Ni wakati muafaka BoT kuchapisha Noti zenye picha na sura ya Rais Samia kuweka historia kwa vizazi na vizazi

Kwanini unapenda sana ukabila? Nani na tangia lini ukaambiwa akina Mwashambwa wakawa wandali? Mwashambwa gani uliyemuona hapa Nchini ambaye ni Mndali? Ndio maana nasema wewe huna akili zaidi ya kuropoka ropoka tu hapa kama mlevi wa gongo
Punguza kuandika maandishi ya kitoto toto we ni Mwanaume kujipendekeza kwa Raisi unaonekana bonge la fala na mnafiki huyo Samia uwezo wa kuongoza na kuisimamia hii nchi hana, na yeye hilo analijua ila ni kwa sababu ya katiba tu ndio amekalia hicho kiti.

Una ujinga ujinga mwingi sana, nimeshakwambia ni bora uwe unaandika matukio, kero, changamoto na shida zilizopo kwenye mazingira unayooshi.
Umekalia kuandika ujinga ujinga na unafiki tu halafu tangu umeanza kuandika haya maujinga yako hakuna kilichobadirika.

Ukiona hii movement yako imefeli badili gia Mzee kazi kusifia sifia tu dume zima unakuwa mtu wa hovyo hata Uzalendo wa kweli wewe hauna.

Unafiki wako na uongo wako wa wazi haukufikishi popote.

Mwaka mmoja mbeleni utapakimbia humu. Mjinga namba moja wewe. Una akili ndogo sana na ndio maana umeng'ang'ana na hoja hizo hizo tu.

Huna jipya wewe ni kilaza tu.
 
Huo ndiyo ukweli kwa vile unaendekeza njaa umeamua kujitoa ufahamu
Mimi sina njaa
Naona umepaniki.basi kunywa sumu UFE tu maana huna faida yoyote ile hapa Duniani
 
KAZI iendelee na hiyo yako ni kazi mkuu!


Lakini wewe ni hasara Kwa hili taifa aiseh!

Ushauri wa kijijga mno Kwa mwenyekiti!!

Wenye akili wamwambie Kwa maslahi ya chama akae pembeni!!ndio ndio pembeni ili tupate mwelekeo mpya!na hiyo ndio pona yake dhidi ya karma!
 
Kwanini isiendelee kuwepo sura ya Rais wa kwanza muasisi wa Taifa, shida nini?
 
Peleka ujinga wako huko kwa wenzako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…