Ni vyema Israel imuue na Ayatollah wa Iran

Ni vyema Israel imuue na Ayatollah wa Iran

Mayahudi round hii yamedhamiria. Sina Hakika mpaka Mwakani Mwezi June Ayatollah atakuwa hai.

Kwa hii Hali inayoendelea NI kwamba Ile kauli ya Benjamin kuwa haitasitisha vita mpaka imalize magaidi wôte nadhani imelenga viongozi wôte
Kawaida muisrael na marekani wakivamiwa hiyo vita huwa ya miaka 200 toka uvamizi ufanyike nonstop ndipo bunge liidhinishe vita iachwe

Hamas na washirika wao Hezbollah, wa houth na Iran wajiandae kwa vita ya miaka 200 nonstop kuwa haitasimama labda wasalimu vita mapema na Israel ihakiki kuwa kweli wamesalimu amri kuacha vita
 
Kinacholeta shida ni Ideology siyo mtu! Kama Ideology waliyonayo ni ya kuichukia Israel na kutaka kuifuta katika uso wa dunia,hata ungemwua nani watachukua nafasi wengine na kuendeleza ideology ile ile.
Na ideology huwezi kuiondoa kwa mabomu,ni kwa njia ya Elimu!
Kwani Israel ameanza kupambana nao leo?
 
Ili Israel ijihakikishie ushindi dhidi ya maghaidi wa Kiislamu, ni lazima imuue Ayatollah wa Iran.

Wamuue Ayatollah, wamuue na Rais wa Iran.

Maliza kabisa hao watu. Lipua majengo yao yote.

Wawarudishe katika enzi za ujima. Ua mpaka ngamia wao. Hata kondoo wao wakikatiza, tandika risasi.

Hiyo ndo njia pekee ya kukomesha kabisa ughaidi.

Na hakuna kufanya maridhiano. Piga ua tu.
wamemficha chini ya handaki, ataishi maisha yake yote bila kuiona dunia. walitangaza jana baada ya nasraah kuawa na baada ya Netanyahu kusema hakuna eneo Iran ambalo mkono wa myahudi hautafika.
 
Inaonekana una haisra nao hawa jamaa 🤣🤣🤣...ndo paap uko front na mashine gun naona hata kuku akipita unachapa risasi...
 
Netanyahu anaweza kuifuta ile Blunder ya October 07 kwa kushambulia Iran ambayo iko karibu sana kutengeneza Silaha za Kinuclear.

Lengo la Ayatolah ni Bomu la Atomiki bila kumuwahi Balaa kubwa linakuja.
ISRAEL HAIWEZI KUISHAMBULIA IRAN MPAKA MWISHO WA DUNIA WALA IRAN HAITAISHAMBULIA ISRAEL MPAKA MWISHO WA DUNIA NA KAMA ITATOKEA HIVO BASI DUNIA HII ITABAKI ARDHI, MITO,MAZIWA,BAHARI VYOTE VITAKAUKA MILIMA ITASAMBARATISHWA NA KUBAKI TAMBARARE. HIVI UNAJUA IRANI WANA NUCLEAR? HIVI UNAJUA HAKUNA MFUMO WA KUZUIA NUCLEAR?
 
Tajari anayeyafadhili haya makundi ya kigaidi ni nani hapo mashariki ya kati? Huyo ndo wa kummaliza,kama ndo huyo Ayatollah ndo wa kumwua kabisa
 
Back
Top Bottom