Hoja yako ni kwamba unataka historia iwe hai ya kuwa tuliwahi kupata bahati ya Rais kama Samia pamoja na vitu ambavyo umevisema kuwa ni kama vimekuwepo wakati aliposhika wadhifa huu wa Urais.Kwanini unakurupuka kiasi hicho kujibu hoja usiyoielewa? Umeelewa msingi wa hoja yangu?
Niambie tangia kupata uhuru ni Rais yupi Mwanamke amewahi kuongoza Taifa letu zaidi ya Rais Samia?jibu kwa ufupi bila maelezo.Hoja yako ni kwamba unataka historia iwe hai ya kuwa tuliwahi kupata bahati ya Rais kama Samia pamoja na vitu ambavyo umevisema kuwa ni kama vimekuwepo wakati aliposhika wadhifa huu wa Urais.
Sasa nikuulize tu, unadhani wananchi wa Liberia nao walitaka kuwa na taswira ya Ellen Johnson kama Rais wao wa kwanza kufanya makubwa!?
Kwahiyo uwepo wa Samia ndo jibu tosha kwamba tuwe na picha zake kwenye pesa!? Serious!?Niambie tangia kupata uhuru ni Rais yupi Mwanamke amewahi kuongoza Taifa letu zaidi ya Rais Samia?jibu kwa ufupi bila maelezo.
Mapambio yamezidi mkuu 😃Hivi humu jf unaweza mblock mtu usione thread zake
Dah picha ya Samia kwenye noti?ebu acheni utaniNdugu zangu Watanzania,
Kwa kila jambo na wakati wake na majira yake kwa sababu maalumu.huu ni wakati na muda muafaka kabisa kuchapisha noti zitakazokuwa na picha na sura ya Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Hii ni katika kuweka historia itakayo dumu na kukumbukwa vizazi na vizazi na kuwa Sehemu ya historia ya Taifa letu. Rais Samia kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu Mwenyewe ameweka historia ya kipekee kabisa kwa kuwa Mwanamke wa Kwanza kushika nafasi ya Urais hapa Nchini na katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Rais Samia ni Mwanamke na Mama aliyelivusha Taifa katika wakati mgumu sana katika Historia ya Taifa letu.ikumbukwe kuwa ameshika Nchi katika kipindi ambacho Uchumi wa Dunia ulikuwa umetikisika kuwahi kushuhudiwa katika Historia ya Dunia ukiachana na ule uliotokea miaka ya 1930-1945 ambao ulisababishwa na mambo mbalimbali kama tunavyojifunza katika Historia.
Rais Samia amepokea nchi wakati Dunia ikishuhudia viwanda vingi vikiwa vimesimamisha uzalishaji ,ukosefu mkubwa wa ajira,mdororo wa kiuchumi kutokana na kupungua kwa shughuli za kiuchumi na uzalishaji,kupanda au mfumuko mkubwa wa bei za bidhaa muhimu kama vile mafuta ya petroli na dizeli ambavyo ni injini ya uchumi,kupanda kwa bei ya Mbolea,mzunguko mdogo wa pesa mitaani na mengine mengi sana.
Ambavyo hivyo vyote vilichochewa na ugonjwa wa COVID-19 pamoja na vita vya ukrein.lakini kwa umadhubuti,uhodari, uimara ,ushupavu ,akili kubwa , maono makubwa na Uweza wa mwenyezi Mungu tulishuhudia Mama huyu shupavu na madhubuti akilivusha Taifa kwa kuchukua hatua mbalimbali. kama vile kutoa Ruzuku ya Billion mia moja kila mwezi katika nishati ya mafuta,kutoa Ruzuku ya Billion mia mbili hamsini katika mbolea hali iliyoshuhudia bidhaa hizo zikishuka bei.
Ndio Maana tuliona na kushuhudia wakenya wakivuka mpaka na kuingia Tanzania kununua mafuta kutokana na bei kuwa ndogo Nchini ukilinganisha na Nchini kwao.hali ya kiuchumi Nchini ilikuwa nzuri ukilinganisha na nchi yoyote ile hapa barani Afrika.lakini wakati akifanya haya Dunia ilishuhudia Mama huyu aliyeinuliwa na kupewa kibali na Mungu akitoa maelfu ya ajira kwa vijana,kujenga miundombinu,kusogeza huduma karibu ya wananchi,kuongeza bajeti katika kila wizara kama ambavyo tuliona katika kilimo kuongeza bajeti kutoka Billion 250 hadi Billion 970.
Tuliona akifanya juhudi kubwa ya kufungua nchi yetu ikiwa ni pamoja na kuvutia wawekezaji pamoja na watalii kupitia royal tour iliyopelekea ongezeko la watalii kufikia Millioni 1.8 kwa mwaka.tuliona bei ya mazao Kama vile korosho ikipaa bei tena hasa baada ya kufanya ziara rasmi Nchini India na kukutana na makampuni na wafanyabiashara wa korosho.
Hayo na mengine mengi sana yalifanya Taifa na nchi yetu kusalia imara na yenye utulivu wa hali ya juu katikati ya hali mbaya ya kiuchumi iliyoikumba Dunia nzima.lakini sisi tukawa katika kisiwa chetu cha utulivu na ustahimilivu wa kiuchumi chini ya Jasusi wa uchumi Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Najuwa wenye upeo mdogo wataanza kujadili habari za gharama za kuchapisha pesa hizo,na wengine watasema siyo mahitaji ya watanzania.lakini niwaambieni tu kuwa faida aliyoliletea Taifa letu ni kubwa sana.asingetumia akili tungekuwa tumesambaratika kama Taifa.hali ya umaskini na uchumi ingekuwa mbaya sana hapa nchini.na tusingeona kuendelea kwa miradi mikubwa kama Bwawa la Mwalimu Nyerere lenye kutupatia megawati 2115 wala kuzinduliwa kwa reli ya SGR na usafiri huo wa treni ya umeme.
Tumpeni heshima yake huyu Mama ,tuache wivu na chuki binafsi,tuache ubaguzi kwa misingi ya Udini,ukabila,ukanda na jinsia .Mama yetu anastahili kupewa heshima hiyo ya kuchapisha noti zenye sura na picha yake.View attachment 3136898
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Jibu swali bila maelezo.acha umbumbumbuKwahiyo uwepo wa Samia ndo jibu tosha kwamba tuwe na picha zake kwenye pesa!? Serious!?
Nimekupa mfano wa Liberia na aliyekuwa Rais wao wa kwanza wa kike, Ellen Johnson. Kwanini hakuna picha zake kwenye pesa za Liberia!?
Kuna aina ngapi za kujibu maswali!? Mbona unataka na mm nikubaliane na andiko lako la mapambio!? 😃 jiulize kwanini Liberia wao hawana muda wa kutaka sura ya Ellen iwe kwenye pesa!??Jibu swali bila maelezo.acha umbumbumbu
Yamezidi mkuu jamaa anasifia yaani Hadi anaboaMapambio yamezidi mkuu 😃
Kuna mtu nilimwambia kuwa Mapambio yakizidi hata kwa huyo Samia ataanza kuona ni matusi! 😃Yamezidi mkuu jamaa anasifia yaani Hadi anaboa
Jibu swali la Tanzania na siyo Liberia .Tangia tupate uhuru mpaka leo tumeongozwa na Marais wangapi? Kati ya idadi hiyo wanawake ni wangapi na wanaume ni wangapi?Kuna aina ngapi za kujibu maswali!? Mbona unataka na mm nikubaliane na andiko lako la mapambio!? 😃 jiulize kwanini Liberia wao hawana muda wa kutaka sura ya Ellen iwe kwenye pesa!??
NilijuaNdugu zangu Watanzania,
Kwa kila jambo na wakati wake na majira yake kwa sababu maalumu.huu ni wakati na muda muafaka kabisa kuchapisha noti zitakazokuwa na picha na sura ya Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Hii ni katika kuweka historia itakayo dumu na kukumbukwa vizazi na vizazi na kuwa Sehemu ya historia ya Taifa letu. Rais Samia kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu Mwenyewe ameweka historia ya kipekee kabisa kwa kuwa Mwanamke wa Kwanza kushika nafasi ya Urais hapa Nchini na katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Rais Samia ni Mwanamke na Mama aliyelivusha Taifa katika wakati mgumu sana katika Historia ya Taifa letu.ikumbukwe kuwa ameshika Nchi katika kipindi ambacho Uchumi wa Dunia ulikuwa umetikisika kuwahi kushuhudiwa katika Historia ya Dunia ukiachana na ule uliotokea miaka ya 1930-1945 ambao ulisababishwa na mambo mbalimbali kama tunavyojifunza katika Historia.
Rais Samia amepokea nchi wakati Dunia ikishuhudia viwanda vingi vikiwa vimesimamisha uzalishaji ,ukosefu mkubwa wa ajira,mdororo wa kiuchumi kutokana na kupungua kwa shughuli za kiuchumi na uzalishaji,kupanda au mfumuko mkubwa wa bei za bidhaa muhimu kama vile mafuta ya petroli na dizeli ambavyo ni injini ya uchumi,kupanda kwa bei ya Mbolea,mzunguko mdogo wa pesa mitaani na mengine mengi sana.
Ambavyo hivyo vyote vilichochewa na ugonjwa wa COVID-19 pamoja na vita vya ukrein.lakini kwa umadhubuti,uhodari, uimara ,ushupavu ,akili kubwa , maono makubwa na Uweza wa mwenyezi Mungu tulishuhudia Mama huyu shupavu na madhubuti akilivusha Taifa kwa kuchukua hatua mbalimbali. kama vile kutoa Ruzuku ya Billion mia moja kila mwezi katika nishati ya mafuta,kutoa Ruzuku ya Billion mia mbili hamsini katika mbolea hali iliyoshuhudia bidhaa hizo zikishuka bei.
Ndio Maana tuliona na kushuhudia wakenya wakivuka mpaka na kuingia Tanzania kununua mafuta kutokana na bei kuwa ndogo Nchini ukilinganisha na Nchini kwao.hali ya kiuchumi Nchini ilikuwa nzuri ukilinganisha na nchi yoyote ile hapa barani Afrika.lakini wakati akifanya haya Dunia ilishuhudia Mama huyu aliyeinuliwa na kupewa kibali na Mungu akitoa maelfu ya ajira kwa vijana,kujenga miundombinu,kusogeza huduma karibu ya wananchi,kuongeza bajeti katika kila wizara kama ambavyo tuliona katika kilimo kuongeza bajeti kutoka Billion 250 hadi Billion 970.
Tuliona akifanya juhudi kubwa ya kufungua nchi yetu ikiwa ni pamoja na kuvutia wawekezaji pamoja na watalii kupitia royal tour iliyopelekea ongezeko la watalii kufikia Millioni 1.8 kwa mwaka.tuliona bei ya mazao Kama vile korosho ikipaa bei tena hasa baada ya kufanya ziara rasmi Nchini India na kukutana na makampuni na wafanyabiashara wa korosho.
Hayo na mengine mengi sana yalifanya Taifa na nchi yetu kusalia imara na yenye utulivu wa hali ya juu katikati ya hali mbaya ya kiuchumi iliyoikumba Dunia nzima.lakini sisi tukawa katika kisiwa chetu cha utulivu na ustahimilivu wa kiuchumi chini ya Jasusi wa uchumi Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Najuwa wenye upeo mdogo wataanza kujadili habari za gharama za kuchapisha pesa hizo,na wengine watasema siyo mahitaji ya watanzania.lakini niwaambieni tu kuwa faida aliyoliletea Taifa letu ni kubwa sana.asingetumia akili tungekuwa tumesambaratika kama Taifa.hali ya umaskini na uchumi ingekuwa mbaya sana hapa nchini.na tusingeona kuendelea kwa miradi mikubwa kama Bwawa la Mwalimu Nyerere lenye kutupatia megawati 2115 wala kuzinduliwa kwa reli ya SGR na usafiri huo wa treni ya umeme.
Tumpeni heshima yake huyu Mama ,tuache wivu na chuki binafsi,tuache ubaguzi kwa misingi ya Udini,ukabila,ukanda na jinsia .Mama yetu anastahili kupewa heshima hiyo ya kuchapisha noti zenye sura na picha yake.View attachment 3136898
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Upo sahihi mkuuKuna mtu nilimwambia kuwa Mapambio yakizidi hata kwa huyo Samia ataanza kuona ni matusi! 😃
Hiyo sio justification mkuu! BOT haiendeshwi na Samia Mkuu!? Kuna Miongozo sio wao kuamka tu Asubuhi na kuchapisha fedha zenye sura ya Samia! Kanuni na miongozi! Ndo maana ikaitwa Benki Kuu ya Tanzania sio Benki Kuu ya Samia au Benki Kuu ya Zanzibar! Kuna miongozo!Jibu swali la Tanzania na siyo Liberia .Tangia tupate uhuru mpaka leo tumeongozwa na Marais wangapi? Kati ya idadi hiyo wanawake ni wangapi na wanaume ni wangapi?
Wewe ni takataka kabisa dingi wako angetumia condom ungekuwa uko unapigana vikumbo na mafunza chooni huko. Shwaini !!Wewe ndio watu kila siku wanatamani wasikie umekunywa sumu na kufa maana wanaona ni chukizo mbele za wanadamu na Mungu pia.
Huyu jamaa ni mpumbavu sanahitoria ya kitu gani? tukuza Mungu na wazazi wako upate baraka wewe
Sasa hapo umejibu nini ewe mbumbumbu?Hiyo sio justification mkuu! BOT haiendeshwi na Samia Mkuu!? Kuna Miongozo sio wao kuamka tu Asubuhi na kuchapisha fedha zenye sura ya Samia! Kanuni na miongozi! Ndo maana ikaitwa Benki Kuu ya Tanzania sio Benki Kuu ya Samia au Benki Kuu ya Zanzibar! Kuna miongozo!
Fanya kwanza utafiti wa miongozo na kanuni za BOT katika kuchapa noti mpya halafu uje uendelee na mapambio mkuu!?
0 ni 0 tu.wewe ni 0 tuWewe ni takataka kabisa dingi wako angetumia condom ungekuwa uko unapigana vikumbo na mafunza chooni huko. Shwaini !!