Ni vizuri kufanya mapenzi kabla ya ndoa au baada kipi ni kipi? Ushauri tafadhali

Ni vizuri kufanya mapenzi kabla ya ndoa au baada kipi ni kipi? Ushauri tafadhali

Kwanza kabisa wewe ni muumini wa Dini gani? Kitu pekee unachopaswa kujua ni kwamba HUPASWI KABISA KUFANYA VITENDO HIVYO BEFORE MARRIAGE. Wote wanaofanyaga KABLA ya NDOA ni watu WALIOPAPAGAWA na MAPEPO, pia wote wanokushauri (hata kama ni Mchumba wako) kwamba MFANYE SEX BEFORE MARRIAGE tambua kwamba HUYO NI SHETANI ANATAKA KUKUWEKA MBALI ZAIDI NA MUNGU, (keep in mind: Shetani yupo ndani ya watu). UKIAMUA KUFANYA SEX BEFORE MARRIAGE maana yake UMEAMUA KUWA MFUASI WA IBILISI. Sasa siyo lazima ukubaliane na haya niliyokuandikia lakini siku moja utakumbuka hii text niliyoandika hapa. Pia wale waliopagawa na mapepo watakwazika na hii text niliyoandika. Mimi sina lengo la kumuudhi yeyote na sipendi mtu aharibikiwe.
 
Huyo mwanaume ambaye anakubali ku abstain sex before marriage ni kilaza😁
 
Wewe maoni yako Ni yapi? Mimi Ni heri kubariki ndoa.
Hili sio suala la maoni ni suala na facts, kila mtu ana dini yake sasa rudi katika yale tuliyoambiwa na Mungu kwa mujibu wa dini yako maana jambo hili katika dini liko black and white sasa mimi kwa dini yangu zinaa imeharamishwa halina mjadala. Wewe ulivyoandika kubariki ndoa sijakuelewa sababu wewe umezini miaka 13 unasema na bariki ndoa au unabariki zinaa fafanunua kidogo maana hukuwa na ndoa sasa ndoa ipi unaibariki ningekuelewa kama ulifunga ndoa kiserikali na sasa unataka kuibariki kanisani hapo sawa. Kwa mimi sina maoni dini yangu nayo amini imekataza zinaa na ni dhambi sina zaidi ya hili kuongeza.
 
Huyo mwanaume ambaye anakubali ku abstain sex before marriage ni kilaza[emoji16]
Bora awe kilaza kwaKUMPENDEZA MUUMBA WAKE, kuliko uonekane mjanja kumbe ni MTUMISHI WA SHETANI.


#Aziniye na mwanamke HANA AKILI KABISA-(Bible said so)
 
Ngono inafayika ndani ya ndoa biblically, hizo zingine za kusema sijui kujua kibamia sijui nn ni hekima za kibinadamu kuhalalisha uzinzi.

Kwani wazee wazamani walifanyaje.
 
Hili sio suala la maoni ni suala na facts, kila mtu ana dini yake sasa rudi katika yale tuliyoambiwa na Mungu kwa mujibu wa dini yako maana jambo hili katika dini liko black and white sasa mimi kwa dini yangu zinaa imeharamishwa halina mjadala. Wewe ulivyoandika kubariki ndoa sijakuelewa sababu wewe umezini miaka 13 unasema na bariki ndoa au unabariki zinaa fafanunua kidogo maana hukuwa na ndoa sasa ndoa ipi unaibariki ningekuelewa kama ulifunga ndoa kiserikali na sasa unataka kuibariki kanisani hapo sawa. Kwa mimi sina maoni dini yangu nayo amini imekataza zinaa na ni dhambi sina zaidi ya hili kuongeza.
Kwani Nini maana ya ndoa?,Hiyo ya serikali Mungu anaitambua kuwa ni ndoa halali? Je wewe hakuna dhambi nyingine zaidi ya huo uzinzi? Mbona unazifanya hizo nyingine? Je kuachana baada ya kuwa mmefunga ndoa si dhambi? Conclusion.Kaa na mwenzako mkiona mnaweza kuvumiliana madhaifu yenu kabariki ndoa.Hakuna dhambi isiyosameheka kwa Mungu.
 
Kwani Nini maana ya ndoa?,Hiyo ya serikali Mungu anaitambua kuwa ni ndoa halali? Je wewe hakuna dhambi nyingine zaidi ya huo uzinzi? Mbona unazifanya hizo nyingine? Je kuachana baada ya kuwa mmefunga ndoa si dhambi? Conclusion.Kaa na mwenzako mkiona mnaweza kuvumiliana madhaifu yenu kabariki ndoa.Hakuna dhambi isiyosameheka kwa Mungu.
Wewe nenda kasome dini yako, talaka sio dhambi ila ni jambo linalo muudhi Mungu ila ndoa halali na talaka ni halali. Hakuna sehemu nimesema mimi sifanyi dhambi hapa tunaongelea uzinzi unataka kujuwa dhambi zingine fungua uzi na mada nyingine. Uzinzi umeharamishwa na dini zote labda tu kama huna dini. Hayo ya kusamehe mimi sio jukumu langu unaomba Mungu na yeye ndiye anayesamehe sio mimi. Naongelea tumekatazwa kuzini ni dhambi. Usihalalishe hapa zinaa kuwa halali halafu uibariki hakuna dini yoyote imetamka hayo. Kwani kumjuwa tabia zake lazima uzini? kuvumilia kitu gani unamaanisha katika kuzini. mnavumiliana tabia sasa sijui unamaanisha nini kuvumiliana kufanya mapenzi au? rudi katika njia sahihi Mungu anasema " Msikaribie zinaa" sio msifanye msikaribie.... nenda kasome
 
Wajumbe hawajamuacha mtu salama kauli hii ni enzi hizo. Wadau tuchambueni maada hii kwanu nipo njia mbaya sijui chakufanya. Before or after ndio poa.

Mnazini kabla hamjaowana!!! Hii ndiyo tabia ya waafrika wengi hapa bongo na afrika kwa ujumla.
 
Wewe nenda kasome dini yako, talaka sio dhambi ila ni jambo linalo muudhi Mungu ila ndoa halali na talaka ni halali. Hakuna sehemu nimesema mimi sifanyi dhambi hapa tunaongelea uzinzi unataka kujuwa dhambi zingine fungua uzi na mada nyingine. Uzinzi umeharamishwa na dini zote labda tu kama huna dini. Hayo ya kusamehe mimi sio jukumu langu unaomba Mungu na yeye ndiye anayesamehe sio mimi. Naongelea tumekatazwa kuzini ni dhambi. Usihalalishe hapa zinaa kuwa halali halafu uibariki hakuna dini yoyote imetamka hayo. Kwani kumjuwa tabia zake lazima uzini? kuvumilia kitu gani unamaanisha katika kuzini. mnavumiliana tabia sasa sijui unamaanisha nini kuvumiliana kufanya mapenzi au? rudi katika njia sahihi Mungu anasema " Msikaribie zinaa" sio msifanye msikaribie.... nenda kasome

Safi kabisa. Umempa elimu huenda hakuwahi kuipata kokote. Mleta mada achukuwe ushauri wako tena fastaa.
 
Hapo ni changamoto,
Kimaadili na kidini sio vizuri kuanza ngono kabla ya kubarikiwa , ila kwa nyakati zetu hilo jambo lina changamoto zake ngumu mno.
Sasa hapo utapima mwenyewe
 
Wewe nenda kasome dini yako, talaka sio dhambi ila ni jambo linalo muudhi Mungu ila ndoa halali na talaka ni halali. Hakuna sehemu nimesema mimi sifanyi dhambi hapa tunaongelea uzinzi unataka kujuwa dhambi zingine fungua uzi na mada nyingine. Uzinzi umeharamishwa na dini zote labda tu kama huna dini. Hayo ya kusamehe mimi sio jukumu langu unaomba Mungu na yeye ndiye anayesamehe sio mimi. Naongelea tumekatazwa kuzini ni dhambi. Usihalalishe hapa zinaa kuwa halali halafu uibariki hakuna dini yoyote imetamka hayo. Kwani kumjuwa tabia zake lazima uzini? kuvumilia kitu gani unamaanisha katika kuzini. mnavumiliana tabia sasa sijui unamaanisha nini kuvumiliana kufanya mapenzi au? rudi katika njia sahihi Mungu anasema " Msikaribie zinaa" sio msifanye msikaribie.... nenda kasome
Endelea kuamini hicho unachokiamini na Mimi nitabaki na huo msimamo wangu.Ova.
 
Back
Top Bottom