Ni wakati sasa Jeshi la Wananchi lifanyiwe Maboresho makubwa upande wa Kamandi ya Wanamaji

Ni wakati sasa Jeshi la Wananchi lifanyiwe Maboresho makubwa upande wa Kamandi ya Wanamaji

08 November 2022
Bukoba, Tanzania

Ndege ya Precision Air ikitolewa kwenye maji.


Source : mwananchi digital
 
Tatizo la nchi hii... Wengi walio katika nafasi nyeti za kimaamuzi hawako tayari kufanya kazi kwa ajili ya nchi hii... Ila wanafanya kazi kwa ajili ya matumbo yao na familia zao ndo maana kuna uzembe wa kijinga sana hutokea... Hii hupelekea hata wasio katika nafasi nao kujikatia tamaa na kufanya kazi ktika mtindo huo huo.... Chain inaendelea na kupelekea uzembe mkubwa kwa watendaji wa taifa hili....

Itatuchukua vizazi kadha hadi hili kubadilika kwani walio katika hizo nafasi hawataki kuziachia kiasi kwamba wanaambukiza wa karibu yao kuwa hivyo

Hadi pale mabadiliko ya lazima (vita ama any disaster) itakapotokea
 
Back
Top Bottom