Ni vizuri kumwambia mkeo kiwacho Cha pesa unacholipwa kazini?

Ni vizuri kumwambia mkeo kiwacho Cha pesa unacholipwa kazini?

960a64a7-daf8-42af-ab02-609b9711db7a.jpg
 
Kuna mmama alikuwa anatunza salary slips ofisini.

Mwingine mke wa mchungaji yeye alisema EDA sio ya FAMILIA WALA ya MUMEWE NI YAKE.

NB: EDA ILIKUWA KUBWA kuliko NET SALARY yake.

Ndio maana nikaoa mdada sio mwajiriwa 🤣🤣

Kwa aliyeko Dodoma Jimbo lipo wazi😎😎😎 kuhonga mwisho 50k kwa mwezi sio SIKU😂😂😂
 
Kuna mmama alikuwa anatunza salary slips offisini. Mwingine mke wa mchungaji yeye alisema EDA sio ya FAMILIA WALA MUMEWE NI YAKE.

NB:EDA ULIKUWA KUBWA kuliko NET SALARY yake.

Ndio maana nikaoa mdada sio mwajiriwa [emoji1787][emoji1787]

Kwa aliyeko Dodoma Jimbo lipo wazi[emoji41][emoji41][emoji41] kuhonga mwisho 50k kwa mwezi sio SIKU[emoji23][emoji23][emoji23]

Hii ofa noma waliopo Dodoma washindwe wenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pengine yajadiliwe madhara ya mke kujua kipato chako, hasa kwa wenye mishahara, wafanyabiashara, hasa kipindi hiki, wao wenyewe wanaweza wasije wanaingiza kiasi gani kwa sekunde.

Akijua, atafanya nini?
 
Usije kujiroga ukamwambia aisee

Mna kma ww unalipwa laki 3 basi m.ke yy atamtafuta anaelipwa laki 5 apo sasa ndo utajua hujui

Kma unampa mahitaji yake mshahara ni siri yako usijaribu kumwambia ukaona ndo utapendwa ohooo mm nimemaliza
Watu kama nyie mkifa mtoto yenu inateseka vibaya sana.
 
Back
Top Bottom