KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bazazi moja linabeba magoma lingine linachoma vitumbua.Vitumbua oyeeee!Mi Bazazi miwili
Niliingia kiungwana tu,hadi mjumbe ananiuliza utamuweza huyo mzee.Mihuni miwili mlikutana.
Umri umeenda sasa.Acha kuwalisha mabapa wazee.Niliingia kiungwana tu,hadi mjumbe ananiuliza utamuweza huyo mzee.
Badae aliponikera zaidi ndio akala ma bapa mpaka polisi.
Mzee kaaga anaenda kwao Tanga.
Na mi nikatimka ila kodi niliacha.
Mtaalam alifanya yake yule mzee akarudisha kila kilichobaki
Nishaacha,hiyo kitambo sana tuUmri umeenda sasa.Acha kuwalisha mabapa wazee.
Walikuwa wanaweka zindiko la kuzuia wachawi, ungeangalia vizuri ungemuona mgangaMimi na wasela wenzangu enzi hizo tuko form six, katika kujiandaa tukaona ni vyema tupange chumba ili tuweke Kambi ya masomo.
Usiku mmoja nikashtuka usingizini, tukamuona baba mwenye nyumba na mkewe na watoto wako uchi wa mnyama wanaizunguka nyumba.
Nikawaamsha wenzangu. Chumbani kuna Giza hatujawasha taa hivyo tunawaona kwa uzuri sana.
Baada ya wiki tu tukahama. Walikuwa Wana roho nzuri sana utadhani watu kumbe ni mashetani
Aah sasa we ukutane na mama mwenye nyumba yuko msela poa tu si mnakula mipango.Mi Bazazi miwili
hahahDah mimi nilisafiri kama miezi miwili hivi....kurudi nikakuta mwenye nyumba amepangisha kibaraza changu Kwa watu wa garage
Alikuona kibogoyo sana.Yaani mapengo bwankubwanku kabisa.Dah mimi nilisafiri kama miezi miwili hivi....kurudi nikakuta mwenye nyumba amepangisha kibaraza changu Kwa watu wa garage
🤣 🤣 🤣Dah mimi nilisafiri kama miezi miwili hivi....kurudi nikakuta mwenye nyumba amepangisha kibaraza changu Kwa watu wa garage
Kwahiyo unampiga kende Landlord wakoAah sasa we ukutane na mama mwenye nyumba yuko msela poa tu si mnakula mipango.
Hela ya msosi ipo kwake mi bachelar tu miaka hiyo,
Ye mwenyewe sa ingine anakula microfone check.
Yaani pale hata mke nilikua sitaki.
Lunch naletewa mapema tu
Usiku narudi nshakula ,namtoa ya siku nalala.
Maskini mama wa watu
Simjui nilipanga tu.
Mama anakuuliza Baba leo utakula nini?
Ninachotaja mchana sinia hili hapa.
atahakikisha kakaa pale pembeni mpk nile nishibe.
Namkumbuka sana huyu mama maskini.
Hatujaonana tena miaka mingi sana
Duh unaamka asubuhi unakuta umevuliwa kipensi!!! Hapo kama ulikuwa hujanyoa nahisi ulijisikia aibu sana baada ya jamaa aliyekuvua kipensi usiku kuona hazina kuu ya Taifa ina nywele kama zoteWenye nyumba wengi wachawi sana!! Kuna siku nimetoka kuoga nikawa napaka mafuta, ghafla nikaona mlango unafunguka wenyewe na nilifunga na funguo.!! Nikatulia nione nani anaingia, holaa hakuna mtu.
Siku nyingine nimelala nimevaa kipensi na tshirt, asubuhi nimejikuta niko kichele 🤣🤣🤣
Nikajua labda itakuwa nimejimix nikaanza kuitafuta ile pensi sijaiona, baada ya siku tatu naona mtoto wa mwenye nyumba ananiletea eti alianua kwenye kamba na nguo zao.!! Nikamwambia hiyo nguo una uhakika umeianua kwenye kamba?? Nikaona anaona km aibu, baada ya siku kadhaa akanisimulia story nzito.
Siku nyingine nimerudi nimechoka nimekaa naangalia tv, naona mkono wa skeleton unanifanyia massage dadeq 🤣🤣🤣🤣
Mwisho nilimtolea uvivu mwenye nyumba akanipa notisi.!! Ila baada ya kuomba mzigo nikamwambia ntamwambia mkeo.
Ilitokea bahati mbaya tu sijakusudia nakumbuka alilia Kama mtoto nisamee nisamee hahaha Ila niliyumba Sana kiuchumi kwa ile kesi mpaka leo sikai nyumba za ajabuajabu.😂😂😂😂😂😂 kwahio umesolve kero kwa kumuua mwenye nyumba.
Utadhani ni msichana bikira anaogopa atachezewaMwanaume unamwambia mwanamke akukome?
Wakati wa Tendo takatifu anakuja kudai kodi kwa mume wangu, kipindi tukiwa vijana Pale kinondoni Moscow.Nakumbuka miaka hiyo ndio nimepata kazi benki Fulani, nikapata nyumba Sinza ya mama mtu mzima kijana.
Akanikaribisha sana, hakuwa na noma, nilipokuja kununua flat TV enzi hizo plasma tv ndio zimetoka, hamna cha LCD na LED ni ndoto kabisa, yaani ndio kwanza watu wachache sana tumeamza kujikwamua kutoka kwenye machogo.
Basi yule mama akawa anataka muda wote aje ashinde ghetto kwangu, anavaa nguo very light.
Kuna siku jumamosi nimemaliza kufua, nikasema Leo nijilipie, nikachukua Konyagi kubwa, nikawa na Dodoma wine, kwenye oven kilo mbili za kitimoto zinaokwa taratibu. Mara ghafla mlango unagongwa huku mtu akiingia ndani bila kukaribishwa.
Nilikuwa Niko na boksa tu sikuwa natarajia mgeni, akaniudhi sana. Nikakimbilia taulo, akanifuata akanivua taulo. Nikasimama wima hasira Imenijaa.
Akaanza kujiliza ohh Mimi nakupenda siku zote, wewe unajidai huoni.
Nikamkaripia nikamwambia anikome. Baada ya hapo alianza chuki na visa, nilikaa miezi minne tu nikahama.
Alikuwa anataka mumeo amfawidhi, kama anavyo kufawidhi wewe Jaji MfawidhiWakati wa Tendo takatifu anakuja kudai kodi kwa mume wangu, kipindi tukiwa vijana Pale kinondoni Moscow.
Unemla sana aiseeAah sasa we ukutane na mama mwenye nyumba yuko msela poa tu si mnakula mipango.
Hela ya msosi ipo kwake mi bachelar tu miaka hiyo,
Ye mwenyewe sa ingine anakula microfone check.
Yaani pale hata mke nilikua sitaki.
Lunch naletewa mapema tu
Usiku narudi nshakula ,namtoa ya siku nalala.
Maskini mama wa watu
Simjui nilipanga tu.
Mama anakuuliza Baba leo utakula nini?
Ninachotaja mchana sinia hili hapa.
atahakikisha kakaa pale pembeni mpk nile nishibe.
Namkumbuka sana huyu mama maskini.
Hatujaonana tena miaka mingi sana
Hamna kupapasa sio mbaya nayeye alikua anacheza na dudu la yuyu vizuri tu.Kwahiyo unampiga kende Landlord wako
Sijawai aisee,ila nilikua naenjoy sana nikiwa nae.Unemla sana aisee