Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 1,012
- 2,317
Acha utoto wako hapa weweDuuu!! Wewe huna akili unayeleta Maandiko yasiyo na kichwa wala miguu!!!
Kazi ya kujikomba na kujipendekeza, Narudia hutapata TEUZI unapoteza muda wako tuu!!
Sijali sana kabila, uwe Mndali, mmalila, mnyiha, msafwa but acha unafiki dogo na Maandiko ya kipuuzi ya kila siku!!
POPOMA mkubwa wewe 🤔🤔🤣🤣
Acha dharauOyah, lioneni hili mbumbumbu
Hasara sana kwa watu wa Mbeya! Janaume zima linajikomba!Samia siyo mama yako wacha ujinga! Msifie mama yako aliyekupeleka shule ukajua kuandika!
Utoto na ujinga vinakusumbuaBaba yako alikosea sana kutokutumia kinga
Kama unahasira kunywa sumu UFE tu maana huna faida yoyote ile hapa DunianiHasara sana kwa watu wa Mbeya! Janaume zima linajikomba!
Mimi sina njaa dogo.Njaa hadi imekutoa ufahamu unaandika upuuzi hadi huyo unayemsifia anaona kinyaa.
Kama huna cha maana usiwe unapost post pumba mbumbumbu wewe umesikia?Acha dharau
Hata wajinga nao wana sauti kwa hiyo ukitaka usikilize kila sauti utakuwa nawe ni mjinga zaidi ya hao wajinga.Kasome habari za GalileoJitahidi kuwa msikivu basi.
Ukiona unapingwa na asilimia kubwa ya wachangia mada maana yake ni kwamba hoja yako haikubaliki.
Wahenga walisema "Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.."
Unapolazimisha jambo la hovyo likubalike kinyume na maoni ya wengi unageuka kero !!!
Unalamba shithole mpaka kinyaa aisee! Pamoja na kulamba kote huko lakini hupati uteyuzi tu!Kama unahasira kunywa sumu UFE tu maana huna faida yoyote ile hapa Duniani
Ungeacha wenye akili Timamu na wanaojitambua wajadili hojaKama huna cha maana usiwe unapost post pumba mbumbumbu wewe umesikia?
Mimi Sitafuti uteuzi hapa.Unalamba shithole mpaka kinyaa aisee! Pamoja na kulamba kote huko lakini hupati uteyuzi tu!
Usingejitoa ufahamu kiasi hicho hadi umekuwa chukizo kwa ukoo wako hadi wanatamani wakulishe sumu ufe kuliko kuendelea kuwafedhehesha kiasi hikiMimi sina njaa dogo.
Hakuna vijana wajinga na machawa kama sisi vijana wa tz ,hatuwez mwambie mtu hapa umekosea hat Kama kwel kakosea ,na hii tabia ilianzishwa na viongoz wetu wa ccm wakambukiza uvccm.yaan hata kiongoz mkubwa akakosea au akatukana hao vijana wote lazma wamtukuze Kwa kumsifia ,hata akawajambia mdomoni watacheka na kusema ushuzi wa kiongoz ni pafyum inayowasadia sana,.. sjasema vijana tuanze kua wakaid ila namanisha tujielewe na kukemea uovu hata kama upo kwenye nguo zetu tulizo vaa,,,Hapana, nakupinga kwa hoja, acha ujinga, Marais wote waliopita kuanzia Mkapa, Kikwete, Magufuli, wote hawakuweka sura zao katika noti, na sio hawakufanya kazi kubwa, acha kujitungia mambo yako hata Mh. Rais akisoma habari hizi anachukia
Wewe unakaa kwenye keyboard, mawazo yako yasiyo na mantiki unapost post tu, achana na hayo mawazo potofu na unamharibia Mh. Rais kwa kutokujua, nani kalwambia Mh. Rais Samia anataka sura yake iwepo katika noti? Hivi ukiulizwa unaweza jibu? Unajitungia mambo tu hujui madhara yake kwa jamii, unamchafulia sifa za Mh. Rais bila wewe kujijua..!!
Hoja gani mbumbumbu wewe unayotaka kujadiliUngeacha wenye akili Timamu na wanaojitambua wajadili hoja
Huwezi ukaona hoja ikiwa wewe ni kipofu wa akili na macho.Hoja gani mbumbumbu wewe unayotaka kujadili
Wewe ndio watu kila siku wanatamani wasikie umekunywa sumu na kufa maana wanaona ni chukizo mbele za wanadamu na Mungu pia.Usingejitoa ufahamu kiasi hicho hadi umekuwa chukizo kwa ukoo wako hadi wanatamani wakulishe sumu ufe kuliko kuendelea kuwafedhehesha kiasi hiki
Kwanini unakurupuka kiasi hicho kujibu hoja usiyoielewa? Umeelewa msingi wa hoja yangu?Ili iweje Mkuu!? Je unadhani Samia ana mchango mkubwa namna hiyo kuliko Baba wa Taifa? Au Sokoine?! Samia ana mchango mkubwa kiasi kwamba anamzidi uzalendo au uchapakazi Kawawa!? Ni kitu gani ambacho kinamfanya Samia aonekane ni kiongozi wa tofauti kushinda Ally Hassan Mwinyi??
Kuna wakati zungumzeni vitu vilivyo na matiki, kwa kasi ya mapambio yanayoendelea mwisho wa siku Samia mwenyewe ataona ni matusi?! Je unadhani BOT kuweka sura au picha ya Samia kwenye Noti au Sarafu ndo kipimo cha kuonesha uzalendo wa Samia kwa Tanganyika?!
Kaa chini, kisha andika mambo ambayo Marais wote wa Tanganyika pamoja na Zanzibar wameyafany halafu linganisha uone Samia anakaa nafasi gani.
Haya ni matusi ya kiwango cha 5G! Kwanini hujasema Mkapa, au Kikwete au Magufuli? Ila umeingia mzima mzima kwa Samia?! Kabla hujaitamkia umma kuwa Noti za watanzania ziwe na taswira ya Samia waambie kwanza wawe na pesa zenye sura za watangulizi wake waliofanya makubwa na kupaua njia ambayo kwa sasa ndo anaitembelea.