Ni wakati muafaka sasa Mbowe kuachana na mikutano ya Rais Samia

Kuwajibika kwa wananchi sawa lakini kutokubalika kimataifa ni tatizo kubwa kisiasa na kiuchumi!
 
Bunge lipo huru jamani"mama" hausiki na maamuzi ya spika😆
 
Mkuu, ni haki yako kutoa haya maoni, lakini hapa hujamtendea Mbowe na Mazaa haki! Haya mambo yanataka muda, pia mchakato wa kisheria unaoendelea ni sahihi! Wote tukubaliane kwamba alicho fanya Ndugai
Kwa wale wabunge 8 wa CUF, kilikua ubakagi wa demokrasia! Kwanini Civid-19 wafanyiwe vile vile?!
Lakini pia, kama maamuzi yakiwa yale, alafu tuanze kuitwa ccm b, tutajiteteaje? Wacha Kibatala na team yake wapige kazi, siyo kupewa ushindi wa mezani!
 
Kuwajibika kwa wananchi sawa lakini kutokubalika kimataifa ni tatizo kubwa kisiasa na kiuchumi!
Kwani mataifa yapo mangapi duniani? Uhusiano wa taifa na taifa haupaswi kujengwa kwa misingi ya mahusiano yenu ya ndani ya taifa. Ukiona taifa linatulazimisha tuwe na mahusiano baina yetu ya namna fulani huo hauwezi kuwa uhusiano wa mataifa wenye afya.
 
Kiini cha tatizo ni Joyce Mukya. Mbowe angechomoa Covid mmoja amweke huyo hawara wake ili hili suala liishe. Covid19 wakae kikao na kukubaliana kuachia nafasi moja kwa ajili ya Joyce Mukya hawara wa mwenyekiti.
 
Nakazia
 
Samia anapenda sana kutalii nje ya nchi hivyo ili kupunguza kelele za madai ya utawala wa sheria, demokrasia na katiba mpya awapo kwenye utalii wake ambapo amepanga kutembelea nchi nyingi, kete yake kubwa
Kama hilo ndio lilikuwa lengo la kumuachia Mbowe, basi amefanikiwa.
 
Kama hilo ndio lilikuwa lengo la kumuachia Mbowe, basi amefanikiwa.
Ndiyo hilo kwa kuwa bila hivyo angekuwa na kigugumizi kwenda nchi ambazo angekutana na mabango ya "Mbowe is not a terrorist" "Mbowe siyo gaidi"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…