Ni vizuri kufanya mapenzi kabla ya ndoa au baada kipi ni kipi? Ushauri tafadhali

Umemaliza mkuu

Kwema lakini puritygirly
 
Mkuu mgegedo kuanza is innevitable,, unless otherwise muandikishe kabisa kuwa usipokuwa bikira ndoa hakuna...
Reasons
Pili: siku hizi kuna (Shemales), hawa wanakuwa kama mademu ila kitendea kazi cha kiume(mkuyenge).. asa Nigga lazima ujue haya mapema usije ishia kuliwa badala ya kula..

Tatu: Hisia za ngono zinakuja mapema sana kutokana na life style so hata usipopewa wewe jua mwingine anapewa,, na demu ukibana ujue jamaa kwingine anapiga kama kawaida. hili limepoteza UAMINIFU.

Nne: Shake well before use.. hapa nazungumzia kuna mashoga,, mahanithi,, wasioweza kazi,, wale wa kimoja chali,, wenye Mihogo ya jang'ombe,, vibamia, +++n.k.. so hata demu lazima ujiridhishe mapema Service ipi inakufaa.

Conclusion: Kufanya mapenzi kabla ya ndoa ni muhimu kama upo ulimwengu huu tuliopo ambao na kina ndugai wapo,, Kufanya baada ni muhimu kama unaishi Jupiter, Mars au ulimwengu wa kiroho.
 

Umetaja Biblia hapo, unaweza kutupa rejea ni wapi imeandikwa hivyo ili nasi tusome?
 
Zingatieni kinga au mpime kabla ya tendo.

Mtupunguzie masingo maza na wapikiwa uji.
 
Shake well before use!


Tena ni vizuri hata mkifunga ndoa tayari mwanamke ni mama kijacho cha mwezi au miezi 2 kabisa make kuna wanawake tasa/wagumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…