Ni wakati muafaka BoT kuchapisha Noti zenye picha na sura ya Rais Samia kuweka historia kwa vizazi na vizazi

Ni wakati muafaka BoT kuchapisha Noti zenye picha na sura ya Rais Samia kuweka historia kwa vizazi na vizazi

Pole kama umeshindwa kuelewa nilichokiandika!
Kazi iendelee! Mapambio yaendelee! Uteuzi unakuja Mkuu! Hongera
Naomba umpe mwenye akili timamu hili swali halafu majibu utakayokupatia uje nayo hapa.

Tanzania imeongozwa na Ma Rais wangapi tangia tupate uhuru? Katika idadi hiyo ya Marais wanaume ni wangapi na wanawake ni wangapi?
 
Naomba umpe mwenye akili timamu hili swali halafu majibu utakayokupatia uje nayo hapa.

Tanzania imeongozwa na Ma Rais wangapi tangia tupate uhuru? Katika idadi hiyo ya Marais wanaume ni wangapi na wanawake ni wangapi?
Mkuu hapo umeshafeli 😃 tengeneza hoja ambayo watu wataunga mkono
 
Wewe hunaga akili wala uwezo wa kujadili hoja na ndio maana ni mtu wa kuropoka ropoka tu kama mlevi wa gongo
Na wewe huna uwezo wa kujenga hoja fikirishi ambayo inaweza kuleta matokeo chanya kwenye jamii! Kwa maana ya kuleta mawazo fikirishi hasa katika jamii hii iliyozama katika dimbwi la umasikini wa elimu, afya na kipato! Huku wanasiasa wakiedelea kuogelea katika dimbwi la uwkasi usiomithilika! Kimsingi unaamua kwa makusudi watu wakutukane ukiamini kwamba mfumo utakuonea huruma kwamba unasifia mambo ya kufikiria na kutoa mawazo ya Mfalme juha kama haya ambayo yanawapamba watawala Ili wakuonee huruma na wakupe teuzi! Unabeba aibu kwa kuainisha ukoo na familia!
Vijana makini na wanaojitambua na wanaotumia elimu waliyopewa na wazee wao kuwa critical thinkers. Ni vijana wanapokuja na mawazo mapya ambayo yakitumiwa vyema huchangia mabadiliko chanya katika jamii na hayo NDIYO maendeleo endelevu.

Vijana makini hutizama kesho kwa mipango madhubuti Kwa ajili ya vizazi vijavyo Ili waache alama ya kukumbukwa. Upumbavu ulionao wewe ni kutaka picha ya Rais iwe kwenye noti! Ili ibadili nini katika maisha ya watanzania!? Yaani what is the magical power of her image in the currency for societal transformation?
Wewe ni bumunda na unastahili majibu haya! Watu wanapita Ila taifa halipiti! Legacy z awatu Huwa ni namna Gani walivyobadili jamii zao wakati wa Zamu zao, sio masanamu na mapicha Yao wakati vijana kama wewe wanahitimu elimu ya juu hawana namna ya kupata Ajira iwe rasmi na isiyo rasmi huku ulipaji wa mikopo ya elimu ya juu uoiwasubiri. Nchi Haina viwanda, Bbt amekula Bashe and his companion, no sectorial linkage kuchochea kukua kwa thamani ya huduma na bidhaa! Ili kupanua fursa za Ajira, Leo unawaza image? Go fucking print on your damn ass!
 
Ukielezwa ukweli uwe unaupokea na kujifunza, kama zako wengine hao wako club kutishia watu na bastola sababu ya nyege!
Huyo pimbi ni ngumbaru ndiyo maana hata ufundishe vipi haelewi kitu. Yaelekea ubongo wake ulichelewa kupata oxygen.
 
Back
Top Bottom