† uwiii hapo kwenye wig mie wangenikuta mloganzila...naogopa mbwaaa
Nna rafiki yangu akija anapiga simu kabisa tuwafungie mbwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Waliwahi kumsindikiza kutoka getini mpk ndani, hana hamu nao🀣

Mwenzio nishavuliwa sana mawig mpk siku niliyomzaba ndo alijua wig halitakiwi kutolewa kichwani 🀣🀣🀣
Ila naipenda mimbwa yangu ina uchizi flani naenjoy sana.!! Kuna mwanaume alikuwa anajifanya jeuri alikuja kwangu nikamsakizia acheze nao, mpaka leo ananimind 🀣🀣🀣
 
Hapo kwenye kipensi hapo, hakika walozi wanafaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…