Ni wakati sasa Jeshi la Wananchi lifanyiwe Maboresho makubwa upande wa Kamandi ya Wanamaji

Ni wakati sasa Jeshi la Wananchi lifanyiwe Maboresho makubwa upande wa Kamandi ya Wanamaji

Wewe ni punguani, jitahidi kutumia akili sio ulete ushabiki wa kipumbuvu hapa,
So ulitaka wananchi wanunue vifaa vya uokozi ?
Serikali na majeshi inawajibika Kwa hili kwa kwa kushindwa kutekeleza wajibu wake, vifaa duni na mbinu za kizamani
Alafu wanatuambia et uchinguzi unafanyika kila baada ya ajali
lnasaidia Nini wafiwa
Wewe mjinga umenielewa lakini.

Au unahara tu bila kuelewa.
 
Wewe mjinga umenielewa lakini.

Au unahara tu bila kuelewa.
Nyie jikiteni na promo za kina luhaga mpina na kalemani na kuwasema kina January, Nape na Mwigulu hizi mada nyingine ni kubwa sana kwa akili zenu za kutafuta panzi hizo
 
Mama ameiboresha Kamandi yetu ya Wapiga maji wa Balimi kwa kuindolea kodi hayo mengine mtajua hamjui.
 
Nyie jikiteni na promo za kina luhaga mpina na kalemani na kuwasema kina January, Nape na Mwigulu hizi mada nyingine ni kubwa sana kwa akili zenu za kutafuta panzi hizo
Sasa huu ushuzi ulioandika hapa nao unaita akili kubwa??
 
Mama ameiboresha Kamandi yetu ya Wapiga maji wa Balimi kwa kuindolea kodi hayo mengine mtajua hamjui.
Hayo siyo maboresho. Maboresho ni kununua vifaa Virginia vya kisasa na bora kama melivita, boti za kujeshi na nyambizi na kuwawezesha kiujuzi na mafunzo
 
Hatujafika huko ingawa tukio la leo limelitia aibu sana Taifa letu
Si mara ya kwanza nadhani mnakumbuka yaliyotokea kule Nungwi , ile meli iliyozama pale ukerewe mwaka juzi ,huo ni mfano tu wa failures na incidences ambazo zinaonyesha jinsi uzembe ulivyomkubwa
 
Leo inaendelea kudhihirika kwamba mipango yetu mingi ni Up for the show ku shawishi wafadhili. Yaani kama ile ya Bi mkubwa kuchanja korona mbele ya tv ilikuwa up for a show.
 
Tatizo wapiga dili ni wengi
Halafu wanaiba hawafanywi chochote
 
Engineer na mtaalamu wa majanga na uokozi James Mbatia azungumzia utayari na uwezo wa kukabiliana na majanga


Utashi wa kisiasa kujitayarisha kukabiliana na majanga haupo ingawa awamu ya Jakaya Kikwete (disaster and management act 2015 )iliandaa mazingira ya kisheria na kifedha lakini awamu ya tano ya JPM iliitelekeza kwa kisingizio kuwa siyo kipaumbele ..

Vyombo vya habari vipo vipo havi...

This act sets out a comprehensive legal framework for disaster risk management. It provides for the establishment of Tanzania Disaster Management Agency (TDMA), which is the national focal point for coordination of disaster risk reduction and management in the country.
1667761691262.png

PW - Homepage › ta...

Tanzania: The Disaster Management Act, 2015

 
Engineer na mtaalamu wa majanga na uokozi James Mbatia azungumzia utayari na uwezo wa kukabiliana na majanga


Utashi wa kisiasa kujitayarisha kukabiliana na majanga haupo ingawa awamu ya Jakaya Kikwete (disaster and management act 2015 )iliandaa mazingira ya kisheria na kifedha lakini awamu ya tano ya JPM iliitelekeza kwa kisingizio kuwa siyo kipaumbele ..

Vyombo vya habari vipo vipo havi...

This act sets out a comprehensive legal framework for disaster risk management. It provides for the establishment of Tanzania Disaster Management Agency (TDMA), which is the national focal point for coordination of disaster risk reduction and management in the country.
View attachment 2408816
PW - Homepage › ta...

Tanzania: The Disaster Management Act, 2015


At least huyu alitumia elimu yake kujaribu kuleta kitu
 
06 November 2022

RC Albert Chalamila ataja majina wahanga walionusurika na waliopoteza maisha katika ajali ya ndege ziwa Victoria



Source : Global TV online
 
Abiria Richard Komba aliyeokoka ktk ajali ya PrecisionAir azungumzia hali nzima ya safari, hali ya hewa ilivyokuwa mbaya, rubani kuzungusha ndege ili kupata mwanya wa hali ya hewa nzuri apate kutua hadi ajali na jinsi wavuvi wa mtumbwi wapiga makasi walivyowasili mapema


Source : Global TV Online
 
Kipindi cha Majanga ndicho kipindi sahihi zaidi cha kupima uwezo wa jeshi husika katika ubora na vifaa

Zimetokea ajali nyingi za maji hapa Tanzania kuanzia Mv Bukoba, Vivuko Kigamboni, Zanzibar , Mwanza na sasa imetokea ajali ya ndege ziwani Bukoba

Napenda tu kusema tuna jeshi la maji lisilo la uwezo wa vifaa na teknolojia ya kisasa kabisa. Bila juhudi za wananchi kwenye mazingira haya ni ukweli usiopingika kuwa hata kwenye ndege ya Precision leo wananchi wengi wangekufa

Ingawa mambo ya Ulinzi na Usalama ni masuala nyeti sana ila napendekeza sasa kuwe na complete reforms kwenye jeshi letu la wananchi kamandi ya wanamaji

Mambo yafuatayo yafanywe
1. Tuingie makubaliano na moja ya Taifa kubwa kati ya haya( Marekani, China, Uingereza au Ujerumani) na tuwape mkataba wa kuliwezesha Jeshi letu kivifaa na kiteknolojia bila kusahau ujuzi. Tununue meli za kutosha na both za kutosha za kisasa bila kusahau manowali na nyambizi ziwekwe kufanya kazi kwenye maziwa yote kuanzia Nyasa, Tanganyika, Victoria na Bahari ya Hindi

2. Tanzania kutengeneza karakana yetu ya kutengeneza meli za kivita na za kijeshi kama ilivyo kwa Kenya

Tusipofanya haya sasa yajayo yanasikitisha sana
Jamii forum is the home of great thinkers. Mtendaji mkuu wa shughuli za serikali za kila siku kaja na tume ya uchunguzi.
 
Back
Top Bottom