Mkuu mgegedo kuanza is innevitable,, unless otherwise muandikishe kabisa kuwa usipokuwa bikira ndoa hakuna...
Reasons
Pili: siku hizi kuna (Shemales), hawa wanakuwa kama mademu ila kitendea kazi cha kiume(mkuyenge).. asa Nigga lazima ujue haya mapema usije ishia kuliwa badala ya kula..
Tatu: Hisia za ngono zinakuja mapema sana kutokana na life style so hata usipopewa wewe jua mwingine anapewa,, na demu ukibana ujue jamaa kwingine anapiga kama kawaida. hili limepoteza UAMINIFU.
Nne: Shake well before use.. hapa nazungumzia kuna mashoga,, mahanithi,, wasioweza kazi,, wale wa kimoja chali,, wenye Mihogo ya jang'ombe,, vibamia, +++n.k.. so hata demu lazima ujiridhishe mapema Service ipi inakufaa.
Conclusion: Kufanya mapenzi kabla ya ndoa ni muhimu kama upo ulimwengu huu tuliopo ambao na kina ndugai wapo,, Kufanya baada ni muhimu kama unaishi Jupiter, Mars au ulimwengu wa kiroho.