Ni wakati muafaka BoT kuchapisha Noti zenye picha na sura ya Rais Samia kuweka historia kwa vizazi na vizazi

Kwanini unakurupuka kiasi hicho kujibu hoja usiyoielewa? Umeelewa msingi wa hoja yangu?
Hoja yako ni kwamba unataka historia iwe hai ya kuwa tuliwahi kupata bahati ya Rais kama Samia pamoja na vitu ambavyo umevisema kuwa ni kama vimekuwepo wakati aliposhika wadhifa huu wa Urais.

Sasa nikuulize tu, unadhani wananchi wa Liberia nao walitaka kuwa na taswira ya Ellen Johnson kama Rais wao wa kwanza kufanya makubwa!?
 
Niambie tangia kupata uhuru ni Rais yupi Mwanamke amewahi kuongoza Taifa letu zaidi ya Rais Samia?jibu kwa ufupi bila maelezo.
 
Niambie tangia kupata uhuru ni Rais yupi Mwanamke amewahi kuongoza Taifa letu zaidi ya Rais Samia?jibu kwa ufupi bila maelezo.
Kwahiyo uwepo wa Samia ndo jibu tosha kwamba tuwe na picha zake kwenye pesa!? Serious!?
Nimekupa mfano wa Liberia na aliyekuwa Rais wao wa kwanza wa kike, Ellen Johnson. Kwanini hakuna picha zake kwenye pesa za Liberia!?
 
Dah picha ya Samia kwenye noti?ebu acheni utani
 
Kwahiyo uwepo wa Samia ndo jibu tosha kwamba tuwe na picha zake kwenye pesa!? Serious!?
Nimekupa mfano wa Liberia na aliyekuwa Rais wao wa kwanza wa kike, Ellen Johnson. Kwanini hakuna picha zake kwenye pesa za Liberia!?
Jibu swali bila maelezo.acha umbumbumbu
 
Kuna aina ngapi za kujibu maswali!? Mbona unataka na mm nikubaliane na andiko lako la mapambio!? 😃 jiulize kwanini Liberia wao hawana muda wa kutaka sura ya Ellen iwe kwenye pesa!??
Jibu swali la Tanzania na siyo Liberia .Tangia tupate uhuru mpaka leo tumeongozwa na Marais wangapi? Kati ya idadi hiyo wanawake ni wangapi na wanaume ni wangapi?
 
Nilijua
 
Jibu swali la Tanzania na siyo Liberia .Tangia tupate uhuru mpaka leo tumeongozwa na Marais wangapi? Kati ya idadi hiyo wanawake ni wangapi na wanaume ni wangapi?
Hiyo sio justification mkuu! BOT haiendeshwi na Samia Mkuu!? Kuna Miongozo sio wao kuamka tu Asubuhi na kuchapisha fedha zenye sura ya Samia! Kanuni na miongozi! Ndo maana ikaitwa Benki Kuu ya Tanzania sio Benki Kuu ya Samia au Benki Kuu ya Zanzibar! Kuna miongozo!

Fanya kwanza utafiti wa miongozo na kanuni za BOT katika kuchapa noti mpya halafu uje uendelee na mapambio mkuu!?
 
Wewe ndio watu kila siku wanatamani wasikie umekunywa sumu na kufa maana wanaona ni chukizo mbele za wanadamu na Mungu pia.
Wewe ni takataka kabisa dingi wako angetumia condom ungekuwa uko unapigana vikumbo na mafunza chooni huko. Shwaini !!
 
Sasa hapo umejibu nini ewe mbumbumbu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…