Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku nasubiri swala ya jioni saa 10..Mazayuni wabaya sana. Yamemuua kipenzi chetu.Bora upige zako goso tu.🤣🤣🤣
Siyo mbaya kwa sababu utatawaza moshi wote na kuingia masjid swaaafiii.Huku nasubiri swala ya jioni saa 10..
Kawaida muisrael na marekani wakivamiwa hiyo vita huwa ya miaka 200 toka uvamizi ufanyike nonstop ndipo bunge liidhinishe vita iachweMayahudi round hii yamedhamiria. Sina Hakika mpaka Mwakani Mwezi June Ayatollah atakuwa hai.
Kwa hii Hali inayoendelea NI kwamba Ile kauli ya Benjamin kuwa haitasitisha vita mpaka imalize magaidi wôte nadhani imelenga viongozi wôte
Ndio sheikh, uislamu ni uswafi sheikh...Siyo mbaya kwa sabsbu utatawaza moshi wote na kuingia masjid swaaafiii.
Ili Israel ijihakikishie ushindi dhidi ya maghaidi wa Kiislamu, ni lazima imuue Ayatollah wa Iran.
Wamuue Ayatollah, wamuue na Rais wa Iran.
Maliza kabisa hao watu. Lipua majengo yao yote.
Wawarudishe katika enzi za ujima. Ua mpaka ngamia wao. Hata kondoo wao wakikatiza, tandika risasi.
Hiyo ndo njia pekee ya kukomesha kabisa ughaidi.
Na hakuna kufanya maridhiano. Piga ua tu.
Hapo umeona kaandika neno dini?Ndugu yangu acha chuki dhidi ya uislamu.
Kumbe hata unavyo mjinga Samia ni kwa sababu ya chuki za kidini.
Nakubali,hakuna namna Marekani inaweza kujitoa kwenye huu unyama unaofanywa na Israel kwa watu wasio na hatia.Wanajuana na kutumana hao.Usijisumbue.
Ayatollah kawa tena agent wa Israel ?Hawawezi kumua mkuu Hilo sahau maana ni agent wao, hivyo wataendelea kufa wafata upepo kama akina Hassan nasrallah na rais wa Iran kama ilivyokua Kwa Ebrahim rais.
wamemficha chini ya handaki, ataishi maisha yake yote bila kuiona dunia. walitangaza jana baada ya nasraah kuawa na baada ya Netanyahu kusema hakuna eneo Iran ambalo mkono wa myahudi hautafika.Ili Israel ijihakikishie ushindi dhidi ya maghaidi wa Kiislamu, ni lazima imuue Ayatollah wa Iran.
Wamuue Ayatollah, wamuue na Rais wa Iran.
Maliza kabisa hao watu. Lipua majengo yao yote.
Wawarudishe katika enzi za ujima. Ua mpaka ngamia wao. Hata kondoo wao wakikatiza, tandika risasi.
Hiyo ndo njia pekee ya kukomesha kabisa ughaidi.
Na hakuna kufanya maridhiano. Piga ua tu.
ISRAEL HAIWEZI KUISHAMBULIA IRAN MPAKA MWISHO WA DUNIA WALA IRAN HAITAISHAMBULIA ISRAEL MPAKA MWISHO WA DUNIA NA KAMA ITATOKEA HIVO BASI DUNIA HII ITABAKI ARDHI, MITO,MAZIWA,BAHARI VYOTE VITAKAUKA MILIMA ITASAMBARATISHWA NA KUBAKI TAMBARARE. HIVI UNAJUA IRANI WANA NUCLEAR? HIVI UNAJUA HAKUNA MFUMO WA KUZUIA NUCLEAR?Netanyahu anaweza kuifuta ile Blunder ya October 07 kwa kushambulia Iran ambayo iko karibu sana kutengeneza Silaha za Kinuclear.
Lengo la Ayatolah ni Bomu la Atomiki bila kumuwahi Balaa kubwa linakuja.
Wamemuua Yesu na dunia ipo kama jana tu.
Itakuwa kuwatishia kina Ayatollah watu wanaoishi jwa ajili ya kufa?
. Huko ndiko ukisikia "kumtishia paka kwa samaki".
Naona anajiandaa kwenda kuzimu 🤣.