Ni vituko gani ulishawahi kufanyiwa na mwenye nyumba wako hadi ukatamani uhame uache Kodi?

Ulipiga picha kabisa
 
Vipi ulipojitazama hapo kwenye hazina kuu ya taifa hukuona mabadiliko yoyote say uteute mweupe wenye kuteleza? Kama uliona hicho kitu ufanye maombi
 
Siji kwako tutakutana Hyatt tu πŸ™ŒπŸ™Œ
 
Ili shawai kunikuta kama ivi Ila kalikuwa na miaka 12 baba yake alikuwa mjeshi pale Ihumwa Dodoma. Nika msanua kwa baba yake. Baba yake kwa Asira akampeleka kwa bibi yake kijijini nikabaki salama
 
Kuna mzee mmoja wa kizaramu nilipanga kwake, Akiwa hana hela ya pombe anakuja kunisumbua alafu kibabe mara niwe nawai kurudi mara, oohh sitaki wauni kwangu mara sitaki kuona mwanamke kwangu. kuna siku alikamatwa na polisi kwenye ubanda wa gongo alikaa siku tatu kituoni Alivyo toka akaja kunizingua kwa nini sijaenda kumuangalia
kituoni. akarusha Kofi Nika kwepa Aisee nilimpa kichapo mpaka niliua. Kesi ilinisumbua Ila nashukuru imeisha vizuri.
 
Sina experience ya upangaji sana maana nimepanga miaka 3 tu kwa nyumb mbili tu ya tatu ni kwangu. By the way wenyenyumba yangu walikuwa watu poa sana, japo nyumba yangu ya kwanza nilipoenda kutaffa chumba alinipangisha mke wake coz nyumba niliokuwa naishi ni nyumba ya nje, na mwenye nyumba nyumba yake ni mbali kidogo, so mimi sikumjua faza house, bali maza hoyse tu, so nikawa napeleka kodi kwake kila ikiisha kumbe maza anaila bila kumpa mzee, sasa siku moja nashangaa anakuja bodaboda mmoja hom ananiambia anataka kunifaham nikamuuliza anifaham kama nani, akaniuliza naishije pale bila kulipa kodi nikabaki nashangaa kumbe ndie alikuwa faza house wangu. Ni jamaa ambae namuonaga mtaani na alishanipeleka chuoni kama bodaboda zaid ya mara 3 ila sikuwah kujua kama ndie faza house, Inasemekana dogo alikuwaga na pesa ila alifirisika akaamua kujiajili kama bodaboda japokuwa alikuwa na nyumba tayari.

Tukaleteana noma baadae tukayamaliza na kukubaliana kodi itakayofuata nimpe yeye sio mke wake, in short wote walikuwa warangi.

Hapo nilihama baada ya kuona chumba hakitosherezi uhitaji wangu kilikuwa kidogo nikahamia chumba na sebure baada ya kupata mtoto na wife na hapo ndipo niliishi hadi nikupomaliza nyumba yangu na kuhamia kwangu,

Saiz nasumbuana na wapangaji hadi nawaza kwann hawana busara kuna dogo hapa nimempangisha flem ya biashara ni mbishi halipi umeme kila sku napewa taarifa zake nampango nimkande siku moja na kumfukuza hana heshima kabisa
 
Aisee.
 
Aisee
 
Kwa hiyo ndiyo ukamchukia huyo "mama mtu mzima kijana"?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…